Ushawahi kupiga bao chumba cha mtihani?

Ushawahi kupiga bao chumba cha mtihani?

😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀 Yajayo yanafurahisha.
 
Dah. Umenikumbusha mbali sana. Hali hii ilinipata nikiwa form one Tanga Tech, ulikua mtihani wa kiswahili na mwalimu alikua matata sana, kutokana na hofu ya mtihani ule ilioambatana na wasiwasi nilijikuta napiga bao kwa mara ya kwanza tangu niumbwe
 
Dah. Umenikumbusha mbali sana. Hali hii ilinipata nikiwa form one Tanga Tech, ulikua mtihani wa kiswahili na mwalimu alikua matata sana, kutokana na hofu ya mtihani ule ilioambatana na wasiwasi nilijikuta napiga bao kwa mara ya kwanza tangu niumbwe
Form 1?Wewe naye,sasa form one unapata stress ya paper ili iweje
 
Ni kweli ila hofu ya mitihani anaweza pata yeyote hata mtoto wa std 3 au 4. Sina hakika ni nini hasa huwakuta wenye hofu kama hizi na hawapo ktk hali ya kuejaculate au kuingia MP je nini huwakuta?
ila kwa standars 3&4 sijawahi ona ata mvulana akipizi itakuwaj hao wa kike
 
we jamaa bana yani Civics ya form1 ndo ikufanye upige bao wakati wenzako wanaongelea engineering science,Additonal Maths,Machemistry😂 watu kama nyie ndo mnasababisha rushwa isiishe bongo😂
Hahahaaaaaa mkuu uwe una mdisi unayemfaham.nilieleza kwanini ilikuwa ivo
 
Umenikumbusha necta yetu ya form six...tumeingia kwenye practical ya chemistry,jamaa akawa anafanya titration huku haoni colour change mpaka acid yote inaisha kwenye burrete..nikaona suruali yake imelowa kwa mbele,nikashtuka..baadae akajakutuambia kuwa alipizi...
Hakuweka indicator huyo
LOL
 
Aaaah poa mkuu!So mwaka wenu mlikuwa na warembo akina Grace,Hellen(Majina)
Hahahaaaa ndio mkuu, na nyie mlikuwa na manunda akina Mtopa, Kuna binti mmoja mmemaliza na nyie nimekutana nae karibuni Yuko road na uniform za traffic nikacheka sana.
 
Back
Top Bottom