Ushauri wako ni muhimu zaidi kwangu

Ushauri wako ni muhimu zaidi kwangu

Nawaombeni sana nitakuja kujibu hoja zenu mida ya usiku kuna mambo yameingiliana hivyo sitoweza kuzipitia na kuzijibu kwa ufasaha.
Ahsanteni sana kwa kila alotoa mchango wake. Ila nimependa na at least nimepata mwanga mzuri
 
twende taratibu dada (nakuchukulia kama mdogo wangu).

Unampenda huyu bwana? Manake moyo nao una kiherehere. Tulia kwanza mchecheto upite, manake kuchat na mtu miezi sita sio sababu ya kumpenda. Wewe uko lonely and vulnerable (take note, kwa hiyo husisha akili kwenye maamuzi)

Nimefurahi unaangalia mambo ya msingi:

1. Unahitaji kujua kama unampenda huyu ndugu. Lakini still wewe sio binti mdogo na kukimbilia ndoa sio muhimu sana ( angalia usiwe unakimbilia sex pia). Ndoa ni commitment ya maisha.

2. Hakikisha jamaa anaonana na ndugu wachache sana unaowaamini, pamoja na wanao. Waambie watoto that is your good friend na uwaone wanamchukuliaje. Na wewe unahitaji kukutana na wanae

3. Nafurahi kuwa unawaza kazi yako pia. Come what may, usiache kazi. tafuta kazi ya hadhi hiyo hiyo ama zaidi na hiyo ndio condition ya kuhamia huko. Hata kama itabidi msioane hadi upate kazi. Kubalianeni mambo ya msingi ikiwemo wewe kufanya kazi. Hao wenzetu wana tamaduni tofauti, ukimuambia mtoto wa binamu wa mjukuu wa ukoo wao baba kwa upande wa mama anahitaji msaada hawaelewagi. So kazi yako ishikilie haswaa.

4. Wakati huo mnaendeleana kujuana na huyu ndugu, unaweza kufanya mipango ya talaka. Lakini ningekuwa wewe, nisingesaka talaka ili niolewe na DB. Ningesaka talaka kwa sababu nimechoka kuishi kwa suspension ya kungojea mtu ndio nianze kuishi wakati huo yeye anaendelea kuishi na kufurahia malimwengu. Huyu DB asiwe sababu ya kutaka talaka manake nae akikuacha utaumia sana

Haya maneno yako, kuwa its too early kujicommit yanaonyesha maturity yako. Nimekupenda bure kabisa. Muambie ni mapema sana kufunga ndoa, ni muhimu tuongee mambo yote na kuyamaliza, na tukutane na ndugu pia.

Kila la kheri. Mwisho wa siku trust your guts. Ni sawa kukosea kuamua, ila utakosea usipoamua kabisa na kupelekwa kama jahazi bovu
Hapa ndipo na mie panapo nipa mashaka yaani nataman ningekuwa naweza kuonyesha mawasiliano yangu na yeye hapa ila basi tu siwez kufanya hivyo.
Mie najua kila jambo huwa lina muda wake wa kukua, na sasa sitaki kukimbizwa manake huo mguu wa kati mbona sio ishu sana ikiwa hakuna mapenzi ya kweli?
Mchana huu nimemwabia in one of the chats kwamba anaposema aje anioe such urgently je mie carrier yangu naitupa wapi? Nimemwambia kama yuko radhi abaki TZ anasema haijui vyema Tz so angependa tukaish kwenye nchi yao, ....................:mmph:
Nikamwambia unless nime secure kazi kwenye gas&oil drilling company ndo nitanyunyua mguu wangu hapa Tz. Though hajaipenda hii kauli as he is claiming that I don't trust his love and all those shits ...............lakin bado naona ugumu hasa kwamba mie nina familia yeye mwenzangu hana so he has nothing to lose.

Ana demand kuandikiwa email simply kwasabb kwenye geocompany yao wana respect zaid women concerns especially socially related na mie ilo sio tatizo kwangu ila its too early kwa mimi kujicommit in such a way.
 
