Uchaguzi 2020 Ushauri wangu kwa vijana na wazee wetu, tuchagueni upinzani tuone watafanya nini

Ndg umemaliza dili la Simiyu??
Mzee wa kitimoto tunachosema ni maendeleo ya watu sio vitu!!
Ethiopia wana mabwawa makubwatuu, wana reli za kisasa, madege ya kumwaga Afrika nzima hakuna, lakini watu wanakimbia kila siku ni UDICTEITA!!
People turned slaves in there own country!!
Fikiria North Korea, China Moscow etc??
Fikiria WaTz kama ulivyokuwa zamani, Acha kufikiria kuteuliwa on the expence of poor Tanzanians!!
Mtu anaweza kuwa na maendeleo bila vitu?

Hui ujinga wenu mmekaririshwa huko chadema
 
Tunahitaji Bunge litakaloisimamia Serikali vilivyo; tunahitaji Mahakama yenye kitendo haki sawa kwa kila raia na TUNAHITAJI RAIS KWENYE KUHESHIMU KATIBA NA SHERIA ZA NCHI.

LISSU NI JIBU
 
Mkuu Mtumishi Wetu, kuhusu maendeleo ya vitu vs maendeleo ya watu, naungana na wewe.

Na utawala hata uwe mzuri vipi, ukikaa muda mrefu sana, unakuwa monotonous unachukua, hivyo kuna need ya kufanya mabadiliko ili kubadili mboga.

Tatizo kwa Tanzania ya sasa ni kweli chama changu CCM kime overstayed lakini tatizo ni utampa nani kuibadili CCM?. It's very unfortunately hakuna mbadala wa CCM, unless useme tuijaribu tuu Chadema au ACT, liwalo na liwe!. Who would dare take such a risk?.

Better a devil you know, than a devil you don't know!.

Chadema ipi ya kuipa nchi au ACT ipi ya kuipa nchi?.
P
Huu ukweli huwa hawataki kuusikia
 
Kuna Mambo yanaumiza Sana hasa unapoona kijana au mzee akipinga wazi wazi upinzani usishinde uchaguzi. Ni haki yao, lakini hebu fikiria, ukiondoa utawala wa awamu ya kwanza na wa pili, CCM imetuongoza kwa awamu tatu tangu kuanza kwa vyama vingi vya siasa, tumeona madhaifu yao, tumeona mazuri yao, basi tuwapeni na Wapinzani wafanye yao, tutalinganisha baada ya miaka 5 watakayoongoza.

Hatuwajaribishi maana hawaingii kubadili kila kitu, watakuta polisi ipo, mahakama, jeshi, Bunge, shule, vyuo, nk, maana yake wanaposema watafanya tofauti haimaanishi wataanza mwanzo Bali wataboresha baada ya miaka 5 tutawapima.

Kwakuwa CCM ina nguvu na pesa nyingi, baada ya miaka 5 mtatumia kila njia kurudi madarakani endapo upinzani utashindwa kutimiza yale waliyoyaahidi.

Ewe kijana, baba, Mama tuuchagueni upinzani. Kubaki na CCM au kuchagua upinzani haimaanishi tutagawana hela mifukoni, tutafanya kazi Kama siku zote.

Tuungane, tusiwadharau upinzani maana hatujawahi kuwapa nchi tukayaona mazuri na madhaifu yao.

#MakeTanzania great again
Tafuta nchi yako ya majaribio uwape hao waropokaji akina Tundu Lissu
 
Nyie metoa form moja ya ngombea kwa mwekiti mnajamba jamba tu tulia dawa iwaangie chamdema sio chama cha kukariri nani kakuambia rais la zima awe mwenyekiti wa chama hili nikosa mlilolifana ccm kwakuto kuaminia na wengi ni mbumbumbu ndio maana ngombea wenu alijipitisha mwenye bila kupingwa wakati hana sifa angalia wenzenu wa ANC walivyo muengua Zuma nyie mpo hapo mnakenua menu zero kichwani kila kitu nikushangili

Nyie dhamira yenu kuu ni RUZUKU.

Na safari hii inapungua JIPANGENI UPYAA na huyu mliomchagua ndo atawadhalilisha kabla jogoo hajawika.
 
