Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,904
- 33,472
Mtu anaweza kuwa na maendeleo bila vitu?Ndg umemaliza dili la Simiyu??
Mzee wa kitimoto tunachosema ni maendeleo ya watu sio vitu!!
Ethiopia wana mabwawa makubwatuu, wana reli za kisasa, madege ya kumwaga Afrika nzima hakuna, lakini watu wanakimbia kila siku ni UDICTEITA!!
People turned slaves in there own country!!
Fikiria North Korea, China Moscow etc??
Fikiria WaTz kama ulivyokuwa zamani, Acha kufikiria kuteuliwa on the expence of poor Tanzanians!!
Hui ujinga wenu mmekaririshwa huko chadema