Ushauri wenu, nimejeruhiwa sana na mapenzi

Ushauri wenu, nimejeruhiwa sana na mapenzi

Sikuwahi kujua kama mapenzi yanaweza jeruhi kiasi hiki aisee, kiasi cha kuona dunia imesimama. Nilikuwa tu nasikia na kusoma tu kama hadithi. Dah mtu uliyempa Moyo wako kwa dhati kabisa yeye anakuchukulia poa khaaa sijui inawezekanaje jamani.

Hata siamini Mungu tu anipe nguvu niweze muondoa akilini ili nisonge mbele. Maana nampenda sana hadi nashindwa kuelewa sababu tu. Usithubutu kukutwa na hali hii katika maisha yako, ni uzoefu mchungu mno.

Hivi huwa kuna uwezekano kuwa na uhusiano halafu mmoja wenu awe tu malaika asimkosee mwenzie kabisa? Akimkosea mwenzie kosa tu dogo mawasiliano yanakatika? Lakini wakati huo yeye anakukosea sana tu na unamsamehe bila kujali kwa vile tu unampenda?

Kama unajua hauko serious kwanini sasa usababishe shida kwa mwenzio kiasi hiki jamani? Kwanini jamani drama hizi. Sina majibu sahihi nina maumivu makali mno! Njooni mnisaidie nitokeje hapa please.

Mmmh ama kweli kuishi kwingi kuona mengi, nimeamini hata kivuli chako chaweza kukusaliti siku moja. Nimeamua kusema huku labda naweza pata nafuu kwa kutoa nyongo hii ila siyo rahisi kabisa.

Naombeni nasaha zenu
Huwezi kuyafahamu vizuri mapenzi kama hayajakujeruhi.....
Kama utaliponyesha hilo jeraha basi utakuwa Dereva thabiti Wa mapenzi..
Mapenzi kama baiskeli ili iijue lazma ikujeruhi
 
Ukikua utaacha mapenzi ya kitoto


Penzi haliwi penzi kama huna furaha
 
Ukikua utaacha mapenzi ya kitoto


Penzi haliwi penzi kama huna furaha

Furaha inajengwa na wote sawa Nokia83,na haihusishi na kutaka uwe mbinafsi unachopenda kufanyiwa wafanyie na wenzio period!Ukifanya hivyo furaha ni guaranteed !
 
The clock that you've been watching has been
stopping
He makes you wait
What kind of man does that to a girl he loves
If you just give tonight to me
I promise my hands will say
They'll say
 
Less than a minute, take your clothes off
We about to start no false alarm
Even though the traffic downtown don't show no
mercy
Oh, oh think about the last time I came through
Had something more than a gift for you
And I ain't only *** you like that on your
birthday
Oh, oh baby I just landed
'Bout to get my bags in
All I need's an address and I'm on my way
Don't fall asleep
Yes I see you calling me
Promise it's worth waiting for
Because I'm on my way
 
Huwa najisikia uchungu sana mdada akiumizwa na mapenzi, pole sana mkuu cha kufanya jitahidi upunguze mawasiliano nae vitu vinavyokukumbusha kuhusu yeye km inawezekana vichome moto,jione una thamani maana hapo unajiona hufai tyr, ipe nafsi yako thamani na upendo km ukiumia sana ruhusu machozi yatoke,
kwanini waumia kwa mdada na sio mkaka bibie
 
pole sana...u love where u loved...mapenzi ya kweli ni kama kioo...unatakiwa upate unachokitoa ukisema i care basi iwe kwa vitendo n.k...ukiona upo kwenye uhusiano one sided bila basi mapema usisubiri miujiza jiodoe mapema kabla maumivu hayajakupata....kwa sasa tuliza akili kabisa upone majeraha na kujipanga upya kupambana na maisha maana kuumizwa sio mwisho wa maisha yako..hilo ni somo..jitahidi kutomtafuta tena maana hilo litakuchelewesha kupona...yale yote yanayoweza kukumbusha juu yake kaa nayo mbali sana...
 
Labda tungejua kwanza ni kosa gani wewe ulilotenda mpaka ameshindwa kukusamehe. Tuambie tujue uzito wa kosa lako kulingana na adhabu alokupa
Nimekuuliza swali hili,bado hujajibu,ni kosa gani ambalo wewe umetenda mpaka jamaa kaamua kuachia ngazi?????
 
pole sana...u love where u loved...mapenzi ya kweli ni kama kioo...unatakiwa upate unachokitoa ukisema i care basi iwe kwa vitendo n.k...ukiona upo kwenye uhusiano one sided bila basi mapema usisubiri miujiza jiodoe mapema kabla maumivu hayajakupata....kwa sasa tuliza akili kabisa upone majeraha na kujipanga upya kupambana na maisha maana kuumizwa sio mwisho wa maisha yako..hilo ni somo..jitahidi kutomtafuta tena maana hilo litakuchelewesha kupona...yale yote yanayoweza kukumbusha juu yake kaa nayo mbali sana...

Asante sana
 
Back
Top Bottom