Dah, safari bado Sana, huwezi amini hapa Kuna comments nyingi tu za wasomi ila wengine wanajifanya hamnazo, unaposema kuwapa upinzani Ni kujaribisha unamaanisha Nini? Magufuri aliwahi kuwa hata Katibu wa ccm wapi? Magufuri aliwahi kuwa Raisi wapi? Mwaka 2015 tulikuwa na wagombea wapya kabisa lakini tulifanya maamzi na matokeo yake ndiyo haya yaliyoleta kelele kwa watu wengi, Sina mashaka, ccm itashinda kwasababu ya ujinga wetu tuliojengewa na elimu ya kukalili, nimefurahishwa na michango isiyokuwa biased, kama upinzani una madhaifu ndani ya chama, waelekezwe watafanyia marekebisho, lakini tunaitaji sera mbadala, kwani ukiteseka kwa kuongozwa na upinzani ndo utaumia Sana kheri kuumizwa na ccm mpaka utakapokufa? Think beyond
 
Aisee ninyi mnaosema JPM kafanya mambo mengi sana hivi ni yapi hayo ya kutisha? Hivi atamshinda Kiwete aliyejenga shule za kata zaidi ya 1500 na akazipelekea walimu na maabara? Hakuna jambo jipya alilofanya JPM zaid ya stigaz goj! Haya mengine kama Flyover mbona zilikuwepo hata pale Manzese? Reli, madaraja na Ndege mbona zilikuwepo tangu awamu ya kwanza? Tofauti ni model na standard tu! Kwanza ukiungalia utawa wa JPM utaona wazi karibu 75% ya miradi iliyotekelezwa katika awamu hii ya miaka 5 ni ya wizara moja tu ya uchukuzi ambayo yeye alikuwa waziri wake kabla ya kuwa rais! Tuna wizara zaidi ya 10 alfu miradi ya maendeleo inabase kwenye wizara moja, Je hapo kweli tutafika! Iliishia wapi Tanzania ya viwanda iliyokuwa ikihubiriwa mwaka 2016? Vipi kuhusu miradi ya wizara kilimo, afya, Utalii,Elimu,Mifugo n.k ? JPM tulimpa nchi kwa kumjaribisha, lakini amefanya kazi zaidi kama waziri wa ujenzi na uchukuzi kuliko Rais na mwenyekiti wa baraza zima la mawaziri, Sasa ni wakati tumpumzishe tumuweke rais atakayetekeleza miradi kwa kufuata mizania!
 
Mtoa post umetoa ushauri mzuri sana na katika wakati muafaka! Mimi binafs huwa nafika mahala nafikiria dawa kubadili katiba kuweka ukomo wa chama kutawala isiwe zaidi ya miaka 10 mfululizo! Nadhani tukifika huko tutakuwa pazuri ila shida ni jinsi ya kuimplement hiyo sheria! Wengi hawafahamu faida za kufanya mabadiliko ya utawala mkongwe kama huu wa CCM;
Mojawapo ni hizi zifuatazo:
1.Kukipa chama muda wa kujitazama na kujitathmini upya kiutendaji na hivyo kujisahihisha kikamilifu. Siku zote mchezaji aliye ndani ya uwanja hawezi kujitazama vema makosa yake kuliko aliyekaa nje ya uwanja.
2.Kuimarisha nidhamu na uwajibikaji kwa chama chochote kitakachoshika dola kwani kwa kutambua kuna siku kitaondoka madarakani hivyo kitatekeleza ahadi na ilani yake kwa unyenyekevu na ukamilifu mkubwa tofauti na sasa ambapo chama kama CCM kimejivika fikra za kutawala milele na hivyo kubaki kutengeneza tu mazingira ya kuhakikisha kinaendelea kuwepo madarakani badala ya kutumikia wananchi.
3.Kudumisha misingi ya amani mshikamano na umoja wa kweli. Kuondosha chama kimoja madarakani na kupitia uchaguzi huru na wa haki, kunaepusha chuki miongoni mwa washindani na kuepusha mazingira ya kuhasimiana na hata kukwamishana kisiasa, na hivyo kuwa na umoja wenye tija. Zaidi ya yote kunaepusha nchi kuingizwa katika machafuko ikiwa chama kimoja kitaendelea kung'ang'ania madaraka huku kikipewa ushindi isivyo halali.
4.Kunaweka mazingira mazuri ya kujikita katika kuimarisha ujenzi wa uchumi imara badala ya kuwekeza zaidi kwenye propaganda za kisiasa. Hebu vuta picha hivi ule muda ambao shirika letu la utangazaji TBC kwa miaka yote 5 linautumia kutangaza vipindi vingi vya kipropaganda ungekuwa unatumika kutangaza matangazo ya biashara za wafanyabiashara na makampuni binafsi, si tungepata fedha nyingi tu tukaweza kusaidia shule zisizo na madawati kuliko ilivyo hivi sasa?
 
