Ushauri wangu kwa wanaume

Ushauri wangu kwa wanaume

Kumekua na mtiririko mkubwa wa mada za wanaume humu wakilalamika kusalitiwa na kuachwa,sipendi kusikia mwanaume mwenzangu analia,hivyo nawasaidia kwa mawazo,fanyeni hivi.

1. Usiwe na mpenzi mmoja,jitahidi uwe na idadi nzuri za wapenzi kadri uwezavyo. Ukiwa na mmoja siku akikuacha lazima utateseka,kuna kabila moja wana msemo kua kua na kibuyu kimoja cha maji ni hatari,siku kikitoboka utapata shida.

2. Usipende,jiweke katika mazingiza ya kutopenda,usiwe na hisia za upendo na mwanamke yoyote hata kama ni mkeo,kama utampenda siku ukigundua anachepuka au atakuacha utaumia sana.

Hizo njia mbili ndio suluhisho pekee la kukuepushia na maumivu ya mapenzi,idadi kubwa ya wapenzi na kutopenda. Kumbuka kutumia kondom.

Such a hopeless person,pole sana
 
Jamani naomben msaada mm mbona nashindwa kupost mada hapa jf nisaidie huwa mnafanyeje ?
 
Jamani naomben msaada mm mbona nashindwa kupost mada hapa jf nisaidie huwa mnafanyeje ?

Ukishafungua jukwaa mfano MMU hapo juu kabisa utaona maneno yanayosema "New topic" click hapo halafu pakifunguka utaona sehemu ya title na main body, kazi kwako.
 
Ushauri mzuri, ila umeharibu hapo "kumbuka kutumia kondom" mimi situmii hiyo kitu, ni kagoli kamoja tu chini ya dakika 5 halafu sitaki tena mpaka baada ya siku 2 au 3.
 
Kumekua na mtiririko
mkubwa wa mada za wanaume humu wakilalamika kusalitiwa na
kuachwa,sipendi kusikia mwanaume mwenzangu analia,hivyo nawasaidia kwa
mawazo,fanyeni hivi.

1. Usiwe na mpenzi mmoja,jitahidi uwe na idadi nzuri za wapenzi kadri
uwezavyo. Ukiwa na mmoja siku akikuacha lazima utateseka,kuna kabila
moja wana msemo kua kua na kibuyu kimoja cha maji ni hatari,siku
kikitoboka utapata shida.

2. Usipende,jiweke katika mazingiza ya kutopenda,usiwe na hisia za
upendo na mwanamke yoyote hata kama ni mkeo,kama utampenda siku
ukigundua anachepuka au atakuacha utaumia sana.

Hizo njia mbili ndio suluhisho pekee la kukuepushia na maumivu ya
mapenzi,idadi kubwa ya wapenzi na kutopenda. Kumbuka kutumia
kondom.

pointless
 
Huu ushauri unatakiwa ukautoe wakati unapiga ile inaitwa "zungusha" na wenzio.
 
Back
Top Bottom