Ushauri wa haraka unahitajika

Ushauri wa haraka unahitajika

Basi ondoa shaka, kesho asubuhi na mapema kitakufikia.
Heaven Sent na Nalendwa wao walishachukua vyao mapemaaa. Ulibakia wewe na Neybright


asante mwanamke mwemzangu kwa kuijali ndoa yangu 'mupya'! nataka nirekebishe makosa ya kulle ya kwanza !huyu ni mwendo wa kumbeba tu mgongon na alivyo mdg kiumri ah sina shida mie !yaan namlea km mwanangu wa 1! maana nimempita 22yrs !yaan kitu damu changaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 

Unaweza ukawa na umri mdogo lakini ukawa na busara,ulmawazo na hekima za kiutu uzima kabisa.
Bas mwambie john aachane na mapenz ya watu apambane na hali yake pamoja na mke na watoto wake, wenzake wanapendana yeye analeta shobo, hii ni kama watu wasiojulikana wanaomumendea baby wangu MBITIYAZA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
asante mwanamke mwemzangu kwa kuijali ndoa yangu 'mupya'! nataka nirekebishe makosa ya kulle ya kwanza !huyu ni mwendo wa kumbeba tu mgongon na alivyo mdg kiumri ah sina shida mie !yaan namlea km mwanangu wa 1! maana nimempita 22yrs !yaan kitu damu changaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Haki sikuwezi, mie nikajua kigoda ni kwaajili ya pampula kumbe damu changa!!!
Basi jitahidi mama ila usirudie makosa.
 

Haki sikuwezi, mie nikajua kigoda ni kwaajili ya pampula kumbe damu changa!!!
Basi jitahidi mama ila usirudie makosa.


hahaaha mie naiongelea hii mpya !ile nimeiweka pending ! sirudii makosa mamy sasa hv mwezi ukiisha natega mikono kbs nipewe dau langu ! huyu uzur anapiga kitu cha pepsi tena kwa nadra ! yaan hela itaonekana! anivishe mie mkewe !yaan sasa hv NO FAKE ZONE shoo !ni mwendo wa mabrand tu ! magucci sijui mann sijabahatikaha kuvaa cl nakuambia dec ninacho mguuni
 
Story nzuri sana unajua kutunga unaweza kumu challenge shigongo
 
Back
Top Bottom