Kuna Mambo yanaumiza Sana hasa unapoona kijana au mzee akipinga wazi wazi upinzani usishinde uchaguzi. Ni haki yao, lakini hebu fikiria, ukiondoa utawala wa awamu ya kwanza na wa pili, CCM imetuongoza kwa awamu tatu tangu kuanza kwa vyama vingi vya siasa, tumeona madhaifu yao, tumeona mazuri yao, basi tuwapeni na Wapinzani wafanye yao, tutalinganisha baada ya miaka 5 watakayoongoza.

Hatuwajaribishi maana hawaingii kubadili kila kitu, watakuta polisi ipo, mahakama, jeshi, Bunge, shule, vyuo, nk, maana yake wanaposema watafanya tofauti haimaanishi wataanza mwanzo Bali wataboresha baada ya miaka 5 tutawapima.

Kwakuwa CCM ina nguvu na pesa nyingi, baada ya miaka 5 mtatumia kila njia kurudi madarakani endapo upinzani utashindwa kutimiza yale waliyoyaahidi.

Ewe kijana, baba, Mama tuuchagueni upinzani. Kubaki na CCM au kuchagua upinzani haimaanishi tutagawana hela mifukoni, tutafanya kazi Kama siku zote.

Tuungane, tusiwadharau upinzani maana hatujawahi kuwapa nchi tukayaona mazuri na madhaifu yao.

#MakeTanzania great again
Dah....bora tujaribu kwa Hashim Rungwe....tuanze kula wali kuku 🤣 🤣🤣
 
Kuna Mambo yanaumiza Sana hasa unapoona kijana au mzee akipinga wazi wazi upinzani usishinde uchaguzi. Ni haki yao, lakini hebu fikiria, ukiondoa utawala wa awamu ya kwanza na wa pili, CCM imetuongoza kwa awamu tatu tangu kuanza kwa vyama vingi vya siasa, tumeona madhaifu yao, tumeona mazuri yao, basi tuwapeni na Wapinzani wafanye yao, tutalinganisha baada ya miaka 5 watakayoongoza.

Hatuwajaribishi maana hawaingii kubadili kila kitu, watakuta polisi ipo, mahakama, jeshi, Bunge, shule, vyuo, nk, maana yake wanaposema watafanya tofauti haimaanishi wataanza mwanzo Bali wataboresha baada ya miaka 5 tutawapima.

Kwakuwa CCM ina nguvu na pesa nyingi, baada ya miaka 5 mtatumia kila njia kurudi madarakani endapo upinzani utashindwa kutimiza yale waliyoyaahidi.

Ewe kijana, baba, Mama tuuchagueni upinzani. Kubaki na CCM au kuchagua upinzani haimaanishi tutagawana hela mifukoni, tutafanya kazi Kama siku zote.

Tuungane, tusiwadharau upinzani maana hatujawahi kuwapa nchi tukayaona mazuri na madhaifu yao.

#MakeTanzania great again
Kama mabeberu wamewahi kuziacha nchi za kiafrika kujitawala basi ccm itashinda tena kwa wiz wa kura lkn kama hawajawahi kuziacha hizo nchi za kiafrika basi ccm mwaka huu chali iwe Jua iwe mvua
 
Mkuu Pazia 3, kwanza asante kwa bandiko hili. Kiukweli bandiko lako ni la ushauri kwa Watanzania, tufanye majararibio ya kuwajaribisha wapinzani kwa kuwapa Ikulu yetu ili tuone watafanyaje!.

Yaani when you have two options, moja umeona deliveries ya mazuri ya alichofanya, na yanaonekanika, halafu mwingine hana lolote la kuonekanika, lakini ana ahadi tuu, hivyo unatushauri tuache kumchagua aliye deliver, mazuri ya kuonekanika na badala yake tumjaribishe mwenye ahadi ili kuona atafanya nini?!. Huku sio kuchezea shilingi chooni?.

