Tulimumu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 14,304
- 12,965
Hata rais, makamu na waziri mkuu wametangaza kuhamia huko laki wanaishi Dar.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani ofice zote na management zote za mashirka ya umma wameshahamia Dodoma. Serikali kuhama ni process brother sio kama mtu aliyepanga chumba kimoja anapohama ni siku hiyohiyo anakuwa amemaliza zoezi.Hata rais, makamu na waziri mkuu wametangaza kuhamia huko laki wanaishi Dar.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani nani kakuambia ufuate ninachoandika?Mnaojifanya sijui ma-analyst wa uchumi mi wengi wenu huwa naowaona wa hovyo tu. Kazi kulalamika na kuonyesha theoretical concepts ambazo zinafanya kazi kwenye makaratasi tu. Tukifuata hizo theory zenu ambazo hata huko majumbani kwenu hamzitumii kuinua kipato cha familia zenu we will always stay in commotion!
Jirani, huyu jamaa nimegundua haijui Dodoma zaidi ya kusimuliwa na kufuata mkumbo.
Maana kama maji yapo hadi Ndachi, iweje mji mkongwe kama Nkuhungu ukose maji..!!??
Sent using Jamii Forums mobile app
Kanisa zakaatatoa nani wagogowenyewe ombaombaHata kufungua kanisa?
acha kudanganya ili ufaidi peke yako! Kilio cha mzunguko wa pesa kipo mikoa yote. Cha msingi fanya kazi pesa utaiona. Enzi za kupiga madili zimepita. Wenye kazi na biashara halali wanaingiza pesa wewe unalialia na mzungukoAman itamalaki kwenu
Leo nimejitolea kutoa ushauri wa bure kabisa bila malipo. Toka Rais atangaze Dodoma kuwa makao makuu ya nchi watu wengi wamekuwa wakidhani kuwa Dodoma mambo ni shwari sana. Ukweli ni kwamba Dodoma mambo ni magumu sana hakuna mzunguko wa pesa wala nini.
Ni pakame sana na pana watu wavivu sana wasio penda kazi. Kwa hiyo basi ndugu zangu msije Dodoma. Kuna watu wengi sana wanakuwa wanatoka mikoa yao na kuja Dodoma wakidhani kuna maisha mazuri na maisha ni magumu sana
Hakuna pesa wala nini. Kwanza flame bei juu na hakuna pesa kabisa
Shauri yenu
Duuh. Miundo mbinu Dodoma?View attachment 1295195View attachment 1295197View attachment 1295198
Huwezi kulinganisha Dodoma na mji wa hovyo kama dar, mm nimezaliwa dar nimekulia dar kwa zaidi ya miaka 30 ila leo hunitoi Dodoma fursa ni nyingi miundombinu inaruhusu kufanya ninachotaka.
Dar na Dodoma!!!! Labda dar ya wagogo hiyoView attachment 1295195View attachment 1295197View attachment 1295198
Huwezi kulinganisha Dodoma na mji wa hovyo kama dar, mm nimezaliwa dar nimekulia dar kwa zaidi ya miaka 30 ila leo hunitoi Dodoma fursa ni nyingi miundombinu inaruhusu kufanya ninachotaka.
Afaidi peke yake halafu tena analia na mzunguko.... Point yako haina logic kabisaacha kudanganya ili ufaidi peke yako! Kilio cha mzunguko wa pesa kipo mikoa yote. Cha msingi fanya kazi pesa utaiona. Enzi za kupiga madili zimepita. Wenye kazi na biashara halali wanaingiza pesa wewe unalialia na mzunguko
Yes, kama wa dom wavivu hapo ndio nafasi nzuri ya kutumia fursa, mbona dar ilijaa wazaramo na wamatumbi miaka hiyo wenyewe ni ngoma kila weekend. Wapo wapi sasa hivi?Maneno ya watu wa Dar wakija mikoani ndio hayo. Ooh hakuna mzunguko wa pesa.. hivi na hivyo! Halafu unamkuta hata kiwanja kashindwa kununua..kwa pesa anazopata huko penye mzunguko
Hata Moshi?kuna mikoa kama DSM/Mwanza/Morogoro...kilichosaidia kuchangamsha wenyeji ni WAGENI kutoka kila pahala Tanzania..naamini hata Dodoma itakuja changamkaaa
Angalia mikoa/miji waliyopingana na wageni ka imebadilika? ipo vile vile...kuanzia January hadi December...1990's adi 2010's haibadiliki