Uchaguzi 2020 Ushauri wangu kwa vijana na wazee wetu, tuchagueni upinzani tuone watafanya nini

Mkuu yote kheri, swali la kujiuliza pia katika nchi nyingine za Afrika ambazo upinzani Umefanikiwa kupenya na kushika madaraka je wamefanikiwa kubadilisha hali za maisha ya watu na nchi kwa ujumla? Mm ukiniuliza nitakwambia Hapana, katika nchi ambazo upinzani Umefanikiwa kupenya au kubadilisha utawala hakuna mabadiliko sana zaidi ya vilio kutoka kwa wananchi, mfano UGANDA kabla ya Museven alikuwa Iddi Amin, Huko Rwanda kabla ya Kagame kulikuwa na utawala tofauti, huko Burundi kabla ya Nkurusinza na chama chake kulikuwa na utawala wa chama kingine, the same applies to Ghana, Ivory Coast, Madagascar, Angola, lkn mm nikifuatilia hizi nchi sioni mabadiliko ya maana ambayo hizo tawala mpya zimefanikiwa kuwaletea wananchi na nchi kwa ujumla, badala yake wote wamefata nyayo za watangulizi wao katika kuendeleza dhuluma dhidi ya wananchi na nchi kwa ujumla. Tatizo naloliona sio kubadilisha vyama, tatizo ni nani anaingia madarakani ili kuukabili mfumo ambao Ndio chanzo cha umasikini katika nchi zetu, believe me or not hata aingie nani mkuu, bila huyo mtu kudeal na mifumo inayodidimiza nchi kiuchumi yote itakuwa ni kujilisha upepo.
 
Na vipi kuhusu nchi za Afrika ambazo upinzani Umefanikiwa kuondosha vyama tawala ni kushika dola au utawala wa zamani kuondolewa na kuja utawala mpya (upinzani), je kuna mabadiko yoyote katika hizo nchi?
Paskali wewe kwa uelewa wako huamini kuwa uzur I wa kitu huthibitka baada ya kuleta kitu kingne..kama umezoa kutumika desktop kumpyuta hivyo huweza kubali mpakato kwasabb desktop umeizoea? Paskali usiniangushee!!
Na kama ndvo huamini kwamba democrasia ni chachu ya mabadiliko na maendeleo?nakupa mfn. America ni nchi ilyokuja kuendelea baada ya kufanya mabadiliko ya uongozi kwa mara nyng . kuna Rais America alibadilisha nchi for 100 days!! Japo sikumbuki ni Lincoln or nani. Mifano iko mingi.
Hatuwez kuwa wasomi tusiotaka kubadilika na tukashindwa kukubali ukweli!!

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Aacha kulisha maneno mleta uzi,majaribio umesema wewe, walioanzisha mfumo wa vyama vingi si wajinga ila walafi na wezi ndio wanauchukia, mwanafunzi mjinga siku zote uchukia aliyebuni mtihani.
Mkuu, demokrasia ni muhimu lakini sio kweli kwamba bila demokrasia watu hawezi kufanikiwa kuijenga nchi na kujiletea maendeleo hapa kwetu tunaaminishwa Kipindi cha mwalimu utawala ulifanikiwa kujenga viwanda na mioundombinu mingi na hata kutoa huduma zingine za muhimu bure Kabisa, lkn hayo yote yalifanyika chini ya chama kimoja, je pia China sio taifa liliondelea licha ya kuwa chini ya utawala wa chama kimoja, kwahyo kubadilisha mfumo haimanishi kuwa utatuhakikishia maendeleo.
 
Kuna Mambo yanaumiza Sana hasa unapoona kijana au mzee akipinga wazi wazi upinzani usishinde uchaguzi. Ni haki yao, lakini hebu fikiria, ukiondoa utawala wa awamu ya kwanza na wa pili, CCM imetuongoza kwa awamu tatu tangu kuanza kwa vyama vingi vya siasa, tumeona madhaifu yao, tumeona mazuri yao, basi tuwapeni na Wapinzani wafanye yao, tutalinganisha baada ya miaka 5 watakayoongoza.

