Ushauri wa bure: Msije Dodoma mnadanganywa sana

DODOMA PESA IPO NI WEWE TU NA UVIVU WAKO NA MTAJI HUNA. NIMEMALIZA UDOM NIKABAKI HAPA HII CAKE NI KUBWA NI WEWE TU UNAVYO TUNE FREQUENCY ZAKO
 
Aman itamalaki kwenu

Leo nimejitolea kutoa ushauri wa bure kabisa bila malipo. Toka Rais atangaze Dodoma kuwa makao makuu ya nchi watu wengi wamekuwa wakidhani kuwa Dodoma mambo ni shwari sana. Ukweli ni kwamba Dodoma mambo ni magumu sana hakuna mzunguko wa pesa wala nini.

Ni pakame sana na pana watu wavivu sana wasio penda kazi. Kwa hiyo basi ndugu zangu msije Dodoma. Kuna watu wengi sana wanakuwa wanatoka mikoa yao na kuja Dodoma wakidhani kuna maisha mazuri na maisha ni magumu sana

Hakuna pesa wala nini. Kwanza flame bei juu na hakuna pesa kabisa

Shauri yenu
Wewe unatuzuga ili tusilete kiwingu huko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahaaaaaa
Sahihi kabisa. Sehemu yoyote ambayo hata mkoloni hakuishi jua hiyo sehemu siyo. In fact misafara ya watumwa ilipata shida sana kupita kipande hicho. Wengi walikufa hapo kutokana na njaa na kiu kwa kuwa hakuna mto wala vyakula vya jamii ya matunda hivyo watumwa walilazimika kubeba mizigo kutoka mbali ili kuitumia katika eneo hilo. Ni Janga hapo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aman itamalaki kwenu

Leo nimejitolea kutoa ushauri wa bure kabisa bila malipo. Toka Rais atangaze Dodoma kuwa makao makuu ya nchi watu wengi wamekuwa wakidhani kuwa Dodoma mambo ni shwari sana. Ukweli ni kwamba Dodoma mambo ni magumu sana hakuna mzunguko wa pesa wala nini.

Ni pakame sana na pana watu wavivu sana wasio penda kazi. Kwa hiyo basi ndugu zangu msije Dodoma. Kuna watu wengi sana wanakuwa wanatoka mikoa yao na kuja Dodoma wakidhani kuna maisha mazuri na maisha ni magumu sana

Hakuna pesa wala nini. Kwanza flame bei juu na hakuna pesa kabisa

Shauri yenu
Unasemea Dodoma ipi ??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo unataka kuniambia ndoa yangu haijayumbishwa na serikali kuhamia dodoma utamu wa ngoma ingia kati uucheze cc ushimen
Mkuu, kwanza naomba nikiri kwamba ninaujua uchungu wa kuhamishwa kwa mwenza kutoka mkoa mmoja hadi mwingine.
Binafsi mke wangu alihamishwa kutoka hapa na kupelekwa mkoa mwingine, hivyo ninafahamu changamoto hizi.
Lakini.....
Hapa bado sioni kama Dodoma ina mahusiano na kuyumba ama umbali wa ndoa yako mkuu, hapa issue inayo kuumiza wewe ni UHAMISHO.
Kwalunga nyepesi niseme hivi....
Iwapo mwenza wako angehamishiwa Mwanza ama Arusha, hapo tatizo lisingekuwa hiyo mikoa, bali tatizo lingekuwa ni uhamisho ambao umeleta distance ambao ndio tatizo na changamoto huanzia hapo.
Mkuu, ebu usiichukie Dodoma tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tembosa,
Kuhamisha makao makuu na umeme wa Stieglers yalikuwa mawazo ya Mwl. Nyerere.
Ilishindikana awamu za Mwl mwenyewe, Mwinyi, Mkapa na Kikwete. Sasa kaja Jiwe. Sababu za watangulizi wake kuchelewa hazina maana kwake.
Ukiacha Mwl. Nyerere hao marais wengine waliofuata hawakuwa na sababu yoyote ya maana ya kutokuhamia Dodoma zaidi tu ya mazoea ya kuishi Dar. Walizoea kuishi na kuamini kwamba kila kitu ni Dar es Salaam. Mbona nchi nyingi tu tena hapa afrika zimeweza kuhamisha makao makuu ya nchi zao kwenye miji mingine na hiyo miji sasa hivi ni majiji makubwa tu afrika hii. Sasa kaja jiwe walilolikataa waashi linaporomosha tu yale yote yaliyokuwa yanaonekana kushindikana. Li-nch kubwa hivi eti tuna majiji matatu tu ya maana (kwa viwango vya kiafrika) acha tutengeneze jiji lingine lenye future ya kuendelea. Hata hayo majiji mnayoyasifia leo yalikuwa vijiji tu hapo zamani. Maendeleo ni hatua na serikali ikiwekeza sehemu miundombinu ya kutosha na mizuri watu lazima wavutike tu kuja katika huo mji. ALIYETUROGA SISI WABONGO KUTAKA MAENDELEO YA HARAKA YASIYOKUWA NA MIPANGO NDIYE ALIYETUFANYA KUWA WALALAMISHI. KILA KITU NI KULALAMIKA TU MPKA MAJUMBANI MWENU MNALALAMIKA HOVYO HOVYO.
 
