Kabisa Wanawake wakishampata MTU wakaridhika naye kila kitu ,huwa wanashika mimba fastaNa kweli hapo keshapata neno lake la ku slope nalo![]()
![]()
kila akiombwa kuzaa anatumia hiyo kauli, Wanawake navyowajua wanavyopenda kuzaa mapema wakimpata mtu anayeelewaka jamani
Wanaachana kwa sababu fulani. Akipeleka hilo shauri hata kanisa watabariki. Au basi tuseme atengane nae aoe mwanamke mwingine ndoa ya kiserikali ila huyo slay queen amtoe kabisa kwenye maisha yake.Wakristo hawaruhusiwi kuachana mzigua 90. Soma vizuri comment yake. Sio kwamba nimetoa kichwani. Unamshauri MTU kulingana na uelekeo wake.
Kumbe we keDu linanihusu. Mi mume wangu ndo hataki tuzae. Kama vipi mleta uzi akikuruhusu kuzaa nje njoo kwangu tuyajenge ( just kidding). Ila pole mwaya
Ndio. Ulijua ni me?Kumbe we ke
Kabisa yani. Maana comment zako dahNdio. Ulijua ni me?
Zikoje?Kabisa yani. Maana comment zako dah
Zimekaa vizuri sanaZikoje?
Honestly me simuachi... Natafuta shoo ya nje inayojielewa naipa kila kitu maisha yanaendelea, na tunazaa... Yule wa ndani namuweka wazi ila akiniambia kitu siambiliki, mpaka aikimbie ndoa mwenyewe... Kama kujishtaki atajishtaki yeye kanisani, by then me ntakua nimeshaukonga moyo wangu...Wanaachana kwa sababu fulani. Akipeleka hilo shauri hata kanisa watabariki. Au basi tuseme atengane nae aoe mwanamke mwingine ndoa ya kiserikali ila huyo slay queen amtoe kabisa kwenye maisha yake.
Kwahiyo unataka kumkomoa mkuu?Honestly me simuachi... Natafuta shoo ya nje inayojielewa naipa kila kitu maisha yanaendelea, na tunazaa... Yule wa ndani namuweka wazi ila akiniambia kitu siambiliki, mpaka aikimbie ndoa mwenyewe... Kama kujishtaki atajishtaki yeye kanisani, by then me ntakua nimeshaukonga moyo wangu...
Kabisa.... Haiingii akilini... Objectives za ku-formalize mahusiano zilikua zipi??Mkeo anakujibu kirahisirahisi tu kwamba hataki kuzaa kwa sababu hataki kuja kusumbuka na nepi? Kwani wewe jinsia gani mkuu? This is unthinkable.
Simkomii, Mzigua... Mahusiano is a two way traffic... Not about what she wants, its about all of us as family.... That will be settling the score, si kukomoana...Kwahiyo unataka kumkomoa mkuu?
Ndoa bila kizazi hiyo inapigwa chini hata maparoko wanajua hiloMie mkristo