Hatuwajaribishi maana hawaingii kubadili kila kitu, watakuta polisi ipo, mahakama, jeshi, Bunge, shule, vyuo, nk, maana yake wanaposema watafanya tofauti haimaanishi wataanza mwanzo Bali wataboresha baada ya miaka 5 tutawapima.

Kwakuwa CCM ina nguvu na pesa nyingi, baada ya miaka 5 mtatumia kila njia kurudi madarakani endapo upinzani utashindwa kutimiza yale waliyoyaahidi.

Ewe kijana, baba, Mama tuuchagueni upinzani. Kubaki na CCM au kuchagua upinzani haimaanishi tutagawana hela mifukoni, tutafanya kazi Kama siku zote.

Tuungane, tusiwadharau upinzani maana hatujawahi kuwapa nchi tukayaona mazuri na madhaifu yao.

#MakeTanzania great again
Nchi hii siyo ya majaribio. JPM atosha
 
Tumchague lissu anatosha jiwe halitufai
Ni mbaguzi si kiongozi mzuri WA kukemea maovu na ni mbariki WA maovu hayo.

Kujenga na waliopita walijenga na watakokuja watajenga na wengine. Usilazimishe kupendwa lakni unachokilazimisha watu hawakitaki. Jiwe bila ya nguvu ya policcm na kuuiba kurq hashindi na nakuapia kwa jina lá Mungu.
We unatafuta laana ya mungu. Yaani unaapia kwa upuuzi unaouwaza kwenye kichwa chako. Huyo Lissu mbona kashindwa kukemea maovu CHADEMA tukimpa nchi atamkemea nani? Maana hao wote alionao sasa hivi ndo atawapa mamlaka.
 
We nae sometime akili huwa zinakuganda kwani duniani kote watu wanawachagua watu kwa kuamini ahadi zao!

Ingekuwa kwamba ambaye amefanya kitu ndio aendelee kuchaguliwa si hadi Leo hii bunge lingekuwa na wabunge na marais walewale wa mwaka 1992???.
We akili zako ndo zina barafu kabisa. Kwani hao watu wanaochaguliwa si wanatokana na sera za vyama. Kama chama kimefanya vizuri Kwann kitolewe tufanye majaribio kwa chama kingine, ambacho chenyewe tu kimeshindwa kujiendesha.
 
Kuna Mambo yanaumiza Sana hasa unapoona kijana au mzee akipinga wazi wazi upinzani usishinde uchaguzi. Ni haki yao, lakini hebu fikiria, ukiondoa utawala wa awamu ya kwanza na wa pili, CCM imetuongoza kwa awamu tatu tangu kuanza kwa vyama vingi vya siasa, tumeona madhaifu yao, tumeona mazuri yao, basi tuwapeni na Wapinzani wafanye yao, tutalinganisha baada ya miaka 5 watakayoongoza.

Hatuwajaribishi maana hawaingii kubadili kila kitu, watakuta polisi ipo, mahakama, jeshi, Bunge, shule, vyuo, nk, maana yake wanaposema watafanya tofauti haimaanishi wataanza mwanzo Bali wataboresha baada ya miaka 5 tutawapima.

Kwakuwa CCM ina nguvu na pesa nyingi, baada ya miaka 5 mtatumia kila njia kurudi madarakani endapo upinzani utashindwa kutimiza yale waliyoyaahidi.

Ewe kijana, baba, Mama tuuchagueni upinzani. Kubaki na CCM au kuchagua upinzani haimaanishi tutagawana hela mifukoni, tutafanya kazi Kama siku zote.

Tuungane, tusiwadharau upinzani maana hatujawahi kuwapa nchi tukayaona mazuri na madhaifu yao.

#MakeTanzania great again
Asante kwa ushauri wako. Nitauzingatia Oktoba 28!
 
