Ushauri wenu kwa huu mtihani

Ushauri wenu kwa huu mtihani

We Acha tuuh mpaka sasa sijui kitu na simu haipatikani
Achana naye ndugu zake watamfuta hospital Hilo ni jini nyonya dama na Bora. Ujatoa gari lako yani mahusiano ymeanza tu anakuja na majanga ambayo ujui chanzo chake achana naye uyo
 
Achana naye ndugu zake watamfuta hospital Hilo ni jini nyonya dama na Bora. Ujatoa gari lako yani mahusiano ymeanza tu anakuja na majanga ambayo ujui chanzo chake achana naye uyo
Nimekuelewa mkuu
 
Pole sana, navuta hisia hapa naona kama ulikutana na jini hivi?..pole sana jamaa yangu. Huyo mtu achana naye kabisa hana nia nzuri.

Kumbuka "money is for life but life is not for money". Tunaishi mara moja tu Brother.
Acha kabisa.
Yah nikweli kabisa mkuu
 
Ila wanamme mtaacha lini kutuua?uliwezaje kuondoka kwenye tukio Kama Hilo ukamuacha binadamu mwenzio hapo?Tena unaedai unampenda?
Kwanini aruke tuanzie hapo...acheni tabia ya kutujaribu kila Mtu anastress bhana
 
Habar wakuu, naombeni ushauli wakubwa

Nimechanganyikiwa sana, mimi nina mwanamke wangu mchaga, najua ananipenda sana na huwa ananisaidiaga mambo mbalimbali madogo madogo
Sasa tangu wiki iliyopita analalamika kwamba anadaiwa milioni 2.5 yaan milioni mbili na nusu, kwamba alikopa mwaka jana na alikuwa anatumia na mwanaume wake kabla ya mimi, sasa naona wiki yote hii hana raha.

Na mimi kwasasa sina hiyo hela, akanishawish tuweke gari langu bond mil.3 ili yeye alipe kule baada ya mwezi mmoja analudusha, halafu lile gari tutauza hela nyingine tutafungulia biashara ya baa mimi nikakubali kishingo upande sana

Kila siku naona hana raha, mpaka leo tumetoka tuneenda sehemu tumekula tumekunywa, mara kaanza nisiongee na mtu mara hivi vituko kibao
tukapanda gari tukaondoka njiani vituko mara hivi kugombana akafikia kauli mimi naruka, me nikasema kama mwanamke kweli ruka hapo nipo speed 40 ghafla nikaona mtu kafungua mlango wa gari karuka kweli, nikasikia yowe moja tuuuh
me kiukweli sikusimama kabisa maaana nilipata hasira mpaka nikafika home, mpaka sasa sijui hali yake maana sasa 6 usiku ndo imetokea tena karuka kwenye lami

Maswali :

Najiuliza huyu mwanamke Ana strees zake za madeni anataka kunipa kesi ya mauaji au ndo wivu ?

Hata kama wivu mbona tunagombanaga sana haijawahi tokea hii

Ushauri wenu ndugu zangu
😂 😂 😂 😂
 
Back
Top Bottom