Ushauri wa leo kwa kaka zangu

Ushauri wa leo kwa kaka zangu

ndio kurogwa kwenyewe kwahiyo muongeze maombi ukifika mda wa kustaafu mbona huwa tunajirudi
Si unaona sasa akili zenu yani mwanamke ahangaike kusugua goti miaka yote hiyo, huku wewe ukila starehe zako kwa kisingizio kuwa umerogwa halafu uje urudi uzeeni ukiwa ushajichokea yeye ndio ahangaike na wewe, haki kuzaliwa mwanamke africa ni laana tosha maana wanaume wao ni mizigo
 
Yaan unajirudi baada ya kustaafu ukute na pesa zote ulikula na vimada. Kwangu hamna nafasi kwa mwanaume wa aina hiyo arudi huko huko alikokua anapiga starehe.
sema mimi ntawahi kurudi kabla ya kustaafu ila kwa msaada wa maombi yako. Tatizo lenu huwa mnazinguaga sana mkishawekwa ndani
 
kwahiyo vibinti vya form 6 ndo vimekamilika??

nini linakufanya useme hivyo
Sijamaanisha wana ukamilifu! Wengi wanakua bado hajawakubuhu kwenye industry ya kufakamiwa ukiwa mjanja unaweza kuotea humo japo ni probability!

Kilichonifanya niseme hvo ni kwamba binafsi nimeotea wawili wa hvo mmoja nlimkuta ana utepe hajawahi nisumbua wa pili nlikuta Kuna muhuni kafeka kiwanja lkn nlidate nae vzr hakua msumbufu
 
sema mimi ntawahi kurudi kabla ya kustaafu ila kwa msaada wa maombi yako. Tatizo lenu huwa mnazinguaga sana mkishawekwa ndani
Hapa tunazungumzia mwanamke aliekaa na mwanaume wake vzuri. Hivi mwanamke aliekaa na ww wakati upo juu ya mawe aje kukuzingua ukiwa na pesa? Mwanamke wa wapi huyu?
 
Si unaona sasa akili zenu yani mwanamke ahangaike kusugua goti miaka yote hiyo, huku wewe ukila starehe zako kwa kisingizio kuwa umerogwa halafu uje urudi uzeeni ukiwa ushajichokea yeye ndio ahangaike na wewe, haki kuzaliwa mwanamke africa ni laana tosha maana wanaume wao ni mizigo

Sent using Jamii Forums mobile app
nimekosa hadi cha kusema ila kuvaa viatu vyetu vitawapwaya kama sio kuwabana na mtavivua.
 
Hapa tunazungumzia mwanamke aliekaa na mwanaume wake vzuri. Hivi mwanamke aliekaa na ww wakati upo juu ya mawe aje kukuzingua ukiwa na pesa? Mwanamke wa wapi huyu?
wapo wa hivyo wengi tu huwa hamueleweki ndio maana tuliambiwa tuishi nanyi kwa akili
 
Ni hawa watoto wanaotoroshwa na baba jose au Kuna wengine???
Kwann umeamua kumtumia huyo kuwapa marks wote? Sikatai kwamba wahuni wapo hata binafsi kipindi nasoma Kuna demu alibakwa na watu tisa ila siku ya pili aliwahi namba ya 12:45😁 lkn haibadili maana kwamba wazuri bado wapo!

Nimependekeza hyo level kwa sababu ndo gate kuu la wadada wengi kupata uhuru mwingi/usio na mipaka unakuta katoka advance girls tupu, kaunga jkt anatoka hapo unamdaka wengi moyo yao bado haina mangeu ya mapenzi
 
Back
Top Bottom