Ushauri wenu kwa huu mtihani

Ushauri wenu kwa huu mtihani

Hii ishu ikaushie kma anekufa kumbuka ww ndio mtu wa mwisho kua nae ni msala utakuja kunyongwa hivi hivi kua makini huyo demu ni pepopesa mzee inaelekea apo mmekutana mswahili na mchagga patamu apo.
 
Maybe mimi naona tofauti. Personally sidhani kama una kosa bwana baharia. Coz we mwenyewe umesema tangu mmetoka out alikua ameshaanza visa kibao tu. Na pia hata source ya huzuni yake ni mwanaume mwingine n.k. huyo manzi hana kichaa. Sasa anatishia kuruka kwa minajili gani? Maana kuruka nje ya gari linalotembea sio kitu cha utani. Ye aliamua kuruka kwa mambo yake mwenyewe. Bora umemtema. Maana mtu mzima hatishii nyau, anakaa chini mnayajenga. Temana nae. Faken
By the way jus know gari ulikua unaenda kueka bondi kwa jamaa yake and yeye ndo angelinunua af baadae ungechomwa moto kama yule jamaa wa dar
Hata kama nilikuwa mitungi mpaka sasa naona sina kosa kweli, mtu unatishia kuruka kwenye gari iseee sasa naoana now maumivu anayopitia huko akili inamkaa sawa
 
Hii ishu ikaushie kma anekufa kumbuka ww ndio mtu wa mwisho kua nae ni msala utakuja kunyongwa hivi hivi kua makini huyo demu ni pepopesa mzee inaelekea apo mmekutana mswahili na mchagga patamu apo.
daah me sijui chochote mpaka sahiz kmy cm yake haipatikani ila speed 40 hawezi kufa
 
Uyo dada kashawahi kula kiporo Cha wali na maharage na chai ya rangi kweli??
Uyo maslahi mbele kuliko mapenz na atakupa kesi mbaya Sana

Mtafute ujue anaendeleaje mwambie Deni tutalipa maana nahisi ukimkataa sahiz atakupa kesi kubwa tu

Akishapona mmwage mbuzi huyo


Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Uyo dada kashawahi kula kiporo Cha wali na maharage na chai ya rangi kweli??
Uyo maslahi mbele kuliko mapenz na atakupa kesi mbaya Sana

Mtafute ujue anaendeleaje mwambie Deni tutalipa maana nahisi ukimkataa sahiz atakupa kesi kubwa tu

Akishapona mmwage mbuzi huyo


Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Asnte mkuu
 
Habar wakuu, naombeni ushauli wakubwa

nimechananykiwa sana, mimi nina mwanamke wangu mchaga, najua ananipenda sana na huwa ananisaidiaga mambo mbalimbali madogo madogo
Sasa tangu wiki iliyopita analalamika kwamba anadaiwa mil.2.5 yaan million mbili na nusu, kwamba alikopa mwaka jana na alikuwa anatumia na mwanaume wake kabla ya mimi, sasa naona wiki yote hii hana raha.
namimi kwasasa sina hiyo hela, akanishawish tuweke gari langu bond mil.3 ili yeye alipe kule baada ya mwezi mmoja analudusha, halafu lile gari tutauza hela nyingine tutafungulia biashara ya baa mimi nikakubali kishingo upande sana

kila ck naona hana raha, mpaka leo tumetoka tuneenda sehem tumekula tumekunywa, mara kaanza nisiongee na mtu mara hivi vituko kibao
tukapanda gari tukaondoka njian vituko mara hiv kugombana akafikia kauli mimi naluka, me nikasema kama mwanamke kweli ruka hapo nipo speed 40 ghafla nikaona mtu kafungua mlango wa gari karuka kweli, nikasikia yowe moja tuuuh
me kiukweli sikusimama kabisa maaana nilipata hasira mpaka nikafika hom, mpaka sasa sijui hali yake maana sasa 6 uck ndo imetokea tena kaluka kwenye lami

Maswali :

Najiuliza huyu mwanamke Anastrees zake za maden anataka kunipa kesi ya mauwaji au ndo wivu ?

Hata kama wivu mbona tunagombanaga sana haijawah toke hii

Ushauli wenu ndugu zangu

mkuu gari gani unatumia hiyo ya ajabu ajabu kiasi cha kumfanya abiria wako aamue kufungua mlango na kuruka tena kwa speed 40 iyo gari uza tu kama haina automatic lock za doors nawewe utaja kuruka sasa…….
 
