Ushauri wenu, nimejeruhiwa sana na mapenzi

Ushauri wenu, nimejeruhiwa sana na mapenzi

Hali kama hii ikukute huna cha kufanya(biashara),kazi au chochote cha kukuingizia kipato halafu uwe kwenye mtaa wenye fitina,masengenyo na umbea tena familia isiwe na sapoti yoyote juu yako,yaani umegeuzwa house boy/girl aiseeeeeee haahhahaa unaweza dhani shetani ndiye aliyeumba ulimwengu...Mungu aturehemu kwakweli.

Pole mrembo.
Kuna wakati najiuliza hivi kweli Mungu yupo? Sipati jibu
 
I know how you are going through
i have been there
Its tough ...
first, find a place and be alone, cry as much as you can, and tell yourself that it will.be your last cry for him, release all the pain and make sure ukiondoka hio sehem unaacha all the pains and all the memories hapo,
Then secondly msamehe ..for all he has done, msamehe
Thirdly, dispose anything about him, nguo, zawadi, namba ya simu yan kila kitu,
Mwisho, move on my friend, be happy, kwan ameondoka na upendo wako ? Upendo wako bado unao, yeye ndo ame loose,
so be happy, and ikiwezekana find a trip usafiri hata nenda national parks, au hotel zile ziko sehem za national parks, kaa hata wiki, unainjoi tu alone, mara ya kwanza iwe alone, then badae uwe na friends wako, usiharakishe kupata mtu kwa sasa, give yourself time, LOVE i mean true love will find you one day, your man is just out there waiting for you, you just have to be patient, pia always thank God you never know Mungu kakuepusha na nini.
Am sure you will be alright, utaniambia.

Thanx so Much Pato,be blessed abundantly [emoji1317][emoji1317][emoji1317]
 
Kuna wakati najiuliza hivi kweli Mungu yupo? Sipati jibu

Mungu Huwa yupo siku zote dear na anajali sana,haijalishi tunapitia magumu kiasi gani! Know that He sees every tear that falls,in His time He makes all things beautiful darl!and He knows Kwa nini anaruhusu haya but one thing I know He is always with us!
 
Huwa najisikia uchungu sana mdada akiumizwa na mapenzi, pole sana mkuu cha kufanya jitahidi upunguze mawasiliano nae vitu vinavyokukumbusha kuhusu yeye km inawezekana vichome moto,jione una thamani maana hapo unajiona hufai tyr, ipe nafsi yako thamani na upendo km ukiumia sana ruhusu machozi yatoke,
akikuelewa atapita salama........najua hapo keshamkumbuka yule jamaa aliemkataa........sasa akitokea ghafla.....tunampoteza kabisa.......ajipende mwenyewe mwenyewe tuu...
 
akikuelewa atapita salama........najua hapo keshamkumbuka yule jamaa aliemkataa........sasa akitokea ghafla.....tunampoteza kabisa.......ajipende mwenyewe mwenyewe tuu...

Kweli kabisa najitajidi iwe hivo!kujipenda ndiyo ajenda muhimu Kwa sasa! Asante mno nosspass
 
Pole.. Just know this no matter what happens life needs to go on.. Watu wanakuja na wanaenda!
 
I know its hard and your pain unbearable ,you see like everything is going wrong in your way while its not. just decide to wipe your tears and move on with your life and dont forget to.....
Let your tears water the seed of your future happines
 
I know its hard and your pain unbearable ,you see like everything is going wrong in your way while its not. just decide to wipe your tears and move on with your life and dont forget to.....
Let your tears water the seed of your future happines

It hurts indeed and my heart is so tired,thank you for the encouraging words[emoji1317]blessings
 
Sikuwahi kujua kama mapenzi yanaweza jeruhi kiasi hiki aisee, kiasi cha kuona dunia imesimama. Nilikuwa tu nasikia na kusoma tu kama hadithi. Dah mtu uliyempa Moyo wako kwa dhati kabisa yeye anakuchukulia poa khaaa sijui inawezekanaje jamani.

Hata siamini Mungu tu anipe nguvu niweze muondoa akilini ili nisonge mbele. Maana nampenda sana hadi nashindwa kuelewa sababu tu. Usithubutu kukutwa na hali hii katika maisha yako, ni uzoefu mchungu mno.

Hivi huwa kuna uwezekano kuwa na uhusiano halafu mmoja wenu awe tu malaika asimkosee mwenzie kabisa? Akimkosea mwenzie kosa tu dogo mawasiliano yanakatika? Lakini wakati huo yeye anakukosea sana tu na unamsamehe bila kujali kwa vile tu unampenda?

Kama unajua hauko serious kwanini sasa usababishe shida kwa mwenzio kiasi hiki jamani? Kwanini jamani drama hizi. Sina majibu sahihi nina maumivu makali mno! Njooni mnisaidie nitokeje hapa please.

Mmmh ama kweli kuishi kwingi kuona mengi, nimeamini hata kivuli chako chaweza kukusaliti siku moja. Nimeamua kusema huku labda naweza pata nafuu kwa kutoa nyongo hii ila siyo rahisi kabisa.

