Ushirikina mahospitalini

Ushirikina mahospitalini

Mshana jr acha kuamini ushirikina.. Njoo katika uislamu umjue Mungu wa kweli. You still have a chance. Your life.your choice.
Sio wote wanaoma na kuandika huku hawamjui mungu wengine wapo huku kijifunza na kupanua ufaham wa mambo ya kidunia.
 
.
 
Hatari sanaa

Kwamba anakua hoiii afu anaruka

Mbona hapo ni mzima kabisaaaaaaa

Maleria ilimpanda kichwani
Usiku anageuka ndege anaingia mitaani kuwanga halafu alfajiri anarejea wodini anaendelea kuumwa kitandani na madaktari na manesi wanampa huduma kama kawaida... Hapo alichelewa kurudi ishu ikasanuka
 
Sijaelewa kitu hapa, naona zogo tu na mapicha kama waandishi na Uwoya.... video inahusiana na mada...?
Mgonjwa mchawi usiku anawanga mitaani mchana anaumwa hospitali... Hapo alichelewa kurudi kitandani kuendelea kuumwa... Mambo yakawa hadharani
 
Mshana jr acha kuamini ushirikina.. Njoo katika uislamu umjue Mungu wa kweli. You still have a chance. Your life.your choice.
Huko unakomkaribisha ndiko chimbuko la uchawi, ushirikina na majini lilipo.
 
Huko unakomkaribisha ndiko chimbuko la uchawi, ushirikina na majini lilipo.
Sumbawanga na msitu wa gambush ni uislamuni???wale 900 watakaomroga mgombea ni uslamuni kule? Wanaotolewa mapepo kanisani ni waislam??? Acha kuzusha.
 
Back
Top Bottom