hata siwalaumu,Wapo ijapokua naamini ni kwa uchache. Sasa hivi hakuna tena upendo wa dhati ndio mana hata wadada wengi wapo after money upendo pelekea wazazi.
mda huo tunawaona slay queens na mabinti wa chuo tu, wana ulozi mbaya sana hao mtuvumilie hata kama mngekuwa ni nyie msingechomokaSometimes mnajifanyisha kurogwa....kumbe mnafanya makusudi
Alafu pesa zikiisha na washakua wazee ndio wanajidai wamefunguliwa. Mimi siwezi pokea mtu wa hivyo.Sometimes mnajifanyisha kurogwa....kumbe mnafanya makusudi
Mkifulia mnarudi kwetu mashangazimda huo tunawaona slay queens na mabinti wa chuo tu, wana ulozi mbaya sana hao mtuvumilie hata kama mngekuwa ni nyie msingechomoka
Hawa hawarogwi wala nini wanatafuta tu kichaka cha kujifichia, wakiwa huku mitandaoni wote wanajikuta ni kina kiranga kujifanya hawaamini uchawi, lakini kwenye kuchepuka ndio wanakumbuka uchawi upo na kusingizia wamerogwa kumbe wanajua wanachokifanyaKweli, kuna wengine inawezekana wanatekwa kama hivyo ulivyosema ila sasa sio wote. Wengine ni kile kiburi cha pesa anaanza kufanya vitu ambavyo alishindwa kuvifanya wakati hana kitu.
Naamini bado wapo ila kwa uchache.Dunia ya sasa hakuna mdada mzuri wa kuanza na mtu sifuri, then mje mtoboe miaka 20 badae.
Yaani asithubutu kurudi tutaonana wabayaAlafu pesa zikiisha na washakua wazee ndio wanajidai wamefunguliwa. Mimi siwezi pokea mtu wa hivyo.
wapo trust me bro ila very hard to findhawapo.
ukitaka uharibu maisha yao, amini watu kiholela
Kabisa wanajiroga wenyeweHawa hawarogwi wala nini wanatafuta tu kichaka cha kujifichia, wakiwa huku mitandaoni wote wanajikuta ni kina kiranga kujifanya hawaamini uchawi, lakini kwenye kuchepuka ndio wanakumbuka uchawi upo na kusingizia wamerogwa kumbe wanajua wanachokifanya
Ngoja nisubiri akichelewa kuja nikapata pesa ndo bas tena.Naamini bado wapo ila kwa uchache.
Alafu pesa zikiisha na washakua wazee ndio wanajidai wamefunguliwa. Mimi siwezi pokea mtu wa hivyo.
si mliimba huyo ni chaguo lako wa kufa na kuzikanaYaani asithubutu kurudi tutaonana wabaya
Vile nahangaika kujitafutia hela
Kama saiv unapata bidhaa nzuri tu yenye div 1 kali tu inaripoti mwezi wa 11 unaunga nayo unakuta Sio second handed, na hata ikiwa second handed bado haijapoteza ubora wake!hiyo ya timing sijaelewa,
hiyo ya timing sijaelewa,
kwahiyo vibinti vya form 6 ndo vimekamilika??Kama saiv unapata bidhaa nzuri tu yenye div 1 kali tu inaripoti mwezi wa 11 unaunga nayo unakuta Sio second handed, na hata ikiwa second handed bado haijapoteza ubora wake!
Kua mjanja Sio kila nsiku unahangaika na java na data structure & algorithm
Siku hz ht kama tuna kiapo cha damu ukianza misbehaving tu...na me natafuta namna yangu ya kujipa furahasi mliimba huyo ni chaguo lako wa kufa na kuzikana
jambo usilolijua ni sawa na usiku wa kiza, tunarogwa sana mimi ofisini kuna mtoto wa watu ananiwinda sana licha ya kumchana live kuwa nna mke lakin naona aniletea hadi chakulaHawa hawarogwi wala nini wanatafuta tu kichaka cha kujifichia, wakiwa huku mitandaoni wote wanajikuta ni kina kiranga kujifanya hawaamini uchawi, lakini kwenye kuchepuka ndio wanakumbuka uchawi upo na kusingizia wamerogwa kumbe wanajua wanachokifanya
Ni hawa watoto wanaotoroshwa na baba jose au Kuna wengine???Kama saiv unapata bidhaa nzuri tu yenye div 1 kali tu inaripoti mwezi wa 11 unaunga nayo unakuta Sio second handed, na hata ikiwa second handed bado haijapoteza ubora wake!
Kua mjanja Sio kila nsiku unahangaika na java na data structure & algorithm
ukiwa unaitafuta furaha uzidishe na maombi kuna wenzenu wana ndumba kali sanaSiku hz ht kama tuna kiapo cha damu ukianza misbehaving tu...na me natafuta namna yangu ya kujipa furaha
Maana huko bar kumejaaa waume za watu wakiwa na furaha halafu wake zao wanahaha na watoto nyumbani