Guru Master
JF-Expert Member
- Jan 14, 2017
- 226
- 594
Haji Manara si msemaji mwenye akili. Ni kama Yanga nasi tuna watu wetu wachumia tumbo. Ndivyo alivyo Manara.
Ni kilaza sana na ameota mapembe akidhani yeye ni mkubwa au yupo sawa na Simba. Mi naifahamu Simba kabla ya Manara. Sikuwahi mfahamu Manara mpaka alipokuja Simba.
Lakini miaka yote nmekuwa nikimpinga kama ambavyo nlikuwa nampinga Jerry Muro. Manara hana uelewa mzuri. Si smart kichwani, ana mihemko, jazba na hasira.
Lakini kwa Simba ya kisasa anapaswa apatikane msemaji ambaye ni professional. Mwenye akili,mwenye kuufahamu mpira.
Bila hivyo sioni Simba ikiwa ya kisasa upande huo.
Ni kilaza sana na ameota mapembe akidhani yeye ni mkubwa au yupo sawa na Simba. Mi naifahamu Simba kabla ya Manara. Sikuwahi mfahamu Manara mpaka alipokuja Simba.
Lakini miaka yote nmekuwa nikimpinga kama ambavyo nlikuwa nampinga Jerry Muro. Manara hana uelewa mzuri. Si smart kichwani, ana mihemko, jazba na hasira.
Lakini kwa Simba ya kisasa anapaswa apatikane msemaji ambaye ni professional. Mwenye akili,mwenye kuufahamu mpira.
Bila hivyo sioni Simba ikiwa ya kisasa upande huo.