Hapa ndipo na mie panapo nipa mashaka yaani nataman ningekuwa naweza kuonyesha mawasiliano yangu na yeye hapa ila basi tu siwez kufanya hivyo.
Mie najua kila jambo huwa lina muda wake wa kukua, na sasa sitaki kukimbizwa manake huo mguu wa kati mbona sio ishu sana ikiwa hakuna mapenzi ya kweli?
Mchana huu nimemwabia in one of the chats kwamba anaposema aje anioe such urgently je mie carrier yangu naitupa wapi? Nimemwambia kama yuko radhi abaki TZ anasema haijui vyema Tz so angependa tukaish kwenye nchi yao, ....................:mmph:
Nikamwambia unless nime secure kazi kwenye gas&oil drilling company ndo nitanyunyua mguu wangu hapa Tz. Though hajaipenda hii kauli as he is claiming that I don't trust his love and all those shits ...............lakin bado naona ugumu hasa kwamba mie nina familia yeye mwenzangu hana so he has nothing to lose.

Ana demand kuandikiwa email simply kwasabb kwenye geocompany yao wana respect zaid women concerns especially socially related na mie ilo sio tatizo kwangu ila its too early kwa mimi kujicommit in such a way.
Yaaani uache kazi umfuate kwao huyu DB ana wazimu nini haoni mzigo ulionao? Duh!! Kwa kweli sasahivi usipelekeshwe endelea kumchimba chimba hivyo hivyo atleast utapata ka mwanga anahitaji nini kutoka kwako.
 
Huyu wifi yangu hatuongei nae kwasasa manake alisema kabisa kwamba kwasasa kaka yetu ameoa mzungu na siku akija nitakuita uje eapoti kumuona aliyasema hayo kwa jeuri sana nikakasirika na kuamua kufuta mawasiliano yangu na yeye kabisa

daah...!!
mawifi sie jamani hadi huruma
pole sana
 
Hujui kuna wanawake wana mahaba nipoteze kama ndege ya malaysia????



hivi gfsonwin na BADILI TABIA, Mtu miaka 3+ hakuna barua wala nini halafu eti asijicommit hadi ajue hatma? Kama uko na ndoa hamna mawasiliano, umekuwa blocked kwa maneno na matendo, na mtu amerudi hadi mtaa wa tatu hana habari na wanae wala wewe. Halafu ati unaendelea kumpenda? Unampenda nini hapo kwa mfano?

Mwenzie anakula life halafu anakuja haendi kumjulia hali wala kusalimia hata wanae....

Bado anajihesabu ana ndoa

Kwanza anapaswa a-file for divorce. .. ili aendelee na maisha yake...

Wasiwasi wangu hapo kwa DB ni kuwa atakuwa nae kwa sababu ya upweke badala ya mapenzi...
 
Last edited by a moderator:
Hahaha kuna kutumia naniliu pia bwana (mie nahesabu mileage hehehe. Gari miaka 10 ina km 5000, kudadekii)
Ila hata huyo mzungu sio foreigner hakawii kukukopa hela ya serena hapo ukashika adabu. Hao watu wanaokaa nje wakina Nyani Ngabu na yule shosti wake selebriti (NN natoa mfano tu lol), mie huwa nawaogopa sana aisee. Hakawii kuja akakuachia bills zote hapo (i dont mind kulipa bills, ila kutumiwa naniliu afu niachwe ntamind aisee, hehehe)
Madam King'asti naomba urekebishe hapo bold!!!!

Wanaotumia ni yule anakukopa hadi nauli na pesa za gesti..wa huku uswahilini kwetu! Huyo ambaye ku-do mnaenda Serena utasema anakutumia kweli!???
 
Last edited by a moderator:
Kweli kuna watu na viatu, mtu unakuja bongo hata kutembelea watoto wako wamekukosea nini na wao? Kwa waandishi wanaweza tengeneza kitabu/movie cha matukio ya kweli.
 
