Ushauri wa haraka unahitajika

Ushauri wa haraka unahitajika

jamani ile sms mpk leo huwa nacheka had nasweat ! mie huwa napenda kusoma txts za aina hyo nakuweka picha kbs jaman nilicheeekkkka !hapana jaman nilicheka mnoo !ila ina ukweli wote! dah niliwakumbuka washona matenge ya ajabu ajabuu hahahahh!usku wewe umenin'giniza lemba kuuubwaa hahahha mama weeeeeeeeeee! dah ngj uitafte hyo text tumpe espy

Hahah!, umeikumbuka..
Ntaitafuta nimpe espy.

Khaaa!, imagine mtu anaenda dinner na Bonge la Lemba mpaka anawaziba waiters wanashimdwa kuona upande wa pili wa room..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom