Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,934
- 831,419
- Thread starter
- #301
Kuzini na mwanamke, au kufanya USHOGA, ni hatari Kwa maisha sana katika siku hizi za mwishoNzuri hii.
Thread ya Live Kutoka kuzimu- Rabbon iliangazia hili.
Kwamba punyeto husababisha watoto wa kichawi kuumbwa, nusu mtu nusu Pepo,nusu mtu nusu shetani nk nk.
Kuzini na mwanamke, au kufanya USHOGA, ni hatari Kwa maisha sana katika siku hizi za mwisho.
Tubaki njia kuu.