Mkuu lock sianatoa ttuh
Dah utanisamehe sana ila nimecheka mno. Kuruka kwenye garHabar wakuu, naombeni ushauli wakubwa
nimechananykiwa sana, mimi nina mwanamke wangu mchaga, najua ananipenda sana na huwa ananisaidiaga mambo mbalimbali madogo madogo
Sasa tangu wiki iliyopita analalamika kwamba anadaiwa mil.2.5 yaan million mbili na nusu, kwamba alikopa mwaka jana na alikuwa anatumia na mwanaume wake kabla ya mimi, sasa naona wiki yote hii hana raha.
namimi kwasasa sina hiyo hela, akanishawish tuweke gari langu bond mil.3 ili yeye alipe kule baada ya mwezi mmoja analudusha, halafu lile gari tutauza hela nyingine tutafungulia biashara ya baa mimi nikakubali kishingo upande sana
kila ck naona hana raha, mpaka leo tumetoka tuneenda sehem tumekula tumekunywa, mara kaanza nisiongee na mtu mara hivi vituko kibao
tukapanda gari tukaondoka njian vituko mara hiv kugombana akafikia kauli mimi naluka, me nikasema kama mwanamke kweli ruka hapo nipo speed 40 ghafla nikaona mtu kafungua mlango wa gari karuka kweli, nikasikia yowe moja tuuuh
me kiukweli sikusimama kabisa maaana nilipata hasira mpaka nikafika hom, mpaka sasa sijui hali yake maana sasa 6 uck ndo imetokea tena kaluka kwenye lami
Maswali :
Najiuliza huyu mwanamke Anastrees zake za maden anataka kunipa kesi ya mauwaji au ndo wivu ?
Hata kama wivu mbona tunagombanaga sana haijawah toke hii
Ushauli wenu ndugu zangu


Mkuu alikuwa anatishia me naruka mimi nikamjibu kama mwamke kweli ruka nashangaa mtu kafanya kweli, mimi kama mm sikushtuka sana wala nini sikaamua mwenyewe bhana. Nikaskia yowe moja tuuh baada yakurukaSawa anaweza kutoa but jamaa kasema alikua speed arobain ktk argument zao kwa speed hiyo ni rahisi kusimamisha gar kabla hata hajaruka
Ungepokea au umpigie ujue hali yakeNaona namba ya mama ake inapiga, imepiga mara 4 sijapokea
Leo atawajua Watanzania huyu mbwiga!Kwanza uko mkoa gani??
Huyo demu anafanya kazi gani au ukimpata akiwa anafanya kazi gani??
Ukijibu hayo Maswali ushauri utafata.
Tayari huyo mwamba ataenda kunyea debe, watu wote pale bar tumemwona na tunamfahamu!😁😁😂😂😂Nimejikuta nimeshtuka ... mbona hiyo nikama kesi BUDA ... yani mtu karuka usiku na hujui yupo katika haligani na inawezekana alijulikana kuwa unaishi naye? Are you serious? Tena haya uliyo andika hapa ni ushahidi tosha ... kuwa makini
Makasiriko haya baba ake nimekuskiaHii mada mi nilitaka kukupa ushauri mzuri, lakini nilivyoona umeingiza neno uchaga katika mada yako, ndo hapo nlipoamua nikupuuze. Tuwe na utaratibu wa kuandika uzi bila kushirikisha au kuchafua makabila yetu, iwe ya ndani au ya nje ya Tanzania. Kitendo alichofanya huyo mwanamk kinaweza kufanywa na mtu wa kabila lolote hapa nchini. Moods huu ni utaratibu wa hovyo unaopaswa kupigwa vita, na ikiwezekana kuachwa kuandikwa hapa jamvini.
Ila alikuona zoba Hadi anakulazimisha umlipie mume mwenzio hela za matanuzi? Jinga Sana wewe.Sasa me nimemfanya nini
Right and left ni janga la kitaifa.Sio Ushauli ni Ushauri
Sio Kuluka -Kuruka
Matumizi ya R na L nadhani tungeanzia hapo lakini isiwe kesi nisije shushiwa matusi bure, ngoja tusubiri wakupe huo Ushauli
Jifunze kwanza kuandika. KULUKA? USHAULI ? Una elimu gani? Wewe ni mjinga.
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app




















