KORBOTO
JF-Expert Member
- Feb 14, 2014
- 1,848
- 2,447
unaenda mjulisha eeh, afu tabia ya kumfunda binti habari ya visosa ukome.Oooh! Basi sawa.
unaenda mjulisha eeh, afu tabia ya kumfunda binti habari ya visosa ukome.Oooh! Basi sawa.
Hebu nipe ABC kwanza hahahhaahaha
hahaha kweli kulima kwataka nyenzo,mgongo ukiupinda ndio unapata funzo. Naona timu ya manyakanga wa MBITIYAZA Iliongozwa na espy Heaven Sent Nalendwa Sakayo Shunie Neybright hku maandilizi yakisimamiwa na kijana machachari Daby kwa timu hii ya rasilimali watu [HASHTAG]#Ngosha[/HASHTAG] yupo shakani, shamba litamshinda siku nyingi hahaha wawekezaji wanaonyesha interest kupitia nyuzi mbalimbali,yangu machoHahahaa!! MBITIYAZA kaelewa somo, moyo umeanza kupondeka hivyo hana budi kubeba na visosa.
Hahahaaaa!! Yaani wewe mwanafunzi itabidi tukupandishie ada!! Nimegundua kukufundisha ni kipaji![]()
![]()
![]()
ujuaji usije kumzidi.., mwache vile vileeeeee tafwadhali![]()
![]()
![]()
Siendi kumwambia as anasoma mwenyewe.
Visosa muhimu dogo ajue ili awe fiti kila idara![]()
![]()
![]()
Hahaaaa!! Mie ni muuza nyenzo tu, hayo mengine hata mimi mgenihahaha kweli kulima kwataka nyenzo,mgongo ukiupinda ndio unapata funzo. Naona timu ya manyakanga wa MBITIYAZA Iliongozwa na espy Heaven Sent Nalendwa Sakayo Shunie Neybright hku maandilizi yakisimamiwa na kijana machachari Daby kwa timu hii ya rasilimali watu [HASHTAG]#Ngosha[/HASHTAG] yupo shakani, shamba litamshinda siku nyingi hahaha wawekezaji wanaonyesha interest kupitia nyuzi mbalimbali,yangu macho

Basi ngoja tukutengenezee mazingira ya kulipenda kwanza.
hahahaha we espy wewe Mungu anakuona ujueHahaaaa!! Mie ni muuza nyenzo tu, hayo mengine hata mimi mgeni![]()
![]()
![]()
Ila sasa haya yanafaa penye amani na upendo, kama ulipo ni pa kuvumilia basi somo kamwe halieleweki hili kwakweli.