JituMirabaMinne
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 3,327
- 9,328
Sijajua kama na tabia za madalali wa vitu vingine zipo hivi. Lakini nmewalenga sana madalali wa magari.
1. Lower your expectations.
Huwa mnakuwa na matarajio makubwa sana mkishapata mteja. Mwisho wa siku biashara isipofanyika maneno yanakuwa mengi.
2. Uzima wa gari siyo muonekano.
Uzima wa gari siyo muonekano mzuri, siyo kutogonga chini, siyo engine kuwa kavu. Hayo yanaweza kuwa mambo madogo sometimes.
3. Weka mafuta kwenye gari.
Ile biashara ya kwamba anayenunua gari ndio aweke mafuta ni biashara kichaa.
4. Tiririka na wewe
1. Lower your expectations.
Huwa mnakuwa na matarajio makubwa sana mkishapata mteja. Mwisho wa siku biashara isipofanyika maneno yanakuwa mengi.
2. Uzima wa gari siyo muonekano.
Uzima wa gari siyo muonekano mzuri, siyo kutogonga chini, siyo engine kuwa kavu. Hayo yanaweza kuwa mambo madogo sometimes.
3. Weka mafuta kwenye gari.
Ile biashara ya kwamba anayenunua gari ndio aweke mafuta ni biashara kichaa.
4. Tiririka na wewe