Ushauri wa haraka unahitajika

Ushauri wa haraka unahitajika

Hivi Mbiti unajua una issues wewe!


Sent using Jamii Forums mobile app


hahhaah nalendwa nanyupu ni mtoto hatar ! nimempita 22yrs ! si namzaa huyu asbh tu jaman ! alivyo hb sasa yaan nipo tayar kugombana humu jaman ! ana height tunayoiota wengi !umri si shida bwana wee ! sema nataman kuanza kudress kitoto hahhaa niende naye sawa ! natafta taste za nguo nione naendana nazo?? hehehhehehe sivai tena manguo ya kinigeria kunikuza hivyo nataka !
 
hahaha alinitumia 20000/= nilichofanya nikajiongeza !nikaenda fanya PADICURE tu ikaisha !nasubiria mwezi huu mwishOn nione itasoma digits ngap !tutaenda sawa tu !

Yaani ktk list yoote ile akatoa buku20!! Labda ulimstukiza, ngoja tusubiri tuone maajabu ya shemeji.
 
Kama ana ushahidi wowote wa message za mapenzi toka kwa kaka mkubwa basi awaonyeshe mke na mdogo wa huyo kaka. Ni vizuri shetani aumbuliwe mchana kweupe
 
hahhaah nalendwa nanyupu ni mtoto hatar ! nimempita 22yrs ! si namzaa huyu asbh tu jaman ! alivyo hb sasa yaan nipo tayar kugombana humu jaman ! ana height tunayoiota wengi !umri si shida bwana wee ! sema nataman kuanza kudress kitoto hahhaa niende naye sawa ! natafta taste za nguo nione naendana nazo?? hehehhehehe sivai tena manguo ya kinigeria kunikuza hivyo nataka !
Watu na viben ten vyenu.
 
hahhaah nalendwa nanyupu ni mtoto hatar ! nimempita 22yrs ! si namzaa huyu asbh tu jaman ! alivyo hb sasa yaan nipo tayar kugombana humu jaman ! ana height tunayoiota wengi !umri si shida bwana wee ! sema nataman kuanza kudress kitoto hahhaa niende naye sawa ! natafta taste za nguo nione naendana nazo?? hehehhehehe sivai tena manguo ya kinigeria kunikuza hivyo nataka !


Shoga wewe hapana kwa kweli!

Umenikumbusha lile somo tulipewa la kutoka out na nguo za Ki Nigeria na bonge la lemba!
Halafu mtu akifika out anaanza kuboreka akiona wenzake wametupia tights, high heels na vimini...LOL!



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom