Mmmmmmmmmmmmh! KUNA APPROACH 2 HAPO!
1. KATE MIDLETON APPROACH! Hii ilimlipa sanaa Kate, hii unatuliza mpapa tuliiiiiiiiiiiii kama unanyolewa vuzi mpaka hio siku isio na jinaaa atakaporudi huyo mume. Believe atarudi even fter 10 years. Mungu anajibu japo kwa kuchelewa mda mwingine lakini anajibuuu. Akirudi hio siku iso na jina na kukuta umekituliza mambo byeeeeeeeeeeee! Akikuta umekitembeza ana ghairi. Kate aliachana na prince akakituliza tuliiii, wenzie wanaolewa miaka ishirini na ngapi huko yeye anafukuza upepo wa prince tu, siku iso na jina ikafika bwanaa. Angtia tamaa kujichulia looser si ingekula kwake?
2. MTAANI UNTD! Hii unakuwa a woman of double faces. Huku kwa wanao kujua unajitia kuendelea kumngoja mumeo kwa unyonge, huku kwa bwana BD mnakandamiza mavituz kama kawaidaaaaaaaa. Kwa raha zenu. Unacheza ligi international! Dubai, South, Nairobi hivo yani. Unapata kitu roho inapenda huku unafukia tracks zako. Siku iso na jina ikifika kama sio yule uliejiachia na boloyanki la DB! Hahahaaaaaa! HII NI WIN WIN! Ila usiwe mzembe tu, na uwe na roho ya korosho hubby akirudi unamuangalia usoni kama sio yule ulieshika mic ya DB! Hahahaaaaaaaaaaa!