Unforgettable
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 5,584
- 12,439
update
Alikunywa Nini tuanzie hapo.Kwanini aruke tuanzie hapo...acheni tabia ya kutujaribu kila Mtu anastress bhana
Yaan kachoka kweli kiporoAnaruka kusudi amechoka viporo asubuh



Umefuatilia yupo salama? Kama yupo mzima fuatilia matibabu yake akae sawa then akishapona udio ufanye maamuzi mengine ,akifa huyo mkuu mahakama na jamii haitasikiliza na kuelewa hoja yako eti aliruka ukizingatia uliendelea na safari. Haukufanya freshHata kama nilikuwa mitungi mpaka sasa naona sina kosa kweli, mtu unatishia kuruka kwenye gari iseee sasa naoana now maumivu anayopitia huko akili inamkaa sawa
OkhUmefuatilia yupo salama? Kama yupo mzima fuatilia matibabu yake akae sawa then akishapona udio ufanye maamuzi mengine ,akifa huyo mkuu mahakama na jamii haitasikiliza na kuelewa hoja yako eti aliruka ukizingatia uliendelea na safari. Haukufanya fresh
Wasumbufu kweli yaanHahahah
Ha ha haa,afu kumbe najibishana na mhusikaVumilia
afadhali alipona ,ila huyo demu achana naye kabisa,haiwezekani ulipie deni ya hela waliyoponda nayo raha ye na ex wake,inaonekana kuna mchongo aliupanga uweke gari bondi
Huyo ni msanii kama ndama mtoto wa ngombe sema yeye anapiga pesa ndogondogo...kimbia saa yeyote unapigwa tukio utakufa na kiharusiHabar wakuu, naombeni ushauli wakubwa
Nimechanganyikiwa sana, mimi nina mwanamke wangu mchaga, najua ananipenda sana na huwa ananisaidiaga mambo mbalimbali madogo madogo
Sasa tangu wiki iliyopita analalamika kwamba anadaiwa milioni 2.5 yaan milioni mbili na nusu, kwamba alikopa mwaka jana na alikuwa anatumia na mwanaume wake kabla ya mimi, sasa naona wiki yote hii hana raha.
Na mimi kwasasa sina hiyo hela, akanishawish tuweke gari langu bond mil.3 ili yeye alipe kule baada ya mwezi mmoja analudusha, halafu lile gari tutauza hela nyingine tutafungulia biashara ya baa mimi nikakubali kishingo upande sana
Kila siku naona hana raha, mpaka leo tumetoka tuneenda sehemu tumekula tumekunywa, mara kaanza nisiongee na mtu mara hivi vituko kibao
tukapanda gari tukaondoka njiani vituko mara hivi kugombana akafikia kauli mimi naruka, me nikasema kama mwanamke kweli ruka hapo nipo speed 40 ghafla nikaona mtu kafungua mlango wa gari karuka kweli, nikasikia yowe moja tuuuh
me kiukweli sikusimama kabisa maaana nilipata hasira mpaka nikafika home, mpaka sasa sijui hali yake maana sasa 6 usiku ndo imetokea tena karuka kwenye lami
Maswali :
Najiuliza huyu mwanamke Ana strees zake za madeni anataka kunipa kesi ya mauaji au ndo wivu ?
Hata kama wivu mbona tunagombanaga sana haijawahi tokea hii
Ushauri wenu ndugu zangu
Nadhani hiyo ndoo staili yake ya maishaHabar wakuu, naombeni ushauli wakubwa
Nimechanganyikiwa sana, mimi nina mwanamke wangu mchaga, najua ananipenda sana na huwa ananisaidiaga mambo mbalimbali madogo madogo
Sasa tangu wiki iliyopita analalamika kwamba anadaiwa milioni 2.5 yaan milioni mbili na nusu, kwamba alikopa mwaka jana na alikuwa anatumia na mwanaume wake kabla ya mimi, sasa naona wiki yote hii hana raha.
Na mimi kwasasa sina hiyo hela, akanishawish tuweke gari langu bond mil.3 ili yeye alipe kule baada ya mwezi mmoja analudusha, halafu lile gari tutauza hela nyingine tutafungulia biashara ya baa mimi nikakubali kishingo upande sana
Kila siku naona hana raha, mpaka leo tumetoka tuneenda sehemu tumekula tumekunywa, mara kaanza nisiongee na mtu mara hivi vituko kibao
tukapanda gari tukaondoka njiani vituko mara hivi kugombana akafikia kauli mimi naruka, me nikasema kama mwanamke kweli ruka hapo nipo speed 40 ghafla nikaona mtu kafungua mlango wa gari karuka kweli, nikasikia yowe moja tuuuh
me kiukweli sikusimama kabisa maaana nilipata hasira mpaka nikafika home, mpaka sasa sijui hali yake maana sasa 6 usiku ndo imetokea tena karuka kwenye lami
Maswali :
Najiuliza huyu mwanamke Ana strees zake za madeni anataka kunipa kesi ya mauaji au ndo wivu ?
Hata kama wivu mbona tunagombanaga sana haijawahi tokea hii
Ushauri wenu ndugu zangu