Yaani unawashauri watu waache mbachao, kwa msala upitao?. Mimi nawashauri watu humu, katu, usikubali kamwe, bura yako njema, kuibadili kwa rehani!.
P
Sasa kama.hajaprwa nafasi unataka ulione wapi alilofanya. Ndio maana Pazia kasema ili uone atafanya nini mpe nafasi.

Hongera Pazia kwa bandiko zuri
 
Mkuu Pazia 3, kwanza asante kwa bandiko hili. Kiukweli bandiko lako ni la ushauri kwa Watanzania, tufanye majararibio ya kuwajaribisha wapinzani kwa kuwapa Ikulu yetu ili tuone watafanyaje!.

Yaani when you have two options, moja umeona deliveries ya mazuri ya alichofanya, na yanaonekanika, halafu mwingine hana lolote la kuonekanika, lakini ana ahadi tuu, hivyo unatushauri tuache kumchagua aliye deliver, mazuri ya kuonekanika na badala yake tumjaribishe mwenye ahadi ili kuona atafanya nini?!. Huku sio kuchezea shilingi chooni?.

Yaani unawashauri watu waache mbachao, kwa msala upitao?. Mimi nawashauri watu humu, katu, usikubali kamwe, bura yako njema, kuibadili kwa rehani!.
P
Aacha kulisha maneno mleta uzi,majaribio umesema wewe, walioanzisha mfumo wa vyama vingi si wajinga ila walafi na wezi ndio wanauchukia, mwanafunzi mjinga siku zote uchukia aliyebuni mtihani.
 
Kuna Mambo yanaumiza Sana hasa unapoona kijana au mzee akipinga wazi wazi upinzani usishinde uchaguzi. Ni haki yao, lakini hebu fikiria, ukiondoa utawala wa awamu ya kwanza na wa pili, CCM imetuongoza kwa awamu tatu tangu kuanza kwa vyama vingi vya siasa, tumeona madhaifu yao, tumeona mazuri yao, basi tuwapeni na Wapinzani wafanye yao, tutalinganisha baada ya miaka 5 watakayoongoza.

Hatuwajaribishi maana hawaingii kubadili kila kitu, watakuta polisi ipo, mahakama, jeshi, Bunge, shule, vyuo, nk, maana yake wanaposema watafanya tofauti haimaanishi wataanza mwanzo Bali wataboresha baada ya miaka 5 tutawapima.

Kwakuwa CCM ina nguvu na pesa nyingi, baada ya miaka 5 mtatumia kila njia kurudi madarakani endapo upinzani utashindwa kutimiza yale waliyoyaahidi.

Ewe kijana, baba, Mama tuuchagueni upinzani. Kubaki na CCM au kuchagua upinzani haimaanishi tutagawana hela mifukoni, tutafanya kazi Kama siku zote.

Tuungane, tusiwadharau upinzani maana hatujawahi kuwapa nchi tukayaona mazuri na madhaifu yao.

#MakeTanzania great again
Naungo mkono hoja ccm wakagombe umiss siasa zimewashinda tumuachia Lissu tuone itakuaje
 
Tumchague lissu anatosha jiwe halitufai
Ni mbaguzi si kiongozi mzuri WA kukemea maovu na ni mbariki WA maovu hayo.

Kujenga na waliopita walijenga na watakokuja watajenga na wengine. Usilazimishe kupendwa lakni unachokilazimisha watu hawakitaki. Jiwe bila ya nguvu ya policcm na kuuiba kurq hashindi na nakuapia kwa jina lá Mungu.
Wananunuliwa kama njugu.
Kwa sasa hapana labda 2030. Kura yangu kwa Mzee Magu
 
Kuna Mambo yanaumiza Sana hasa unapoona kijana au mzee akipinga wazi wazi upinzani usishinde uchaguzi. Ni haki yao, lakini hebu fikiria, ukiondoa utawala wa awamu ya kwanza na wa pili, CCM imetuongoza kwa awamu tatu tangu kuanza kwa vyama vingi vya siasa, tumeona madhaifu yao, tumeona mazuri yao, basi tuwapeni na Wapinzani wafanye yao, tutalinganisha baada ya miaka 5 watakayoongoza.