Mkuu yote kheri, swali la kujiuliza pia katika nchi nyingine za Afrika ambazo upinzani Umefanikiwa kupenya na kushika madaraka je wamefanikiwa kubadilisha hali za maisha ya watu na nchi kwa ujumla? Mm ukiniuliza nitakwambia Hapana, katika nchi ambazo upinzani Umefanikiwa kupenya au kubadilisha utawala hakuna mabadiliko sana zaidi ya vilio kutoka kwa wananchi, mfano UGANDA kabla ya Museven alikuwa Iddi Amin, Huko Rwanda kabla ya Kagame kulikuwa na utawala tofauti, huko Burundi kabla ya Nkurusinza na chama chake kulikuwa na utawala wa chama kingine, the same applies to Ghana, Ivory Coast, Madagascar, Angola, lkn mm nikifuatilia hizi nchi sioni mabadiliko ya maana ambayo hizo tawala mpya zimefanikiwa kuwaletea wananchi na nchi kwa ujumla, badala yake wote wamefata nyayo za watangulizi wao katika kuendeleza dhuluma dhidi ya wananchi na nchi kwa ujumla. Tatizo naloliona sio kubadilisha vyama, tatizo ni nani anaingia madarakani ili kuukabili mfumo ambao Ndio chanzo cha umasikini katika nchi zetu, believe me or not hata aingie nani mkuu, bila huyo mtu kudeal na mifumo inayodidimiza nchi kiuchumi yote itakuwa ni kujilisha upepo.
Mtoa mada Bange tu
 
Bahati mbaya kuna kundi kubwa la watanzania wanaodhani CCM ikiondoka madarakani basi na Tanzania itakuwa imeondoka pia. Katika kundi hili wapo mpaka wasomi kabisa nao wamekuwa na mentality ya namna hiyo.

Yaani wanadhani upinzani ukiingia basi kola kitu kitaanza upya. Kuna wanaodhani hata ajira zao zitaanza upya. Yaani wamejazwa hofu hofu hofu mpaka inatia huruma
Hofu inatokana na hivyo vyama vyenyewe mnavotaka tuvipe madaraka. Unakuta chama M/kiti wake muhuni, yupo madarakani hataki kuondoka, ruzuku wanazopewa zinaliwa hovyo, wabunge walionao nusu yao ni wavuta bangi, wasagaji n.k. Sasa unawaza kweli tukabidhi nchi hii kwa wahuni? Kwa kweli hofu lazima iwepo.
 
Kuna Mambo yanaumiza Sana hasa unapoona kijana au mzee akipinga wazi wazi upinzani usishinde uchaguzi. Ni haki yao, lakini hebu fikiria, ukiondoa utawala wa awamu ya kwanza na wa pili, CCM imetuongoza kwa awamu tatu tangu kuanza kwa vyama vingi vya siasa, tumeona madhaifu yao, tumeona mazuri yao, basi tuwapeni na Wapinzani wafanye yao, tutalinganisha baada ya miaka 5 watakayoongoza.

Hatuwajaribishi maana hawaingii kubadili kila kitu, watakuta polisi ipo, mahakama, jeshi, Bunge, shule, vyuo, nk, maana yake wanaposema watafanya tofauti haimaanishi wataanza mwanzo Bali wataboresha baada ya miaka 5 tutawapima.

Kwakuwa CCM ina nguvu na pesa nyingi, baada ya miaka 5 mtatumia kila njia kurudi madarakani endapo upinzani utashindwa kutimiza yale waliyoyaahidi.

Ewe kijana, baba, Mama tuuchagueni upinzani. Kubaki na CCM au kuchagua upinzani haimaanishi tutagawana hela mifukoni, tutafanya kazi Kama siku zote.

Tuungane, tusiwadharau upinzani maana hatujawahi kuwapa nchi tukayaona mazuri na madhaifu yao.

#MakeTanzania great again
Mwalimu alishasema wakati fulani kuwa hawezi kuachia nchi kwa ma-mbwa.
 
Kwa maneno haya nimegundua kuwa watanzania hawajui umuhimu wa upinzani na wataendelea kutawaliwa na ccm mpaka watakapofunguka akili zao. Wasomi wa Tanzania bado sana fikra zao.
Kabla hujawalaumu watanzania kwa kutojua umuhimu wa upinzani, ni vyema pia ukaangalia upinzani uliopo kama unakidhi matakwa ya watanzania. Otherwise tutaendelea kuchagua CCM mpaka mwisho wa dunia.
 
Kuna Mambo yanaumiza Sana hasa unapoona kijana au mzee akipinga wazi wazi upinzani usishinde uchaguzi. Ni haki yao, lakini hebu fikiria, ukiondoa utawala wa awamu ya kwanza na wa pili, CCM imetuongoza kwa awamu tatu tangu kuanza kwa vyama vingi vya siasa, tumeona madhaifu yao, tumeona mazuri yao, basi tuwapeni na Wapinzani wafanye yao, tutalinganisha baada ya miaka 5 watakayoongoza.

