Ushirikina katika ngono na Manii

Ushirikina katika ngono na Manii


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anaswa na mteja wake akiwa kahifadhi manii kwenye toilet paper
Screenshot_20220804-012659.jpg
 
Mojawapo wa vizazi vya duniani ni kizazi cha wachawi washirika na walozi. Hii ni jamii inayofanya kila mbinu kujitanua na kujijengea himaya kubwa na yenye nguvu zaidi duniani.

Kwenye ulimwengu wa kishirikina, mchawi mzuri na wa uhakika si yule wa kurithishwa au kufunzwa duniani (kwenye post zilizopita tumeona kuna vyuo vya kishirikina) hawa wanakuwa si halisi hawa wana damu na makandokando ya kiimani na starehe za kidunia, kwahiyo wachawi hufanya kila aina ya mbinu kupata kizazi chao kisichochakachuliwa kwa njia zifuatazo:-

1. Kutumia wanawake wanaojiuza, vyovyote ufanyavyo ukifanya naye ngono kwa kondom au bila kondom lazima manii zako utaziacha. Kujiokoa na hili tumia kondom kisha ukimaliza kufanya dhambi zako katupe chooni usikubali yeye ndio afanye hiyo kazi itakula kwako.

2. Kutumia mahawara na nyumba ndogo wanaopenda kwenda kwa waganga. Yeye atatumwa manii zako ili atengenezewe dawa kumbe ndio watu wanazichukua wakafanyie yao.

3. Kupenda kujichua, mara nyingi hii watu hufanyia bafuni kule nako watu huweka mtego yao na kuchukua malighafi. Na hii mara nyingi ni kwa wale watu wazima.

4. Ndoto nyevu na kuota unafanya mapenzi mpaka unatoa manii kabisa, hii mara nyingi huwatokea wale wenye kuleta nyodo kwa wanawake na kujisikia kulikopitiliza.

Manii hizi huchanganywa na madawa na kwa njia za kishirikina huwekewa wanawake wenye mimba changa au mimba zinazotunga na kulea mimba ya kichawi mpaka mtoto anazaliwa akiwa mchawi. Mtoto wa namna hii huwa agent tangu kuzaliwa kwahiyo hata ahubiriweje hawezi kubadilika.

Jiepushe na haya kwa:

1. Kuwa na mwenza mmoja mwaminifu
2. Kuhifadhi manii zako vizuri kwa namna yoyote ile na kwa hali yoyote ile, hakikisha haziangukii mikononi mwa yeyote
3. Kuepuka uwezavyo kufanya masturbation na kufanya mapenzi na watu usiowafahamu
Kwa njia hii utasaidia mno kudhoofisha kizazi cha kichawi na kishirikina
Asante jembe
 
Uchawi haupo na hakuna kitu kama hicho duniani.

Nashangaa humu watu wanajadili vitu ambavyo havipo, uchawi haupo na haujawahi kuwepo.

Nishawambia watu wanaodaiwa kua ni wachawi na waganga waniroge sijawahi kuonanimeroheka,kuna mwingine niliwahi kumpiga makofi nikamwambia akaniroge sijawahi kuona. Uchawi haupo.

Kama kuna mtu humu anadhani yeye ni mchawi akaniroge nimemruhusu.
Waafrika wanapenda sana hadithi za uchawi
 
Habari Mshana jr , hii kesi nishakutana nayo kwa kaka yangu alikua na bi mkubwa na mdogo inasemekana bi mkubwa alichukua shahawa zake akafanyia mambo hivyo akienda kwa bi mdogo shuguli zero performance akirudi huku kwa mkubwa mambo swaaaafi kabisa ,
Swali je akitaka kujinasua afanye nini?
Huyo bimkubwa ndio ana code maana kuna mahali kazifunga hizo manii
 
Ni imani zenye uhalisia kuna kundi kubwa sana la watoto wachawi na washirikina.. Tena mahiri hasa Jiulize katika umri ule kajifunza au kafunzwa saa ngapi? Tena yuko daraja la juu! Kumbuka Uchawi na ushirikina pia vina madaraja
Je Uchawi na ushirikina ni vitu tofauti?
 
Mojawapo wa vizazi vya duniani ni kizazi cha wachawi washirika na walozi. Hii ni jamii inayofanya kila mbinu kujitanua na kujijengea himaya kubwa na yenye nguvu zaidi duniani.

