Ushoga unaweza ukawa ugonjwa

Ushoga unaweza ukawa ugonjwa

name 97

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2023
Posts
200
Reaction score
553
Ukitazama kwa makini kabisa,ushoga unaweza ukawa ni ugonjwa.

Kwa sababu it is extremely abnormal kwa binadamu mzima kabisa kiakili,kimwili,kihisia kuwa attracted kihisia na people of the same sex.

Hii hali isiyo ya kawaida haijawahi kushuhudiwa kwa mnyama yoyote isipokuwa binadamu.

Mungu atulinde kwa kweli
 
Ukitazama kwa makini kabisa,ushoga unaweza ukawa ni ugonjwa.

Kwa sababu it is extremely abnormal kwa binadamu mzima kabisa kiakili,kimwili,kihisia kuwa attracted kihisia na people of the same sex.

Hii hali isiyo ya kawaida haijawahi kushuhudiwa kwa mnyama yoyote isipokuwa binadamu.

Mungu atulinde kwa kweli
Aisee..
 
Mtafuteni ant Asu siku ni mtumishi wa Mungu ameielezea vizur sana dhana ya ushoga kwa sababu ameishi ushoga kwa miaka 26 akiolewa Mara mbili,akipitia maisha ya kubakwa,kujiuza sehemu zote maarufu nchini ikiwemo kwa macheni amekuwa MWENYEKIT wa mashoga nchini.
Leo ameoa mke mzuri tu ana watoto wawili wa kiume hamu yule mdudu wa kuwashwa kutamani kuingiliwa hayupo Tena,nguvu zake za kiume zimerudi uanaume wake umerudi kaamua kuishi maisha ya kumtumikia Mungu ana hubiri injili,anatoa elimu na mafunzo jinsi ya kuacha ushoga.
Unaweza mpata YouTube kwa majadiliano binafsi.
 
Ni kweli ushoga ni ugonjwa kama magonjwa mengine ya kisaikolojia sisi kama jamii tunapaswa kutafuta namna bora ya kuwasaidia watu walioathirika na hili janga.
Kabisa kabisa
 
Mtafuteni ant Asu siku ni mtumishi wa Mungu ameielezea vizur sana dhana ya ushoga kwa sababu ameishi ushoga kwa miaka 26 akiolewa Mara mbili,akipitia maisha ya kubakwa,kujiuza sehemu zote maarufu nchini ikiwemo kwa macheni amekuwa MWENYEKIT wa mashoga nchini.
Leo ameoa mke mzuri tu ana watoto wawili wa kiume hamu yule mdudu wa kuwashwa kutamani kuingiliwa hayupo Tena,nguvu zake za kiume zimerudi uanaume wake umerudi kaamua kuishi maisha ya kumtumikia Mungu ana hubiri injili,anatoa elimu na mafunzo jinsi ya kuacha ushoga.
Unaweza mpata YouTube kwa majadiliano binafsi.
Karudisha vyote lakini Marinda hayajarudi. Labda kama kashonwa kwenye nukta
 
Naweza kukubaliana na hoja yako kuwa ni ugonjwa.

Lakini kuna hili kundi la kutengeneza, watoto wanafanyiwa ukatili wakiwa wadogo wanakuwa katika Hali hiyo.

Sisi tunakuja kuhukumu matokeo lkn chanzo kikuu kikiwa ni aina ya malezi katika familia, shule na nyumba za ibada.
 
mimi nimeanza kuona kama wanazaliwa hivyo....

iweje mtu unajua kabisa ukiwa shoga, utachukiwa na watu, kutengwa au hata kuuawa afu unakua shoga?? kuna jambo mahali....
Kwamba ni inaweza ikawa ni masuala ya homonal imbalance.

Ila mbona kuna watu wanazaliwa normal kabisa,wababadilika ukubwani?

Unajua nimeandika hapa baada ya kukuta chati za rafiki yangu na shoga huko fb wakipeana location.

Sasa nimewaza sana sababu jamaa ni classmate wangu namfahamu fika,..nimeanza kumkwepa
 
Ukitazama kwa makini kabisa,ushoga unaweza ukawa ni ugonjwa.

Kwa sababu it is extremely abnormal kwa binadamu mzima kabisa kiakili,kimwili,kihisia kuwa attracted kihisia na people of the same sex.

Hii hali isiyo ya kawaida haijawahi kushuhudiwa kwa mnyama yoyote isipokuwa binadamu.

Mungu atulinde kwa kweli
 

Attachments

  • IMG_7387.jpg
    IMG_7387.jpg
    54.2 KB · Views: 19
  • IMG_7386.jpg
    IMG_7386.jpg
    39.7 KB · Views: 21
  • IMG_7385.jpg
    IMG_7385.jpg
    66.6 KB · Views: 17
  • IMG_7382.jpg
    IMG_7382.jpg
    32.1 KB · Views: 19
  • IMG_7383.jpg
    IMG_7383.jpg
    35.3 KB · Views: 15
  • IMG_7384.jpg
    IMG_7384.jpg
    76.8 KB · Views: 18
  • IMG_7381.jpg
    IMG_7381.jpg
    70.1 KB · Views: 19
Back
Top Bottom