Ushawahi kupiga bao chumba cha mtihani?

Ushawahi kupiga bao chumba cha mtihani?

Tena kama physics 2 bao lake lazima lilikuwa balaa
Ukikaribia kuzitingisha nyavu unaona mikono inastuck kwanza, ukitaka kujaribu kulizuia ndio linakaribia langoni kabisa, mara paap unasikilizia utamu maridadi kabisa.

Baada ya nyavu kutingishika, akili inarudi sasa unajikuta unakumbuka yale uliyoyasahau...
 
Hata mimi ilinikuta kwenye paper II Physics..form four sijui chanzo huwa nini

Watalaam watueleze kuna uhusiano gani
 
Hali Hii Imenitokea 2014 .
...! Nilikuwa Nafanya Paper Ya Mwisho Ya Veta Baada Kusoma Miaka 3 Katika Fani Ya Electronic (Complete Basic Assignment ) ..! Baada Ya Kufanya paper zote kama Electronics theory na practical, Engeneer Science , Preventive Maintenance , Communication, Entrepreneurship Na Masomo Mengine ..., Paper Ya Mwisho Ilikuwa Computer Application Practical Sasa Kuna Ishu Fulani Ya Ku edit Na Kupriting Basi Kuna step Nilisahau huku nikicheki Wanangu wote wamemaliza na kupriting , Bhasi Nikashangaa Nimejipiga Bonge la baoop
 
Hata sielewa kama ni chai,Tangawizi ama gahawa..Mana nabak kucheka tu.
 
Nimekuelewa.
Mie pia nilisoma pale. Kama nakuona nikiwaza ule ukumbi
Enzi hizo debe lilikuwa linafanyika humo,basi watoto wa msalato/Dom sec walikuwa wanaletwa na costa wamepigilia haswaa!Tatizo walikuwa wakiletwa tukiwa
tunaitika majina chini ya ule mti aliponyongewa chief mazengo,mtu kama ulikuwa huna mpango wa kuingia pini basi utabadili mawazo na kwenda kuoga fastaaa!
 
Enzi hizo debe lilikuwa linafanyika humo,basi watoto wa msalato/Dom sec walikuwa wanaletwa na costa wamepigilia haswaa!Tatizo walikuwa wakiletwa tukiwa
tunaitika majina chini ya ule mti aliponyongewa chief mazengo,mtu kama ulikuwa huna mpango wa kuingia pini basi utabadili mawazo na kwenda kuoga fastaaa!
Hahahaha. Umemaliza mwaka gani. Maana sisi hatukuwa na Dom Sec. Sisi ilikuwa ni Msalato aka Msazengo. Nikukumbuka enzi zetu kuna jamaa alikunywa vidonge na kufa kisa demu kamkataa kwenye debe na kuamua kucheza na mwingine.
 
Hivi baada ya kitendo hicho hujisikii aibu kweli?
Hiyo inakuwa ni siri yako

Kama mimi sijawahi kumwambia mtu hata mmoja japo nimewahi kusikia watu wanasema hizi habari nje na JF.
 
Hahahaha. Umemaliza mwaka gani. Maana sisi hatukuwa na Dom Sec. Sisi ilikuwa ni Msalato aka Msazengo. Nikukumbuka enzi zetu kuna jamaa alikunywa vidonge na kufa kisa demu kamkataa kwenye debe na kuamua kucheza na mwingine.
Sikumalizia hapo,tulihamishwa ili kupisha chuo!Nilihamia Moshi tech kumalizia
 
Hiyo inakuwa ni siri yako

Kama mimi sijawahi kumwambia mtu hata mmoja japo nimewahi kusikia watu wanasema hizi habari nje na JF.
Hahahaaa itabidi kila kukitokea jambo la kuogofya niwe nawachunguza vizuri me
 
Wengi inayowatokea hvyo mnamatatizo ila hamjijui

Pigen mazoezi
Otherwise wake na wapenz zenu watawakimbia tu
 
Back
Top Bottom