Sawa ndugu lakini sasa je nitaishije mie ukweli upo wakati kabisa natamani na mimi kutimiziwa haja zangu za kimwili. Nimevumilia hadi nimekuwa kama kikongwe manake kila leo mara mgongo, unauma mara akili aikai tu sawa yaani nipo nipo tu sijielewi. Nimejaribu kumtafuta mshauri nasaha anishauri lakin nimegundua kwamba ushauri unafanya kazi na akili zaid lakin sio na vichocheo vya mwili

tell the kids the truth
watakuelewa tu
daah wanawake sie mara nyingi ndo waathirika wa haya mahusiano
umeanza kumiss mhogo ujanani hadi utu uzima unaingia
dah stress lazima hapo
 
Its definitely true that every woman needs happiness, love, care and respect. Cross puzzle comes when a new man pops in. Huwez kujua uchague lipi. Hasa ukikumbua ule msemo usemao umekimbilia kulia ukakuta kushoto kumebomoka...........
Nimejiuliza maswali mengi sana nikaishia kucheka manake rafiki yangu mmoja alikuwa anasoma hizi comments apa akaniambia bibie ....................................'Uzuri wa mkakazi ndani kipande cha mti"

Na nikifikiria zaid "a rolling stone gathers no moss " nashindwa kuchagua

Kwa kweli pole sana naelewa situation uliyopo na DB malavidavi anayo yaonesha kwako ukizingatia umeyamiss muda mrefu lazima uwe njia panda!!, jipe muda itafika wakati mambo yatajiongoza yenyewe, Mimi maombi yangu Mungu akupe hekima tu ufanye maamuzi ambayo hayataleta majonzi tena.
 
Hao watu wanaokaa nje wakina Nyani Ngabu na yule shosti wake selebriti (NN natoa mfano tu lol), mie huwa nawaogopa sana aisee.

Shosti gani tena huyo? Halafu unanichokoza halafu unadai eti unatolea mfano tu....dawa yako inachemka.

Hakawii kuja akakuachia bills zote hapo (i dont mind kulipa bills, ila kutumiwa naniliu afu niachwe ntamind aisee, hehehe)

With me the thing is, I have never ever been a sponger in my life and I don't plan on being one.
 
twende taratibu dada (nakuchukulia kama mdogo wangu).

Unampenda huyu bwana? Manake moyo nao una kiherehere. Tulia kwanza mchecheto upite, manake kuchat na mtu miezi sita sio sababu ya kumpenda. Wewe uko lonely and vulnerable (take note, kwa hiyo husisha akili kwenye maamuzi)

Nimefurahi unaangalia mambo ya msingi:

1. Unahitaji kujua kama unampenda huyu ndugu. Lakini still wewe sio binti mdogo na kukimbilia ndoa sio muhimu sana ( angalia usiwe unakimbilia sex pia). Ndoa ni commitment ya maisha.

2. Hakikisha jamaa anaonana na ndugu wachache sana unaowaamini, pamoja na wanao. Waambie watoto that is your good friend na uwaone wanamchukuliaje. Na wewe unahitaji kukutana na wanae

3. Nafurahi kuwa unawaza kazi yako pia. Come what may, usiache kazi. tafuta kazi ya hadhi hiyo hiyo ama zaidi na hiyo ndio condition ya kuhamia huko. Hata kama itabidi msioane hadi upate kazi. Kubalianeni mambo ya msingi ikiwemo wewe kufanya kazi. Hao wenzetu wana tamaduni tofauti, ukimuambia mtoto wa binamu wa mjukuu wa ukoo wao baba kwa upande wa mama anahitaji msaada hawaelewagi. So kazi yako ishikilie haswaa.

4. Wakati huo mnaendeleana kujuana na huyu ndugu, unaweza kufanya mipango ya talaka. Lakini ningekuwa wewe, nisingesaka talaka ili niolewe na DB. Ningesaka talaka kwa sababu nimechoka kuishi kwa suspension ya kungojea mtu ndio nianze kuishi wakati huo yeye anaendelea kuishi na kufurahia malimwengu. Huyu DB asiwe sababu ya kutaka talaka manake nae akikuacha utaumia sana

Haya maneno yako, kuwa its too early kujicommit yanaonyesha maturity yako. Nimekupenda bure kabisa. Muambie ni mapema sana kufunga ndoa, ni muhimu tuongee mambo yote na kuyamaliza, na tukutane na ndugu pia.

