Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,721
- 126,568
Ukikaribia kuzitingisha nyavu unaona mikono inastuck kwanzaTena kama physics 2 bao lake lazima lilikuwa balaa



, ukitaka kujaribu kulizuia ndio linakaribia langoni kabisa, mara paap unasikilizia utamu maridadi kabisa.Baada ya nyavu kutingishika, akili inarudi sasa unajikuta unakumbuka yale uliyoyasahau...
