Ushauri wa haraka unahitajika

Ushauri wa haraka unahitajika

Kama ana ushahidi wowote wa message za mapenzi toka kwa kaka mkubwa basi awaonyeshe mke na mdogo wa huyo kaka. Ni vizuri shetani aumbuliwe mchana kweupe
Na mke pia ahusishwe!!!
 
we unamsikiliza Behaviourist na hukumbuki huu ni mwanzo wa mwezi?? na dawa inaonekana hajameza! we mwangalie kuanzia nxt week km atasumbua ! ni dawa zimeisha ! na huyu le don himsef donlucchese huyu nataka nimpe ofa ya kumpeleka club ! nimemis kias kudance mume walau nicheze' turn up' jaman!hana sumu kabisaaaaa!
Kwahiyo jamaa ni nyoka wa kibisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo jamaa ni nyoka wa kibisa

Sent using Jamii Forums mobile app


hana kitu ! na nitamtreat kwa kila kitu ili kumfunga mdomo !amezid mashauzi ! si unajua ukiwa na fweza bar ukimpa ofa anatumwa km hana akili nzuri !ndo nitamchezea shere huyu donlucchese ! unamtuma abadilishe wine alete had glass !hahaah atanyooka! [HASHTAG]#mbitiMchomaFweza[/HASHTAG]
 
Mwanamke alichofanya siyo sahihi kabisa...

Angeanzisha mahusiano sehemu nyingine, siyo mdogo wa aliyemkataa...


Duniani vitu vinavyoleta chuki, uhasama na vita ni pesa na mapenzi (wanawake)



Cc: mahondaw
 

Shoga wewe hapana kwa kweli!

Umenikumbusha lile somo tulipewa la kutoka out na nguo za Ki Nigeria na bonge la lemba!
Halafu mtu akifika out anaanza kuboreka akiona wenzake wametupia tights, high heels na vimini...LOL!



Sent using Jamii Forums mobile app


jamani ile sms mpk leo huwa nacheka had nasweat ! mie huwa napenda kusoma txts za aina hyo nakuweka picha kbs jaman nilicheeekkkka !hapana jaman nilicheka mnoo !ila ina ukweli wote! dah niliwakumbuka washona matenge ya ajabu ajabuu hahahahh!usku wewe umenin'giniza lemba kuuubwaa hahahha mama weeeeeeeeeee! dah ngj uitafte hyo text tumpe espy
 
Back
Top Bottom