Naombeni nasaha zenu
Wakati Fulani Penzi linapopotea ,,hatupaswi kuinamisha vichwa vyetu ndani ya bwawa LA Huzuni .,Muhimu ni kuinua vichwa vyetu na kuitazama mbigu kwasababh huko ndo Myoyo yetu ilovunjwa huenda kutibiwa nakurudi kua km moyo wamtoto mchanga.

Maisha nilazima yaendelee ,, hatupaswi kuruhusu changamoto km izi ziweze kuturudisha nyuma eti tusipende tena au tusifanye maisha yetu.Baadhi yawatu huja maishan mwetu Kutumaliza ,,nakatika muda wote hupretend km wanakupenda nakukufanya wewe usijue km ni fake love .. But wat is important ?. Tukubali kushindwa ?. Hupaswi kumjutia ,,jutua muda wako ulopoteza naufurahie sasa umepata nafasi yakujifunza nahatimaye Siku moja uwe namtu sahihi!!!.

Usihisi amekuacha ,,sema " mapenzi yametuacha " he will never be with you ,,and you will never be with him .
So what next ?.... Fanya maisha ,jipe nafasi ,,tuliza moyo ,,nenepa ,,Fanya pesa,, tafuta furaha ..mapenzi yatakuja tu yakweli.

Pole sana sababu unamoyo wa kupenda sana ila umeumizwa,,usivunje moyo ,,wala isikufanye ukapunguza upendo wako kwa mwanamme utakayempata .

IKIWA HUJUI UNAKOENDA ,,UNAPASWA USITUMIE SPIDI KUBWA SANA KWENDA HUKO USIKOJUA ....unaweza ukaanza safar kwakukimbia nasipidi kubwa lkn sababu hujui umbali wake ,,Basi utachoka ,,nawenzako watakupita ".

UKIWA HUJUI UNAKOENDA ,,ANZA SAFAR NA MWENDO MDOGO MDOGO YAAAAN POLE POLE .


SOMETIMES YOU ACCEPT THAT SOME PEOPLE CAN ONLY BE IN OUR HEART BUT NOT IN OUR LIFE .

love you lonelygal.
 
Wakati Fulani Penzi linapopotea ,,hatupaswi kuinamisha vichwa vyetu ndani ya bwawa LA Huzuni .,Muhimu ni kuinua vichwa vyetu na kuitazama mbigu kwasababh huko ndo Myoyo yetu ilovunjwa huenda kutibiwa nakurudi kua km moyo wamtoto mchanga.

Maisha nilazima yaendelee ,, hatupaswi kuruhusu changamoto km izi ziweze kuturudisha nyuma eti tusipende tena au tusifanye maisha yetu.Baadhi yawatu huja maishan mwetu Kutumaliza ,,nakatika muda wote hupretend km wanakupenda nakukufanya wewe usijue km ni fake love .. But wat is important ?. Tukubali kushindwa ?. Hupaswi kumjutia ,,jutua muda wako ulopoteza naufurahie sasa umepata nafasi yakujifunza nahatimaye Siku moja uwe namtu sahihi!!!.

Usihisi amekuacha ,,sema " mapenzi yametuacha " he will never be with you ,,and you will never be with him .
So what next ?.... Fanya maisha ,jipe nafasi ,,tuliza moyo ,,nenepa ,,Fanya pesa,, tafuta furaha ..mapenzi yatakuja tu yakweli.

Pole sana sababu unamoyo wa kupenda sana ila umeumizwa,,usivunje moyo ,,wala isikufanye ukapunguza upendo wako kwa mwanamme utakayempata .

IKIWA HUJUI UNAKOENDA ,,UNAPASWA USITUMIE SPIDI KUBWA SANA KWENDA HUKO USIKOJUA ....unaweza ukaanza safar kwakukimbia nasipidi kubwa lkn sababu hujui umbali wake ,,Basi utachoka ,,nawenzako watakupita ".

UKIWA HUJUI UNAKOENDA ,,ANZA SAFAR NA MWENDO MDOGO MDOGO YAAAAN POLE POLE .


SOMETIMES YOU ACCEPT THAT SOME PEOPLE CAN ONLY BE IN OUR HEART BUT NOT IN OUR LIFE .

love you lonelygal.


Asante sana Putin,umenena vyema sana hakika ubarikiwe Kwa hekima yako!Nitainua macho juu sasa ulipo msaada wangu wa kweli!ni kweli wapo watu huja maishani mwetu kutumaliza hili ni kweli kabisa,wanapretend kupenda oooh kwa nini!its true nilimpenda sana na haijawahi kunitokea hivi maishani,but anyways alikuja kunileta darasani,Asante kwa darasa Engineer wangu!

Asante tena Putin Kwa mashauri haya mema!Mungu akubariki
 
Asante sana Putin,umenena vyema sana hakika ubarikiwe Kwa hekima yako!Nitainua macho juu sasa ulipo msaada wangu wa kweli!ni kweli wapo watu huja maishani mwetu kutumaliza hili ni kweli kabisa,wanapretend kupenda oooh kwa nini!its true nilimpenda sana na haijawahi kunitokea hivi maishani,but anyways alikuja kunileta darasani,Asante kwa darasa Engineer wangu!

Asante tena Putin Kwa mashauri haya mema!Mungu akubariki
Keep moving,, keeping working.....
Commitment [emoji9] [emoji9] Consistency..
 
Back
Top Bottom