Ushauri wenu kwa huu mtihani

Ushauri wenu kwa huu mtihani

Hii ishu ikaushie kma anekufa kumbuka ww ndio mtu wa mwisho kua nae ni msala utakuja kunyongwa hivi hivi kua makini huyo demu ni pepopesa mzee inaelekea apo mmekutana mswahili na mchagga patamu apo.
Hata Mchagga ni mswahili pia.
 
Mtu hawezi kuruka akiwa amekaa labda kama ilikua pick-up, huyu jama baada ya kukereka na mlevi mwezie akamua kumsukuma nje ili afe gari lake lipone kuuzwa,

Huyu mchagga angekua anataka ajari mwenyewe asinge mruhusu kuendesha gari vizuri angepigana nae kwenye stearing ili agonge wapate ajari wote, lakini cha kuruka akiwa ameka hapana, tena kumbuka gari zina Central lock mlevi asinge weza kufungua mlango kirahisi bila yeye kuzuia na lock tena, huyu jamaa kaua au alifanya jaribio la kuua huyu manzi wa mchagga, anda wakili wakukutetea, mwenzio kasha pona hilo deni, kwa kifo au kua maututi hospitali atavumiliwa na vikoba, usicheze na Mchagga kwenye masirahi
"...usicheze na mchagga kwenye masilahi...", ni kauli ya kifalla na ya kimaku sana. Wachaga ni wabantu wa kawaida sanaaaa
 
Pitia hapa kwanza kabla sijakushauri lolote

 
Habar wakuu, naombeni ushauli wakubwa

Nimechanganyikiwa sana, mimi nina mwanamke wangu mchaga, najua ananipenda sana na huwa ananisaidiaga mambo mbalimbali madogo madogo
Sasa tangu wiki iliyopita analalamika kwamba anadaiwa milioni 2.5 yaan milioni mbili na nusu, kwamba alikopa mwaka jana na alikuwa anatumia na mwanaume wake kabla ya mimi, sasa naona wiki yote hii hana raha.

Na mimi kwasasa sina hiyo hela, akanishawish tuweke gari langu bond mil.3 ili yeye alipe kule baada ya mwezi mmoja analudusha, halafu lile gari tutauza hela nyingine tutafungulia biashara ya baa mimi nikakubali kishingo upande sana

Kila siku naona hana raha, mpaka leo tumetoka tuneenda sehemu tumekula tumekunywa, mara kaanza nisiongee na mtu mara hivi vituko kibao
tukapanda gari tukaondoka njiani vituko mara hivi kugombana akafikia kauli mimi naruka, me nikasema kama mwanamke kweli ruka hapo nipo speed 40 ghafla nikaona mtu kafungua mlango wa gari karuka kweli, nikasikia yowe moja tuuuh
me kiukweli sikusimama kabisa maaana nilipata hasira mpaka nikafika home, mpaka sasa sijui hali yake maana sasa 6 usiku ndo imetokea tena karuka kwenye lami

Maswali :

Najiuliza huyu mwanamke Ana strees zake za madeni anataka kunipa kesi ya mauaji au ndo wivu ?

Hata kama wivu mbona tunagombanaga sana haijawahi tokea hii

Ushauri wenu ndugu zangu
Sasa rafiki kitendo cha yeye kuruka wakati wewe unaendesha gari ni kesi tayari sasa wewe unaongelea kesi gani tena labda awe hajaumia kabisa kitu ambacho akiwezekani
 
Sasa Huyo dada anataka Umlipie madeni yakee hela alizotumia na bwana wake??? Wewe why Hukumblock mapemaaa maana anataka akutumiee kijanjaaa.. Kama karuka kwenyw Gari achana nae mazima mkuu atakuja Kujiua kisa madeni yake alafu akuachie wewe msalaaa.. Kuna hela za kumsaidia mtu ila sio Mil 2.5 hapana aiseee labda kama Una mahelaaa..
 
hakuna ndumba kweli hapo hebu wasiliana na Mshana Jr halafu umesema alikushauri mfungue bar sio barmaid kweli,nahisi hiyo million 2.5 aliitumia pamoja na mwanaume wake wa zamani Zero IQ
 
Back
Top Bottom