Habar wakuu, naombeni ushauli wakubwa
nimechananykiwa sana, mimi nina mwanamke wangu mchaga, najua ananipenda sana na huwa ananisaidiaga mambo mbalimbali madogo madogo
Sasa tangu wiki iliyopita analalamika kwamba anadaiwa mil.2.5 yaan million mbili na nusu, kwamba alikopa mwaka jana na alikuwa anatumia na mwanaume wake kabla ya mimi, sasa naona wiki yote hii hana raha.
namimi kwasasa sina hiyo hela, akanishawish tuweke gari langu bond mil.3 ili yeye alipe kule baada ya mwezi mmoja analudusha, halafu lile gari tutauza hela nyingine tutafungulia biashara ya baa mimi nikakubali kishingo upande sana
kila ck naona hana raha, mpaka leo tumetoka tuneenda sehem tumekula tumekunywa, mara kaanza nisiongee na mtu mara hivi vituko kibao
tukapanda gari tukaondoka njian vituko mara hiv kugombana akafikia kauli mimi naluka, me nikasema kama mwanamke kweli ruka hapo nipo speed 40 ghafla nikaona mtu kafungua mlango wa gari karuka kweli, nikasikia yowe moja tuuuh
me kiukweli sikusimama kabisa maaana nilipata hasira mpaka nikafika hom, mpaka sasa sijui hali yake maana sasa 6 uck ndo imetokea tena kaluka kwenye lami
Maswali :
Najiuliza huyu mwanamke Anastrees zake za maden anataka kunipa kesi ya mauwaji au ndo wivu ?
Hata kama wivu mbona tunagombanaga sana haijawah toke hii
Ushauli wenu ndugu zangu