Ushauri wa bure

Ushauri wa bure

Kama unamtu serious humu mwambie asiwe anajirahisisha , kama unajua unamtu punguza kuishi humu kama single lady au single man jitoe humu, maana sasa wengine ila sio mie , wanajua waliohumu wapo free kumbe kashikwa.

Unajua bisa mtu wako anasoma unatongoza humu mtu mwingine inakera . Hata kama ukimuhakikishia haupo na mtu humu kama hujipi mipaka sio fresh.

Mwisho pendeni kutopotezea mtu muda kumdanganya yupo mwenyewe , onesha upo na mtu , jieshimu acha kutongoza au kutongozwa kila kitu kiwe na mipaka . Good evening
Bila kutongozana wewe usingekuwapo duniani hivyo acha upuuzi
 
Hutaki utongozwe kwani una mapungufu gani? Hutaki udinywe kwani una mapungufu gani hapo?
Sio sitaki kutongozwa,elewa nishatongozwa na ninatongozwa sana,


Ukidinywa na mmoja inatosha,nimefundishwa na mama mtoto wa kike ni kuutunza mwili wake,na kuutunzwa kwenyewe sio kula ugali,

Hapa mama yangu nilimuelewa sana
 
Sio sitaki kutongozwa,elewa nishatongozwa na ninatongozwa sana,


Ukidinywa na mmoja inatosha,nimefundishwa na mama mtoto wa kike ni kuutunwa mwili wake,na kuutunzwa kwenyewe sio kula ugali,

Hapa mama yangu nilimuelewa sana
Kwa hio unamshauri nini Maua anaeogopa kutongozwa?
 
Asiogope,kwa mtoto wa kike ni kawaida,ata waliopo kwa ndoa wanatongozwa,na mwanaume anajua kabisa huyu ni mke wa mtu lkn anakutongoza,,,,,sembuse humu watu hatujuani,



Akili kichwani mwako.
Sawa sawa vizuri kwa kufunguka saafi kabisa, umeshaolewa lakini?
 
Back
Top Bottom