Ushawahi kupiga bao chumba cha mtihani?

Ushawahi kupiga bao chumba cha mtihani?

Hapo sawa. Mie nilimaliza kitambo kidogo. 2001. Kuna wadogo zangu nadhani utakuwa ulisoma nao.
Nawakumbuka hawa:-Unyamaunyama,Tembo,Kibona(SBM),Shendu(SBM),Farady,Tete(alikuwa second master),Ishengoma NK!
Nimekumbuka pia meal card!
 
Ishanitokea nikiwa napiga practical ya electrical installation grade one, contactor zilinizingua nikawa nina hasira sana nikajikuta natoa wazungu ninachoshukuru nilikua nimevaa over coat
 
Ishanitokea nikiwa napiga practical ya electrical installation grade one, contactor zilinizingua nikawa nina hasira sana nikajikuta natoa wazungu ninachoshukuru nilikua nimevaa over coat
Daaah,umesema contactor umenikumbusha mambo ya motor!
 
Nawakumbuka hawa:-Unyamaunyama,Tembo,Kibona(SBM),Shendu(SBM),Farady,Tete(alikuwa second master),Ishengoma NK!
Nimekumbuka pia meal card!
Hahahaaaa
Unyamaunyama lilikua na nguvu fala lilee hahaaa. Ishengoma lilikua noko kikudaa pale Azimio tulikua tunapata tabu sanaa.
Hahaa enzi hizo tulikua tunafuta tick ktk meal card siku ya nyama ili kupiga paper two. Daaaaaaaah Mazengo ilikua booooooooooonge ya shule aseee
 
Wewe ndio huelewi kabisa!Mimi nilikuwa niko team ya mpira ya shule,na mazoezi tulikuwa tunafanya kila siku!
Haina uhusiano kabisaaa na shughuli kwa kitanda!

Namaanisha mazoezi ya kuongeza ufanisi
Mana huna tofauti na yule anaemwaga akibambia dem
 
Back
Top Bottom