bernad maheng
Member
- Dec 28, 2015
- 14
- 5
Mkuu mshana naomba majbu /ushaur wako
Mshukuru Sana Mungu kwa kukupa ulinzi wa pekee.Kuna mtu ana ripoti ya Tume ya Kipokola kuhusu madini? Anaweza akaweka hapa au akani-PM?
Mshukuru sana Mungu kwa kukupa ulinzi wa kipekeeUchawi haupo na hakuna kitu kama hicho duniani.
Nashangaa humu watu wanajadili vitu ambavyo havipo, uchawi haupo na haujawahi kuwepo.
Nishawambia watu wanaodaiwa kua ni wachawi na waganga waniroge sijawahi kuonanimeroheka,kuna mwingine niliwahi kumpiga makofi nikamwambia akaniroge sijawahi kuona. Uchawi haupo.
Kama kuna mtu humu anadhani yeye ni mchawi akaniroge nimemruhusu.
Asante kaka,ebu fikiria mtoto ana 4yrs na bado hajaanza chechekea kila nikiuliza kwa nini hajaanza wanadai ataanza na hawahitaji msaada wangu wa kumpeleka shuleAlizaliwa kwa lengo maalum la kuja kusulubisha familia yako kishirikina... Hakuna jinsi zaidi ya kuomba Neema na Rehema za mwenyezi Mungu akunusuru na hili janga linalokunyemelea
Kwa mujibu wa dini mtu akifa akiwa na dhambi anafanywa nini..?Ndio tena ni mkristo mzuri sana
Yaa ni kweli ukiona mtu anapinga ujue ni mchawi +++Mkuu@Mr Nzoka umepita mlemle nilimopita mimi....Kuna mchepuko.....ulinieletea matatizo makubwa....kitu sikujua kumbe ile Familia niyakichawi Completely...
.Anaishi MKOA ikatokea siku nimekwenda kulala nae nikataka kuvaa jezi ikashindikana nikajipa Moyo nitamwagia nje nahiyo nilijitahidi lkn aliyapata matone akayatumbukiza huko.....baada km ya mwezi akaniambia anamimba yangu lkn nisihusike kwa chochote...Ninavyokwambia dogo sijawahi kumuona kwa macho naishia kumuona kwa picha tens baada ya kutumia mbinu zaKiitejensia......Kuanzia pale niliharibikiwa sana...Nakitu ambacho nikawa sijui unapokuwa umezaa kwenye Familia yakichawi wakitaka kukuroga hawasumbuki naww wanamalizana na dogo hiyo Kitu imenitaabisha sana hadi nilipopata ufumbuzi wa hiyo kitu sina Lugha nzuri yakueleza ndiomaana humu zinapokuja mada zinazohusu mambo ya ulimwengu wa Giza then mtu anapinga mimi nadhani huyo ni mchawi hapendi wengine wajue siri zao
Dolevaby,pole mkuu aisee humu duniani kuna majanga ya hatari sana,kweli ushirikina upo but ukitaka uishi kwa amani ni kujifanya km haupo coz ukiuweka rohoni kila kitendo kinachotokea kwako utahisi uloziMkuu@Mr Nzoka umepita mlemle nilimopita mimi....Kuna mchepuko.....ulinieletea matatizo makubwa....kitu sikujua kumbe ile Familia niyakichawi Completely...
.Anaishi MKOA ikatokea siku nimekwenda kulala nae nikataka kuvaa jezi ikashindikana nikajipa Moyo nitamwagia nje nahiyo nilijitahidi lkn aliyapata matone akayatumbukiza huko.....baada km ya mwezi akaniambia anamimba yangu lkn nisihusike kwa chochote...Ninavyokwambia dogo sijawahi kumuona kwa macho naishia kumuona kwa picha tens baada ya kutumia mbinu zaKiitejensia......Kuanzia pale niliharibikiwa sana...Nakitu ambacho nikawa sijui unapokuwa umezaa kwenye Familia yakichawi wakitaka kukuroga hawasumbuki naww wanamalizana na dogo hiyo Kitu imenitaabisha sana hadi nilipopata ufumbuzi wa hiyo kitu sina Lugha nzuri yakueleza ndiomaana humu zinapokuja mada zinazohusu mambo ya ulimwengu wa Giza then mtu anapinga mimi nadhani huyo ni mchawi hapendi wengine wajue siri zao
unafikiri mungu ye akishahukumu hao wenye dhambi ye anapata faida gani..?Hakuna cha zaidi ya kusubiri hukumu wafu wote wamelala kuzimu
Hakuna cha zaidi ya kusubiri hukumu wafu wote wamelala kuzimu
Nikweli ila usipuuze kwa mfano mada kama hizi zinapokuja watu hawatakiwi kupuuza mimi niliangamia sababu sikuwana Taarifa zakutosha kuhusu ulimwengu wa giza unavyofanyakazi na Makuhani wake wanavyotumikia acha kabisa ndg....Unavyoona walokole wanavyokomaa kumtukuza MUNGU wa KWELI ndio na mawakala wa shetani walivyo Serious kumuabudu....!! Pia mikosi mingine watu wanaipata kupitia kuzini kile kitendo cha kumwaga mbegu ubafanya AGANO na miungu ya huyo unaezini nae...sasa kama Mungu wako hana nguvu basi miungu ya huyo unaezini nae itakutaabisha sana...zile manii ni Damu na Agano lolote lazima lihusishe Damu....hii kitu pia nikawa siijui kuvamiavamia wanawake nikujiunga na miungu mingineDolevaby,pole mkuu aisee humu duniani kuna majanga ya hatari sana,kweli ushirikina upo but ukitaka uishi kwa amani ni kujifanya km haupo coz ukiuweka rohoni kila kitendo kinachotokea kwako utahisi ulozi
unafikiri mungu ye akishahukumu hao wenye dhambi ye anapata faida gani..?Hakuna cha zaidi ya kusubiri hukumu wafu wote wamelala kuzimu
mWakikujua watahakikisha unalewa chakari ili usahau
waweza kuta .......lost id unaamini katika imani gani..? Naomba twende taratibu ili tuweze kuelimishana, sitaki nikulazimishe kuamini ninachoamini au vice versa la hasa nia ni kuelimishana
Mbona hujaaniita mshana jr!? Hahaaa nakufuatilia.