Ushirikina mahospitalini

Ushirikina mahospitalini

Mshana.....vipi kuna MTU aliwahi kunipa story kuwa alifungwa kizazi kwa nguo yake ya ndani ....baada ya kuchukuliwa alafu ikaenda kufanyiwa mambo hakuwEza kabisa kupata mtoto...baadae akaenda kwenye kamati za ufundi ile chupi ikavutwa na kisha ikanyunyuziwa dawa na baadae anadai alipata mtoto...

Swali je baada ya ile nguo kuvutwa yule aliyemfanyia hivyo hujua au??
Inawezekana kabisa akajua ngoja jichawi aje na ufafanuzi yakinifu
 
Mchana Jr......hivi MTU anapochukua nguo ya ndani ya MTU huwa ana kwenda kuifanyia nini.....na kama atafanya mambo je njia sahihi ya kutegua ni IPI.....
Kuna majeshi yanatumwa kuirejesha maana ikiwa kule bado itakudhuru hasa ile iliyovaliwa na haikufuliwa.
 
Ninadhani yote haya yanasababishwa na umasikini, tamaa ya pesa, kukata tamaa na kutokujiamini. Huduma za hospitali sikuhizi ni gharama sana, kwa mtu mwenye kipato cha kawaida akiwa anaumwa, kufikiria gharama za CT scan, ultrasound, conoloscopy etc, anaona ni heri tu aende kwa wataalamu wa satelight watakaomueleza aliemloga ni nani, mahitaji na makombe, psychologically kwakua anaamini, atajiona anapata nafuu. Bado wengi wetu tunaishi maisha haya ya kubahatisha.
Kuna wale ambao hawana elimu ya uhakika na wanataka kupanda vyeo kazini, hawa nao wako tayari kukopa aende kwenye kamati ya ufundi yule aliyoko pale aondolewe ili yeye apate ulaji. Hii nayo ni pamoja na tamaa na kutokujiamini.
Ninadhani bado tuna safari ndefu ya kuelimishwa na kudumisha huduma za afya. Madaktari na wauguzi wawe pia walimu kwa wagonjwa wao, watumie elimu na ujuzi wao kuelimisha jamii. Kama mtu anaambiwa mke wako ngoma imeitika lakini bahati nzuri wewe haijakupata. Unahitaji kujikinga unapofanya nae mapenzi, jamaa anakazana kuwa mke wangu amelogwa na mimi nitaenda nae hivyo hivyo kwakuwa ni mke wangu.
 
Dawa ya ushirikina ni kuudharau na kuamini katika Mungu aliye hai
 
Mshana.....vipi kuna MTU aliwahi kunipa story kuwa alifungwa kizazi kwa nguo yake ya ndani ....baada ya kuchukuliwa alafu ikaenda kufanyiwa mambo hakuwEza kabisa kupata mtoto...baadae akaenda kwenye kamati za ufundi ile chupi ikavutwa na kisha ikanyunyuziwa dawa na baadae anadai alipata mtoto...

Swali je baada ya ile nguo kuvutwa yule aliyemfanyia hivyo hujua au??
Wanajua sana tu maana huwa wanaweka hata ulinzi wa nyoka wakali. Lakini wataalamu huwapumbaza wake nyoka na kuondoka na kile walichofuata.
 
Hapa kuna mengi yaliyojificha yanayopelekea hali hiyo mahospitalini

1) kutokana na kuwa ni sehemu yenye mazingira rafiki kwa wachawi na majini kwa ujumla (kama vile damu, viungo vya mwili nk)

2) kumekuwa pia makao ya viumbe tofauti pia kwa kufurahia vyakula vinavyopatikana hapo

3) wengine wamelazwa hospital ila maradhi yao ni ya nguvu za giza na mda mwengine wale wachawi/majini waliodhamiria kumdhuru humfuata huko huko kummalizia

Hizo ni sababu zinazopelekea kuingiliana kwa mambo ya nguvu za giza na tiba ya hospital.

Wakati mwengine mgonjwa anaweza kuwa amechangamka vizuri na yupo karibu na kuruhusiwa, ila ghafla anaweza kuzidiwa hadi wauguzi wasielewe amepatwa na nini........ila katika anga la hospital mara nyingi hutawala nguvu za kiroho ambazo lengo ni kuharibu iwe kwa kutumwa au kukusudia tu.

KWENDA NA MADAWA NDIYO SULUHU?

Hapana, Mungu ndiyo Muweza wa yote hivyo tumuombe kwa nia atuondolee mitihani.
Dah jichawi umenifurahisha na hii post yako .
 
Iwapo aliyemfanyia ni mchawi au mganga, anaweza akajua......ila kama ni mtu tu aliyekwenda kwa mganga akafanyiwa shughuli na kuondoka hawezi akajua.

Ila sasa ikitokea akaona aliyoyakusudia yamekwenda sivyo, kama bado ana chuki anaweza akarudi kwa mtaalam kuchunguza kilichokwamisha.
Ahsante mkuu.....hivi kuna uhusiano gan kati ya nguo ya ndan na kufunga uzazi....Wa MTU kupitia nguo yake ya ndani....
 
Was za wazazi n shida sana Yale.mapaka mnayoyaona yanalia pembeni siopaka watu wale...msipokuwa vizuri NA MUNGU mnapoteza mtoto mnadai siriziki wapii

Umenikumbusha sana mbali kakaa..mkewangu alizidiwa tukajua anajifungua tukamkimbiza akalala mwezi ndio akajifungua.....

Kabla yakujifungua mamamzaz akawa anapishana na mm anakaa njee we asbh nakuja namtoa narudi..usiku mmoja nikasikia mapaka yanalia mbaya WD ya wazazi hizi mpya yaani mkitaka kujua n mapepo...saasita usiku yanaliaa aisee wamamaa wanazidiwa kama wanajifungua manesi wanakuwa confused wangu akaanza Julia nakufaa Jiran opposite akaanza kuliaa nisaidien nafa nikaenda ita manesi omg sitakikumbuka walikaa Dk 10 yule mama akajifungua kitandan mapacha wawili nikarudi tens kuwwomba wakaenda wakakuta wale watoto wamejawa NA madamu nikatokaa

Baadae naambiwa watoto wote wamekufa aisee militia chozi kila usiku nkaanza kukemea marohoya mauti mpaka akatoka mwanangu
 
Asante kwa ushauri japo una mapungufu mengi lakini bado ni ushauri na nimejali muda wako na mb zako...asante sana
HUYUU JAMAA ANA AKILI KWELII

ANASEMA UENDE USILAM ANAJUA AYA ZA MAJINI AMA TUMUWEKEE HUMU

MAJINI NA WAGANGA TOFAUTI GANI
 
Back
Top Bottom