ukhuty
JF-Expert Member
- Oct 9, 2016
- 16,885
- 42,002
Ni Mkeo wa Ndoa au Mchumba sugu?

Ni Mkeo wa Ndoa au Mchumba sugu?

Una mke wa ajabu kupata kutokea. ..Wana JF wenzangu naomba ushauri,
Najua kuna wataalamu wengi wa ushauri. Nifanyeje mwenzenu mke wangu hataki kuzaa, yeye anataka tendo la ndoa tu.
Nimejaribu kumuuliza kwanini hataki kuzaa? Anajibu yeye hataki habari za kusumbuka na visepe na nepi.
Nifanyaje na mimi nataka mtoto?
Sharia zetu ni kuwa kama mwanamke/ mwanaume alijijua ana tatizo akamficha mwenzie then likija kugundulika uamuzi ni kuwa hiyo ndoa ni batili /haipo .kumbuka uliapa kwenye shida na raha
Umri huo hata clinic anaandikwa kwa red pen.Miaka 30
Pole sana. Kwa kipindi chote hicho cha miaka 3 ndani ya ndoa hajawahi kushika ujauzito hata mara moja??Mahusiano ya mwaka 1. Ndoa ina miaka 3
Hahahahahahaha HahahahhaaaUmri huo hata clinic anaandikwa kwa red pen.
Aisee... Hapo tatizo...Miaka 30
Aisee... Hapo tatizo...Miaka 30
Umeniwahi ki uhalisia hazai. Na analijua hiloMwambie naenda kuzaa nje , alafu fanyia kazi atakachokujibu.
Usikute hazai huyo,anakuzengua tu na Western life!!.
Umeoa?Hiyo siyo sababu ya yeye kuzaa nje mkuu.
Umeoa?
Kama wewe ni mkristo mtakuwa mlipitia mafundisho ya ndoa kabla ya ndoa yenu. Lengo kuu la ndoa ni "Procreation" - uzazi. Kama mlifunga ndoa akijua kabisa hana uwezo wa kuzaa kutokana ma hitilafu mwilini mwake na akakuficha hilo, basi ndoa yenu ni batili toka awali. Na kama ni mzima, hana hiari ya kukataa mwenyewe kuzaa bila concesus yako. Mi nakushauri uwashirikishe wasimaizi wa ndoa yako, ikishindikana muone mchungaji/padre kwa suluhisho zaidi.Nashukuru, ingawa uvumilivu umeanza kunishida.
Asante kwa ushauri.Kama wewe ni mkristo mtakuwa mlipitia mafundisho ya ndoa kabla ya ndoa yenu. Lengo kuu la ndoa ni "Procreation" - uzazi. Kama mlifunga ndoa akijua kabisa hana uwezo wa kuzaa kutokana ma hitilafu mwilini mwake na akakuficha hilo, basi ndoa yenu ni batili toka awali. Na kama ni mzima, hana hiari ya kukataa mwenyewe kuzaa bila concesus yako. Mi nakushauri uwashirikishe wasimaizi wa ndoa yako, ikishindikana muone mchungaji/padre kwa suluhisho zaidi.
Una mtoto?Ndio boss.