Bbade
JF-Expert Member
- Mar 15, 2013
- 6,742
- 21,870
Ulipaswa kujua mnaenda kutengeneza familia kubwa kiasi gani kabla ya kuwekeana ahadi mbele ya kanisa.Mahusiano ya mwaka 1. Ndoa ina miaka 3
Mvumilie tu huna jinsi. ..ila usiache kumkumbushia hitaji lako la kukuza familia kwa upole na upendo.
Usiache kautafiti kutoka kwa watu wanaomzunguka ili upate kujua kilichomsibu huko nyuma mpaka kufukia hapendi kuwa mama.
Pole na kila la Kheri.