Hatuwajaribishi maana hawaingii kubadili kila kitu, watakuta polisi ipo, mahakama, jeshi, Bunge, shule, vyuo, nk, maana yake wanaposema watafanya tofauti haimaanishi wataanza mwanzo Bali wataboresha baada ya miaka 5 tutawapima.

Kwakuwa CCM ina nguvu na pesa nyingi, baada ya miaka 5 mtatumia kila njia kurudi madarakani endapo upinzani utashindwa kutimiza yale waliyoyaahidi.

Ewe kijana, baba, Mama tuuchagueni upinzani. Kubaki na CCM au kuchagua upinzani haimaanishi tutagawana hela mifukoni, tutafanya kazi Kama siku zote.

Tuungane, tusiwadharau upinzani maana hatujawahi kuwapa nchi tukayaona mazuri na madhaifu yao.

#MakeTanzania great again
Acha utoto wewe nchi hii haiongozi kwa mazoea Kama unavofikiria wewe eboooo!😬😬, tunachagua kiongozi mwenye kutufikisha kwenye nchi ya ahadi na siyo kumuonea huruma mtu eti atuongoze kwa kujaribu damn!
 
Mkuu Pazia 3, kwanza asante kwa bandiko hili. Kiukweli bandiko lako ni la ushauri kwa Watanzania, tufanye majararibio ya kuwajaribisha wapinzani kwa kuwapa Ikulu yetu ili tuone watafanyaje!.

Yaani when you have two options, moja umeona deliveries ya mazuri ya alichofanya, na yanaonekanika, halafu mwingine hana lolote la kuonekanika, lakini ana ahadi tuu, hivyo unatushauri tuache kumchagua aliye deliver, mazuri ya kuonekanika na badala yake tumjaribishe mwenye ahadi ili kuona atafanya nini?!. Huku sio kuchezea shilingi chooni?.

Yaani unawashauri watu waache mbachao, kwa msala upitao?. Mimi nawashauri watu humu, katu, usikubali kamwe, bura yako njema, kuibadili kwa rehani!.
P
Paskali wewe kwa uelewa wako huamini kuwa uzur I wa kitu huthibitka baada ya kuleta kitu kingne..kama umezoa kutumika desktop kumpyuta hivyo huweza kubali mpakato kwasabb desktop umeizoea? Paskali usiniangushee!!
Na kama ndvo huamini kwamba democrasia ni chachu ya mabadiliko na maendeleo?nakupa mfn. America ni nchi ilyokuja kuendelea baada ya kufanya mabadiliko ya uongozi kwa mara nyng . kuna Rais America alibadilisha nchi for 100 days!! Japo sikumbuki ni Lincoln or nani. Mifano iko mingi.
Hatuwez kuwa wasomi tusiotaka kubadilika na tukashindwa kukubali ukweli!!

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Kuna Mambo yanaumiza Sana hasa unapoona kijana au mzee akipinga wazi wazi upinzani usishinde uchaguzi. Ni haki yao, lakini hebu fikiria, ukiondoa utawala wa awamu ya kwanza na wa pili, CCM imetuongoza kwa awamu tatu tangu kuanza kwa vyama vingi vya siasa, tumeona madhaifu yao, tumeona mazuri yao, basi tuwapeni na Wapinzani wafanye yao, tutalinganisha baada ya miaka 5 watakayoongoza.

Hatuwajaribishi maana hawaingii kubadili kila kitu, watakuta polisi ipo, mahakama, jeshi, Bunge, shule, vyuo, nk, maana yake wanaposema watafanya tofauti haimaanishi wataanza mwanzo Bali wataboresha baada ya miaka 5 tutawapima.

Kwakuwa CCM ina nguvu na pesa nyingi, baada ya miaka 5 mtatumia kila njia kurudi madarakani endapo upinzani utashindwa kutimiza yale waliyoyaahidi.

Ewe kijana, baba, Mama tuuchagueni upinzani. Kubaki na CCM au kuchagua upinzani haimaanishi tutagawana hela mifukoni, tutafanya kazi Kama siku zote.

Tuungane, tusiwadharau upinzani maana hatujawahi kuwapa nchi tukayaona mazuri na madhaifu yao.

#MakeTanzania great again
Ushuzi mtupu
 
Subiri kwanza Jiwe amalize miaka mingine mitano mkuu, then we'll see. Kwa sasa Magu all the way till '25.
 
Back
Top Bottom