HAKI KWA WOTE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2022
- 607
- 553
Habari,
Nikiwa mmoja wa vijana wenye uchungu na nchi za Afrika napinga gharama kubwa za matumizi yasiyoya lazima kwa viongozi wa serikali hasa kutumia magari ya kifahari yenye kubwia mafuta.
Ni wakati sasa wa kuungana na kuyachoma moto yote iwapo hayatauzwa ndani ya mwezi mmoja kwa mnada ili fedha zitakazopatikana zijenge madarasa na kununulia madawa mahospitalini.
Tutakachoweza kusamehe ni magari ya Mh Rais tu mengine yote tutayachoma hapa Tanzania na kila mkoa iwapo hayatauzwa ndani ya kipindi hicho.
Huwezi kudai katiba mpya ndani ya ubadhirifu na wakati huohuo haoahao wanaotuandalia katiba mpya wanazunguka na mav8.
NO.
USHAURI:
Rais Samia anzisha bohari/kitengo cha magari kila mkoa ili kiongozi yoyote anayetaka kusafiri aombe gari kwa appointment huko na kama safari siyo ya muhimu anyimwe gari hii itawarekebisha.
Nikiwa mmoja wa vijana wenye uchungu na nchi za Afrika napinga gharama kubwa za matumizi yasiyoya lazima kwa viongozi wa serikali hasa kutumia magari ya kifahari yenye kubwia mafuta.
Ni wakati sasa wa kuungana na kuyachoma moto yote iwapo hayatauzwa ndani ya mwezi mmoja kwa mnada ili fedha zitakazopatikana zijenge madarasa na kununulia madawa mahospitalini.
Tutakachoweza kusamehe ni magari ya Mh Rais tu mengine yote tutayachoma hapa Tanzania na kila mkoa iwapo hayatauzwa ndani ya kipindi hicho.
Huwezi kudai katiba mpya ndani ya ubadhirifu na wakati huohuo haoahao wanaotuandalia katiba mpya wanazunguka na mav8.
NO.
USHAURI:
Rais Samia anzisha bohari/kitengo cha magari kila mkoa ili kiongozi yoyote anayetaka kusafiri aombe gari kwa appointment huko na kama safari siyo ya muhimu anyimwe gari hii itawarekebisha.