Habar wakuu, naombeni ushauli wakubwa

nimechananykiwa sana, mimi nina mwanamke wangu mchaga, najua ananipenda sana na huwa ananisaidiaga mambo mbalimbali madogo madogo
Sasa tangu wiki iliyopita analalamika kwamba anadaiwa mil.2.5 yaan million mbili na nusu, kwamba alikopa mwaka jana na alikuwa anatumia na mwanaume wake kabla ya mimi, sasa naona wiki yote hii hana raha.
namimi kwasasa sina hiyo hela, akanishawish tuweke gari langu bond mil.3 ili yeye alipe kule baada ya mwezi mmoja analudusha, halafu lile gari tutauza hela nyingine tutafungulia biashara ya baa mimi nikakubali kishingo upande sana

kila ck naona hana raha, mpaka leo tumetoka tuneenda sehem tumekula tumekunywa, mara kaanza nisiongee na mtu mara hivi vituko kibao
tukapanda gari tukaondoka njian vituko mara hiv kugombana akafikia kauli mimi naluka, me nikasema kama mwanamke kweli ruka hapo nipo speed 40 ghafla nikaona mtu kafungua mlango wa gari karuka kweli, nikasikia yowe moja tuuuh
me kiukweli sikusimama kabisa maaana nilipata hasira mpaka nikafika hom, mpaka sasa sijui hali yake maana sasa 6 uck ndo imetokea tena kaluka kwenye lami

Maswali :

Najiuliza huyu mwanamke Anastrees zake za maden anataka kunipa kesi ya mauwaji au ndo wivu ?

Hata kama wivu mbona tunagombanaga sana haijawah toke hii

Ushauli wenu ndugu zangu
Uuze gari kulipa deni alilotumia na bwana wake wa zamani? Broh tunapoingia kwenye mahusiano, past is no longer our concern. So hata ilo deni halikuhusu
 
Muongo huyo Hajaruka! Anataka hela tuu....Rudi pale kwenye Lami utamkuta anakusubiri tu.
 
Maybe mimi naona tofauti. Personally sidhani kama una kosa bwana baharia. Coz we mwenyewe umesema tangu mmetoka out alikua ameshaanza visa kibao tu. Na pia hata source ya huzuni yake ni mwanaume mwingine n.k. huyo manzi hana kichaa. Sasa anatishia kuruka kwa minajili gani? Maana kuruka nje ya gari linalotembea sio kitu cha utani. Ye aliamua kuruka kwa mambo yake mwenyewe. Bora umemtema. Maana mtu mzima hatishii nyau, anakaa chini mnayajenga. Temana nae. Faken
By the way jus know gari ulikua unaenda kueka bondi kwa jamaa yake and yeye ndo angelinunua af baadae ungechomwa moto kama yule jamaa wa dar
Mtu hawezi kuruka akiwa amekaa labda kama ilikua pick-up, huyu jama baada ya kukereka na mlevi mwezie akamua kumsukuma nje ili afe gari lake lipone kuuzwa,

Huyu mchagga angekua anataka ajari mwenyewe asinge mruhusu kuendesha gari vizuri angepigana nae kwenye stearing ili agonge wapate ajari wote, lakini cha kuruka akiwa ameka hapana, tena kumbuka gari zina Central lock mlevi asinge weza kufungua mlango kirahisi bila yeye kuzuia na lock tena, huyu jamaa kaua au alifanya jaribio la kuua huyu manzi wa mchagga, anda wakili wakukutetea, mwenzio kasha pona hilo deni, kwa kifo au kua maututi hospitali atavumiliwa na vikoba, usicheze na Mchagga kwenye masirahi
 
mkuu gari gani unatumia hiyo ya ajabu ajabu kiasi cha kumfanya abiria wako aamue kufungua mlango na kuruka tena kwa speed 40 iyo gari uza tu kama haina automatic lock za doors nawewe utaja kuruka sasa…….
Mkuu lock sianatoa ttuh
 
Mtu hawezi kuruka akiwa amekaa labda kama ilikua pick-up, huyu jama baada ya kukereka na mlevi mwezie akamua kumsukuma nje ili afe gari lake lipone kuuzwa,

Huyu mchagga angekua anataka ajari mwenyewe asinge mruhusu kuendesha gari vizuri angepigana nae kwenye stearing ili agonge wapate ajari wote, lakini cha kuruka akiwa ameka hapana, tena kumbuka gari zina Central lock mlevi asinge weza kufungua mlango kirahisi bila yeye kuzuia na lock tena, huyu jamaa kaua au alifanya jaribio la kuua huyu manzi wa mchagga, anda wakili wakukutetea, mwenzio kasha pona hilo deni, kwa kifo au kua maututi hospitali atavumiliwa na vikoba, usicheze na Mchagga kwenye masirahi
Sawa
 
wakenya wawachukue wachaga ,watuachie mombasa mana izi tabia zao kabisa tunawapa na mt kil'njaro kama kifungashio tumechoka
 
Mi nasikizia taarifa ya habari leo ITV nikisikia "Mwanaume amuua mwenzi wake na kumtupa barabarani kisha kukimbia kusikojulikana" nasogea karibu naunganisha dots tu.
 
Back
Top Bottom