hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,448
- 6,312
Mimi kama Mtanzania Naomba kutoa ushauri mdogo Kwa Rais wangu na serikali Kwa ujumla
Kwanza mheshimiwa Rais anafanya kazi mzuri, anaonekana ana ndoto mzuri Kwa tanzania na vision mzuri ya kuleta maendeleo Kwa Sisi watanzania
Changamoto ambayo mm naiona na nataka kushauri ni kwenye upande wa viongozi ambao mheshimiwa Rais amewateua kumsaidia..
Viongozi wengi wamekuwa wazito kujitokeza hadharani na kutoa maelezo ya usahihi pale Jambo linapotokea
Mfano kuna Jambo la mambo ya tozo,
Kelele zimekuwa nyingi Sana, kila mtu anaongea Jambo lake, kwenye mitandao kila mtu anasema lake, kwenye daladala kila mtu anasema lake, mtaani kila mtu anaongea anachokijua yy,
Why mtu mmoja mwenye mamlaka kama ni waziri wa fedha au au katibu mkuu fedha asitoke hadharani akaongea?
Akatoa maelezo na mifano ya kueleweka? Akaulizwa maswali na akajibu? Watu wote wakaelewa faina na hasara?
Msemaji mkuu wa serikali alichokiongea hakijakata kiu ya watanzania yy ameongea kama anaongea na watu 20 Tu wa office yake
Yan mambo yamekuwa ni mengi and no majibu ya uhakika
Nauli za mabasi zimepanda, vifurushi vya simu vimepanda, vyakula vimepanda, Kodi za nyumba zimepanda na watanzania tukiuliza jibu ni vita vya Urusi khaaa! So mpaka vifurushi vya simu navyo ni Kwa ajili ya vita?
Tafadhari Sana mheshimiwa Rais, walazimishe wasaidizi wako kutoka na kuongea hadharani
Wajibu maswali ya watanzania, na sio wakija wanaanza oooh mama anaupiga mwingi, Sisi wote tunajua unaupiga mwingi
Thank you so much
Kwanza mheshimiwa Rais anafanya kazi mzuri, anaonekana ana ndoto mzuri Kwa tanzania na vision mzuri ya kuleta maendeleo Kwa Sisi watanzania
Changamoto ambayo mm naiona na nataka kushauri ni kwenye upande wa viongozi ambao mheshimiwa Rais amewateua kumsaidia..
Viongozi wengi wamekuwa wazito kujitokeza hadharani na kutoa maelezo ya usahihi pale Jambo linapotokea
Mfano kuna Jambo la mambo ya tozo,
Kelele zimekuwa nyingi Sana, kila mtu anaongea Jambo lake, kwenye mitandao kila mtu anasema lake, kwenye daladala kila mtu anasema lake, mtaani kila mtu anaongea anachokijua yy,
Why mtu mmoja mwenye mamlaka kama ni waziri wa fedha au au katibu mkuu fedha asitoke hadharani akaongea?
Akatoa maelezo na mifano ya kueleweka? Akaulizwa maswali na akajibu? Watu wote wakaelewa faina na hasara?
Msemaji mkuu wa serikali alichokiongea hakijakata kiu ya watanzania yy ameongea kama anaongea na watu 20 Tu wa office yake
Yan mambo yamekuwa ni mengi and no majibu ya uhakika
Nauli za mabasi zimepanda, vifurushi vya simu vimepanda, vyakula vimepanda, Kodi za nyumba zimepanda na watanzania tukiuliza jibu ni vita vya Urusi khaaa! So mpaka vifurushi vya simu navyo ni Kwa ajili ya vita?
Tafadhari Sana mheshimiwa Rais, walazimishe wasaidizi wako kutoka na kuongea hadharani
Wajibu maswali ya watanzania, na sio wakija wanaanza oooh mama anaupiga mwingi, Sisi wote tunajua unaupiga mwingi
Thank you so much