Kwenye ulimwengu wa kishirikina, mchawi mzuri na wa uhakika si yule wa kurithishwa au kufunzwa duniani (kwenye post zilizopita tumeona kuna vyuo vya kishirikina) hawa wanakuwa si halisi hawa wana damu na makandokando ya kiimani na starehe za kidunia, kwahiyo wachawi hufanya kila aina ya mbinu kupata kizazi chao kisichochakachuliwa kwa njia zifuatazo:-

1. Kutumia wanawake wanaojiuza, vyovyote ufanyavyo ukifanya naye ngono kwa kondom au bila kondom lazima manii zako utaziacha. Kujiokoa na hili tumia kondom kisha ukimaliza kufanya dhambi zako katupe chooni usikubali yeye ndio afanye hiyo kazi itakula kwako.

2. Kutumia mahawara na nyumba ndogo wanaopenda kwenda kwa waganga. Yeye atatumwa manii zako ili atengenezewe dawa kumbe ndio watu wanazichukua wakafanyie yao.

3. Kupenda kujichua, mara nyingi hii watu hufanyia bafuni kule nako watu huweka mtego yao na kuchukua malighafi. Na hii mara nyingi ni kwa wale watu wazima.

4. Ndoto nyevu na kuota unafanya mapenzi mpaka unatoa manii kabisa, hii mara nyingi huwatokea wale wenye kuleta nyodo kwa wanawake na kujisikia kulikopitiliza.

Manii hizi huchanganywa na madawa na kwa njia za kishirikina huwekewa wanawake wenye mimba changa au mimba zinazotunga na kulea mimba ya kichawi mpaka mtoto anazaliwa akiwa mchawi. Mtoto wa namna hii huwa agent tangu kuzaliwa kwahiyo hata ahubiriweje hawezi kubadilika.

Jiepushe na haya kwa:

1. Kuwa na mwenza mmoja mwaminifu
2. Kuhifadhi manii zako vizuri kwa namna yoyote ile na kwa hali yoyote ile, hakikisha haziangukii mikononi mwa yeyote
3. Kuepuka uwezavyo kufanya masturbation na kufanya mapenzi na watu usiowafahamu
Kwa njia hii utasaidia mno kudhoofisha kizazi cha kichawi na kishirikina
🙄🙄🙄Duh navyokua najilibwasa kumbe watakua washafanya Yao sasa Hawa ambao wako sokoni inakuaje mbn hili tatizo jipya
 
Mkuu kama hali ni hiyo kumkwepa mchawi ni kazi sana, yote utafanya ila kimbembe sasa usiku wanapokuja kujipimia na vikombe vyao... Mungu atuokoe tu. Sasa utawezaje kufahamu mtoto wako kazaliwa mshirikina? mshana jr
🤣🤣🤣🤣🤣👆Tutapa tabu sana miaka ya sasa na wanapenda hao kujiuza
 
Hii kitu ni hatari imenitokea mwenyewe kabisa mke wangu wa ndoa kanibebea manii zangu ila issue kubwa nisizae kabisa nje mji nimeuacha kabisa maana nimeona naishi na mshirikina
 
Hii kitu ni hatari imenitokea mwenyewe kabisa mke wangu wa ndoa kanibebea manii zangu ila issue kubwa nisizae kabisa nje mji nimeuacha kabisa maana nimeona naishi na mshirikina
Uchawi na ushirikina sikuwahi kama nitakuja kukumbana navyo
Nimenusurika ajali zaidi ya tano
Mke nilieoa nikaishi nae miaka zaidi ya kumi Sikuweza kuchepuka
Siku nilipoweza kuchepuka hapo ndio nilijua mke wangu na baba mkwe ni watu wa aina gani

Ni mwaka sasa lkn niliyoyashuhudia ni hatari
Chini ya jua ni Mungu pekee ndie mlinzi wa yote
 
Uchawi na ushirikina sikuwahi kama nitakuja kukumbana navyo
Nimenusurika ajali zaidi ya tano
Mke nilieoa nikaishi nae miaka zaidi ya kumi Sikuweza kuchepuka
Siku nilipoweza kuchepuka hapo ndio nilijua mke wangu na baba mkwe ni watu wa aina gani

Ni mwaka sasa lkn niliyoyashuhudia ni hatari
Chini ya jua ni Mungu pekee ndie mlinzi wa yote
Tusimulie kidogo mkuu
 
Back
Top Bottom