The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,151
- 20,065
Kumekua na mtiririko mkubwa wa mada za wanaume humu wakilalamika kusalitiwa na kuachwa,sipendi kusikia mwanaume mwenzangu analia,hivyo nawasaidia kwa mawazo,fanyeni hivi.
1. Usiwe na mpenzi mmoja,jitahidi uwe na idadi nzuri za wapenzi kadri uwezavyo. Ukiwa na mmoja siku akikuacha lazima utateseka,kuna kabila moja wana msemo kua kua na kibuyu kimoja cha maji ni hatari,siku kikitoboka utapata shida.
2. Usipende,jiweke katika mazingiza ya kutopenda,usiwe na hisia za upendo na mwanamke yoyote hata kama ni mkeo,kama utampenda siku ukigundua anachepuka au atakuacha utaumia sana.
Hizo njia mbili ndio suluhisho pekee la kukuepushia na maumivu ya mapenzi,idadi kubwa ya wapenzi na kutopenda. Kumbuka kutumia kondom.
1. Usiwe na mpenzi mmoja,jitahidi uwe na idadi nzuri za wapenzi kadri uwezavyo. Ukiwa na mmoja siku akikuacha lazima utateseka,kuna kabila moja wana msemo kua kua na kibuyu kimoja cha maji ni hatari,siku kikitoboka utapata shida.
2. Usipende,jiweke katika mazingiza ya kutopenda,usiwe na hisia za upendo na mwanamke yoyote hata kama ni mkeo,kama utampenda siku ukigundua anachepuka au atakuacha utaumia sana.
Hizo njia mbili ndio suluhisho pekee la kukuepushia na maumivu ya mapenzi,idadi kubwa ya wapenzi na kutopenda. Kumbuka kutumia kondom.