Ushauri huu siuafiki maana akienda kwa Padre atamkula tu. Atafute mtoto na Mke wake kama hataki (ambayo ni haki yake kikatiba) naye atumie haki yake ya kujiamulia apendalo azae Nje bila kupoteza wakati ati usuluhishiKama wewe ni mkristo mtakuwa mlipitia mafundisho ya ndoa kabla ya ndoa yenu. Lengo kuu la ndoa ni "Procreation" - uzazi. Kama mlifunga ndoa akijua kabisa hana uwezo wa kuzaa kutokana ma hitilafu mwilini mwake na akakuficha hilo, basi ndoa yenu ni batili toka awali. Na kama ni mzima, hana hiari ya kukataa mwenyewe kuzaa bila concesus yako. Mi nakushauri uwashirikishe wasimaizi wa ndoa yako, ikishindikana muone mchungaji/padre kwa suluhisho zaidi.
Mlianza ndoa kabla ya mahusiano?Mahusiano ya mwaka 1. Ndoa ina miaka 3
Una mtoto?
Nilitaka kujua kama una watoto. Hivyo huwezi kuwa mshauri mzuri kwa mtu ambaye hana mtoto. Aidha kwa vile hujawahi kukosa mtoto ndani ukaamua kupata nje, hivyo huwezi kuwa mshauri mzuri. Kwa vile hujui machungu na raha ya kutokuwa na mtoto wa kwako wa kibailojia.Watoto.
Sioni kwanini unahoji maswali yote haya.My point was,"Wakristo/watu wengine kuzaa nje sio sababu ya kumshauri nayeye azae nje".Kuna mambo mengi tuu yanafanywa na watu ambayo siyo sahihi na kamwe hayahalalishwi ati kwasabab wengine wanafanya/wameshafanya .....
Wana JF wenzangu naomba ushauri,
Najua kuna wataalamu wengi wa ushauri. Nifanyeje mwenzenu mke wangu hataki kuzaa, yeye anataka tendo la ndoa tu.
Nimejaribu kumuuliza kwanini hataki kuzaa? Anajibu yeye hataki habari za kusumbuka na visepe na nepi.
Nifanyaje na mimi nataka mtoto?
wanasema ukipenda hauoni..Anaonekana anampenda sana Ndo mana. Siunajua ukipenda bana. Hata ukiona chongo utaita kengeza. Ila uamuzi ni wake.