Ushauri wana JF: Mke wangu hataki kuzaa

Chapota

Member
Oct 25, 2017
96
53
Wana JF wenzangu naomba ushauri,

Najua kuna wataalamu wengi wa ushauri. Nifanyeje mwenzenu mke wangu hataki kuzaa, yeye anataka tendo la ndoa tu.

Nimejaribu kumuuliza kwanini hataki kuzaa? Anajibu yeye hataki habari za kusumbuka na visepe na nepi.

Nifanyaje na mimi nataka mtoto?
 
Sio mke huyo Bali hao ni wale wa kustarehe. Ulipaswa umweleze kwanza lengo lako la kuoa kabla. Cha msingi oa mke wa Pili kwa ajili ya Watoto huyo Bado sana. Ila usimwache. Na umweleze kabisa kua unaoa mke wa Pili kwa ajili ya kupata Watoto. Tena u mwambie unataka angalau Watoto 6 na kuendelea asilete upuuzi. Kama hawezi basi avumilie au aondoke kwa hiyari yake.
 
Sio mke huyo Bali hao ni wale wa kustarehe. Ulipaswa umweleze kwanza lengo lako la kuoa kabla. Cha msingi oa mke wa Pili kwa ajili ya Watoto huyo Bado sana. Ila usimwache. Na umweleze kabisa kua unaoa mke wa Pili kwa ajili ya kupata Watoto. Tena u mwambie unataka angalau Watoto 6 na kuendelea asilete upuuzi. Kama hawezi basi avumilie au aondoke kwa hiyari yake.
Nitafanyia kazi ushauri wako asante.
 
Usikute hana kizazi huyo bi dada kwa hiyo anakutisha eti hataki kuzaa. Kama wewe ni Muslim oa mwanamke mwingine.
Mie mkristo
Sio mke huyo Bali hao ni wale wa kustarehe. Ulipaswa umweleze kwanza lengo lako la kuoa kabla. Cha msingi oa mke wa Pili kwa ajili ya Watoto huyo Bado sana. Ila usimwache. Na umweleze kabisa kua unaoa mke wa Pili kwa ajili ya kupata Watoto. Tena u mwambie unataka angalau Watoto 6 na kuendelea asilete upuuzi. Kama hawezi basi avumilie au aondoke kwa hiyari yake.
 
Haya pole basi inabidi uvumilie tu mpaka atakapokuwa tayari. Hapo hakuna namna ila sikushauri kupata Watoto Nje. Vumilia kaka ufuate dini Yako inavyosema. Unaweza kabisa
Nashukuru, ingawa uvumilivu umeanza kunishida.
 
Mna muda gani kwenye mahusiano yenu kabla ya Ndoa na ni Ndoa ya umri gani?

Pengine ni wakati wake wakujiendeleza kimaisha /kikazi hatopenda kuchanganya na uzazi.

Ongea naye kama rafiki ujue sababu kuu maana hizo ulizosema hapo juu hazina mashiko kwa kweli, uzazi ni zaidi ya kubadilisha nappy.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom