Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,447
- 8,698
Jamaa kaambiwa na mganga apeleke manii yake amtengenezee dawa ya utajiri . Jamaa kakamua akampelekea na kutengeneza mambo . Ama kweli akawa tajiri mkubwa wa daladala , ila kawa functionless , mganga keshakufa na jamaa anajuta kwani wa kumrudishia nguvu zake mpaka mganga afufuke .
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app