Hatuwajaribishi maana hawaingii kubadili kila kitu, watakuta polisi ipo, mahakama, jeshi, Bunge, shule, vyuo, nk, maana yake wanaposema watafanya tofauti haimaanishi wataanza mwanzo Bali wataboresha baada ya miaka 5 tutawapima.

Kwakuwa CCM ina nguvu na pesa nyingi, baada ya miaka 5 mtatumia kila njia kurudi madarakani endapo upinzani utashindwa kutimiza yale waliyoyaahidi.

Ewe kijana, baba, Mama tuuchagueni upinzani. Kubaki na CCM au kuchagua upinzani haimaanishi tutagawana hela mifukoni, tutafanya kazi Kama siku zote.

Tuungane, tusiwadharau upinzani maana hatujawahi kuwapa nchi tukayaona mazuri na madhaifu yao.

#MakeTanzania great again
Kwenye Maisha hakuna suala la KUJARIBU. No, hapana hatuwezi kujaribu hili na kuwapa nchi hii manyan'gau, vibaraka wa vibeberu. Si mnawaona na kuwasikia wenyewe!? No, as a country we can not take that RISK!
 
Tumeishaona dalili kuwa hawa option nyingine hawawezi ku deliver bali wata destroy hata kile tulichokabidhiwa na waasisi wa nchi yetu! Mmoja kaanza na wimbo wa Taifa...na hapo hajapitishwa na NEC!
 
Mkuu, demokrasia ni muhimu lakini sio kweli kwamba bila demokrasia watu hawezi kufanikiwa kuijenga nchi na kujiletea maendeleo hapa kwetu tunaaminishwa Kipindi cha mwalimu utawala ulifanikiwa kujenga viwanda na mioundombinu mingi na hata kutoa huduma zingine za muhimu bure Kabisa, lkn hayo yote yalifanyika chini ya chama kimoja, je pia China sio taifa liliondelea licha ya kuwa chini ya utawala wa chama kimoja, kwahyo kubadilisha mfumo haimanishi kuwa utatuhakikishia maendeleo.
Nakubaliana na wewe kabsa ila kupingana na mindset za mwanadamu ni ngumu sana, lkn kwanini iwe ni wewe tu miaka nenda rudi, sie wenye mamlaka ya kupeleka watu ikulu tunasema sasa basi ila tunashukuru kwa huduma yako nzuri lkn tunaomba upumzike kwa sasa.
 
Na vipi kuhusu nchi za Afrika ambazo upinzani Umefanikiwa kuondosha vyama tawala ni kushika dola au utawala wa zamani kuondolewa na kuja utawala mpya (upinzani), je kuna mabadiko yoyote katika hizo nchi?
Yes mfano Zambia baada ya MMD kuchukua hatam kutoka UNIP Maisha ya wananch yalibadilika sana. Biashara zilishamiri ajira zilifurka nataka niseme hakuna Mzambia anaesahau Kipindi cha Mwanawasa. Bei ya mkate ilikua chini..barabara zilijengwa na mishahara ilikua juu.

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
We nae sometime akili huwa zinakuganda kwani duniani kote watu wanawachagua watu kwa kuamini ahadi zao!

Ingekuwa kwamba ambaye amefanya kitu ndio aendelee kuchaguliwa si hadi Leo hii bunge lingekuwa na wabunge na marais walewale wa mwaka 1992???.
Wajumbe wanaakili Sana,,
 
We unatafuta laana ya mungu. Yaani unaapia kwa upuuzi unaouwaza kwenye kichwa chako. Huyo Lissu mbona kashindwa kukemea maovu CHADEMA tukimpa nchi atamkemea nani? Maana hao wote alionao sasa hivi ndo atawapa mamlaka.
Tutajie hayo unayoyaona ni maovu ya chadema na chadema wamewafanyia wengine?

Nakuapia bila kuiba magufuli hashindi.

Ni mbaguzi ni muunga mkono WA maovu maana hakemei.
 
Back
Top Bottom