Kila la kheri. Mwisho wa siku trust your guts. Ni sawa kukosea kuamua, ila utakosea usipoamua kabisa na kupelekwa kama jahazi bovu

Ahsante sana kwa ushauri wako you sound exactly like my brain

Hujui kuna wanawake wana mahaba nipoteze kama ndege ya malaysia????





Mwenzie anakula life halafu anakuja haendi kumjulia hali wala kusalimia hata wanae....

Bado anajihesabu ana ndoa

Kwanza anapaswa a-file for divorce. .. ili aendelee na maisha yake...

Wasiwasi wangu hapo kwa DB ni kuwa atakuwa nae kwa sababu ya upweke badala ya mapenzi...
hapo bold that shall be the last thing ever to be done by me........................am too old for this.
Nimependa zaid umenipa conclusive remark kwamba Ishould file divorce before anything.

I will come back to you shortly I gotta go now..............Love you all and Thanks million times for your time and concern over me.
 
Pole

Nakushauri fanya mpango wa talaka tu
Hapo

Kisha ufungue moyo wako kwa ajili ya kupenda......



Huyu wifi yangu hatuongei nae kwasasa manake alisema kabisa kwamba kwasasa kaka yetu ameoa mzungu na siku akija nitakuita uje eapoti kumuona aliyasema hayo kwa jeuri sana nikakasirika na kuamua kufuta mawasiliano yangu na yeye kabisa
 
Dada pole sana! Fanya moja dunia kijiji kwa sasa,uwezo pata nafasi,tumia vyanzo sahihi vya habari fika eneo la tukio(alipo Mr) pata uhakika, ndio ufanye maamuzi magumu!!!.
 
Yaani wewe hao wakwe ambao wananiona kila siku nahangaika na wajukuu zao. Halafu mtoto wao amekuja na mie nikasikia tu mtaani (tena wala hawajaniambia wao wala kuniita nimshuhudie), halafu isitoshe huyo mtoto wao alikuja na wakakaa nae wala hawajamuona akija na wanae wala mimi. Wanapewa taarifa kivipi, kwa barua, kwa email ama niende na kitenge na sukari kuulizia kama mtoto wao bado ni mume wangu?:heh::heh:


Kwani mtoto wao alipokuja hawakusema maneno? Khaaa!


umeona dada eeehh.
hao wakwe kwanza yaonyesha hawana mpango nae
km waliweza kumpokea mtoto wao na asiende kuona watoto hivi kuna ndoa hapo
mi viatu vya huyu dada nahisi size 18 halafu skuna havintoshi ht kidole cha mwisho
 
HAhah besti, anachokihitaji huyu wala hakiendani na moyo....moyo wake unamtuma kwa 'mumewe' mwili wake unamtuma kwa 'DB (BD?)'...see where the problem lies!??

Angekuwa mwanaume ingekuwa rahisi sana kumshauri..sema nyie wadada bwana, saikolojia yenu iko so different! As a man, unachukua moyo unafungia kabatini mnaanza misele na huyo DB (BD?)...hata akirudi huyo 'mumewe' hakuna msamaha cha maana tu wanae wamwone...moyo usiutoemo huko kabatini tena...Life is too short to give it to some individual to destroy it!!!!


dada.........ningekuwa ni mimi ningeufuata huu ushauri!

kila la kheri katika maamuzi yako.
 
Wewe mwanamke ni wa ajabu sana yaani mpaka sasa hujajua kilichomsibu mmeo!!! Nakushauri kitu kimoja kabla ya kufanya maamuzi fanya uchunguzi kwanza ujiridhishe kama mmeo kaoa au kapatwa na maswahibu gani. Wewe ni mtu mzima mwenye akili mmeo unamjua vizuri fanya utafiti dada usije mpotezea muda DB, pengine huwezi kujua labda ndugu wa mume ndio chanzo cha yote hayo au pengine alipata habari mbaya kukuhusu wewe. Acha kupelekeshwa na hisia za kuwa mpweke. Nenda hata kanisani mlipofungia ndoa watawaita hata ndugu zake ujue nini kinachoendelea
 
Theory nyiiiiiingi lazima ufeli mamaa,
Ushauri unawafaa wajinga, manake wanaojitambua hili ni jambo dogo kwao.

