Ushauri wa haraka unahitajika

Ushauri wa haraka unahitajika

hahaha kweli kulima kwataka nyenzo,mgongo ukiupinda ndio unapata funzo. Naona timu ya manyakanga wa MBITIYAZA Iliongozwa na espy Heaven Sent Nalendwa Sakayo Shunie Neybright hku maandilizi yakisimamiwa na kijana machachari Daby kwa timu hii ya rasilimali watu [HASHTAG]#Ngosha[/HASHTAG] yupo shakani, shamba litamshinda siku nyingi hahaha wawekezaji wanaonyesha interest kupitia nyuzi mbalimbali,yangu macho


Hahah!, tunajifunza kuongeza elimu dunia...lol
 
Mwenza yamekuwa hayo!! Tafadhali sana bado nakupenda sana, yule mume peke yangu simuwezi.
Mwenza majukumu yalivyobana....we tumbua nae tu kwa muda ambao haujulikani.
Nikirudi mme wetu atakuwa wangu for 4 weeks.
Ila mume mwenyewe anachepuka....nilimbamba mtaa wa saba anachepuka
 
Mwenza majukumu yalivyobana....we tumbua nae tu kwa muda ambao haujulikani.
Nikirudi mme wetu atakuwa wangu for 4 weeks.
Ila mume mwenyewe anachepuka....nilimbamba mtaa wa saba anachepuka
Nitumbue nae kwani yupo sasa!! Sijui hata yupo kwa mchepuko gani.
 
Back
Top Bottom