Norshad
JF-Expert Member
- Jun 3, 2013
- 5,224
- 12,622
Tupeane uzoefu wazee wa kuingia chaka, wazee wa kujilipua, wazee wa kujitafutia mabalaa....
Sio kutongoza tu hata Kama ushawahi kubanduana nao we lete mrejesho hapa ikawaje, maana naamini humu wengi yashatukuta....Mimi nilikutana na legendary KAISHKA pale bills kipindi hicho..pombe zilikata.
Sio kutongoza tu hata Kama ushawahi kubanduana nao we lete mrejesho hapa ikawaje, maana naamini humu wengi yashatukuta....Mimi nilikutana na legendary KAISHKA pale bills kipindi hicho..pombe zilikata.