1. Unawaheshimu wanao pamoja na upuuzi wa babayo. HILI NI JAMBO JEMA NA LINAFAA KUIGWA.

2. Upweke unaitingisha akili na mwili wako
HAPA TUMIA HESHIMA KWA WANAO KAMA PIE, lazima upate eneo la duara manake kipenyo ni miaka mitatu.

Ukiikokotoa hiyo hesabu ya kutafuta hilo eneo utakuta HESHIMA KWA WANAO NDIO RADHI YAKO KWAO.

Ume characterize kuwa kutokuolewa na mwanaume mwingine NDIYO HESHIMA KWA WANAO. Tafadhali usipoteze mwelekeo, wasaidie wanao kuivunja laana ya usaliti iliyopo katikati yao kupitia genre za baba yao.

Kwenye Biblia imeandikwa "makahaba watatutangulia kuingia peponi"

Kwenye Hayo maneno ya kitakatifu hapo juu fumbo lako lipo humo.

Ni rahisi kukwambia pendana na mume wa mtu yeyote akupunguzie mihemuko ya mwili wako. Ma bachelor watataka kukuoa achana nao.

KUWAHESHIMU WANAO NI HEKIMA ITOKAYO KWA MUNGU.
 
Hahaha kuna kutumia naniliu pia bwana (mie nahesabu mileage hehehe. Gari miaka 10 ina km 5000, kudadekii)

kitu haijatumiwa tangu kikwete aingie ikulu kwa mara ya pili unasoma mileage kweli!??


Pole

Nakushauri fanya mpango wa talaka tu
Hapo

Kisha ufungue moyo wako kwa ajili ya kupenda......


Talaka ndo inamzuia mtu kupenda eti?


Kwa kweli pole sana naelewa situation uliyopo na DB malavidavi anayo yaonesha kwako ukizingatia umeyamiss muda mrefu lazima uwe njia panda!!, jipe muda itafika wakati mambo yatajiongoza yenyewe, Mimi maombi yangu Mungu akupe hekima tu ufanye maamuzi ambayo hayataleta majonzi tena.

hivi nyie wadada, hamuwezi ku-do bila kuhusisha hisia zenu!!????
 
Kuna kipindi katika maisha yetu tunapaswa kutumia busara katika kiwango cha juu sana kuliko kipindi chochote kile.....tunalazimika kutumia busara kwa sababu tunaishi katika jamii ya watu wengi na wenye fikra tofauti...vile vile tunatakiwa tuwe makini na kila kauli zitokazo vinywani mwa watu wetu tunaowaona kuwa ni wa karibu kwetu..

..si kila kila kauli itikayo kinywani mwa watu basi huwa zinaakisi yaliyomo moyoni bali mengine yanalenga maslahi binafsi...katika kipindi hichi ambacho wanao ni kama mashujaa wako na wanakupa sababu ya kupambana na maisha basi unatakiwa ubaki hivyo hivyo.....na maamuzi yoyote utakayoyachukua unatakiwa kwanza uwafikirie watoto wako kwanza.....
 
Hahahahahahaha!! Kwahiyo aendelee kukitembeza kwa DB tu??😉 halafu huyu DB hata mimi ananipa mashaka sana inamaana yeye ameshindwa kweli kuomba likizo na maujanja yote mpaka kuutangazia uma wote anaenda kwa bibie? Kuna nyuma ya pazia ya DB, haki ya nani kuna wanaume wanajua kuvuta attention ya mwanamke yaani unajiona bongeee la malkia kumbe ana yake!!!!!

Hahahaha, na mimi nimeshangaa..eti bibie mpaka awaandikie email "kazini" kwa DB ndiyo DB apate ruksa....mh, si mke si mchumba si mama si bibi, ni mtu baki tu aandike barua kazini kuwa "anamtaka haraka"! Haya bana, endeleeni na mjadala wacha mi nikapange zangu mkeka wa leo maana jana nimekula za uso mbili!
 
Back
Top Bottom