Mkuu, kwanza naomba nikiri kwamba ninaujua uchungu wa kuhamishwa kwa mwenza kutoka mkoa mmoja hadi mwingine.
Binafsi mke wangu alihamishwa kutoka hapa na kupelekwa mkoa mwingine, hivyo ninafahamu changamoto hizi.
Lakini.....
Hapa bado sioni kama Dodoma ina mahusiano na kuyumba ama umbali wa ndoa yako mkuu, hapa issue inayo kuumiza wewe ni UHAMISHO.
Kwalunga nyepesi niseme hivi....
Iwapo mwenza wako angehamishiwa Mwanza ama Arusha, hapo tatizo lisingekuwa hiyo mikoa, bali tatizo lingekuwa ni uhamisho ambao umeleta distance ambao ndio tatizo na changamoto huanzia hapo.
Mkuu, ebu usiichukie Dodoma tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app
Haya bwana
 
Ukiacha Mwl. Nyerere hao marais wengine waliofuata hawakuwa na sababu yoyote ya maana ya kutokuhamia Dodoma zaidi tu ya mazoea ya kuishi Dar. Walizoea kuishi na kuamini kwamba kila kitu ni Dar es Salaam. Mbona nchi nyingi tu tena hapa afrika zimeweza kuhamisha makao makuu ya nchi zao kwenye miji mingine na hiyo miji sasa hivi ni majiji makubwa tu afrika hii. Sasa kaja jiwe walilolikataa waashi linaporomosha tu yale yote yaliyokuwa yanaonekana kushindikana. Li-nch kubwa hivi eti tuna majiji matatu tu ya maana (kwa viwango vya kiafrika) acha tutengeneze jiji lingine lenye future ya kuendelea. Hata hayo majiji mnayoyasifia leo yalikuwa vijiji tu hapo zamani. Maendeleo ni hatua na serikali ikiwekeza sehemu miundombinu ya kutosha na mizuri watu lazima wavutike tu kuja katika huo mji. ALIYETUROGA SISI WABONGO KUTAKA MAENDELEO YA HARAKA YASIYOKUWA NA MIPANGO NDIYE ALIYETUFANYA KUWA WALALAMISHI. KILA KITU NI KULALAMIKA TU MPKA MAJUMBANI MWENU MNALALAMIKA HOVYO HOVYO.
Mnahamia Dodoma kwa gharama kubwa wakati mnashindwa kuthibiti mafuriko Dar.
Kuhama ni stages kulingana na resources ni njia bora.
Comedy ni kwamba yeye haonyeshi mfano. Kwa taarifa yako, bado Ikulu ipo Dar. Achana na zile fix za kujitokeza Chamwimo mara moja moja.
 
Tatizo nikikujibu popote, una uwezo wa kuliona jibu? Utaelewa ninachoandika?

Sijakujibu na kukuambia serikali itangulize vitu vyenye Return On Investment kabla ya kufanya straight up expenditures kama kuhamisha mji?

Unaelewa hilo maana yake nini? Unaelewa Return On Investment ni nini?

Kama huelewi, kwa nini huulizi ueleweshe? Kama unaelewa, kwa nini unaandika sijakujibu?



CDA inakosaje kuwa sehemu ya msingi wa hoja wakati ni mamlaka iliyoanzishwa kuhamisha mji kwenda Dodoma, ikashindwa? Inakosaje kuwa sehemu ya msingi wa hoja wakati inaonesha incompetency ya serikali?

Unasemaje si msingi wa hoja?



Sasa unataka niweke laundry list ya miradi badala ya kuongelea main ideas hapa? Nimeongelea ujinga wa serikali kuingilia biashara ya korosho, saidia wakulima waweze ku add value kwenye korosho waongeze exports na revenue. Tumia hela chache kuwatengenezea miundombinu na kuwezesha wafanyabiashara wajenge viwanda vya kubangua korosho, tu export finished products badala ya raw materials. This is a basic example of how the government has wrong priorities.

Una export raw korosho, huna kiwanda cha kubangua korosho cha kueleweka, halafu unahamisha mji mkuu.

Ni kama vile watoto wanakufa kwa njaa hawana chakula, baba unaenda bar kulewa!



Unafananisha chumi za Nigeria, Misri na Brazil na uchumi wa Tanzania? Umeangalia hata GDPs tu za hizo nchi?

Nchi zote ulizozitaja hazipo katika level ya GDP ya Tanzania. Umasikini wetu hauturuhusu kufanya mradi wa luxury kama kuhamisha mji mkuu. Nigeria wametumia petrodollars kuhamisha mji mku. Walivyotaka kuhamisha walikuja kuchukua uzoefu kwetu. Matokeo yake, waliokuja kujifunza kwetu wamemaliza kuhamisha mji mkuu, sisi hatujamaliza. Kwa sababu hatuna hela, hatuna commitments.

Kuhamisha mji mkuu ni expenditure. Nchi masikini zina demands nyingi sana kwenye forex zake. Zinatakiwa kuwa makini kutumia forex kwenye miradi yenye



Hapa unaonesha uvivu wa kujenga hoja tu, unasema kitu, halafu unashindwa kukitetea.



Faida ya kuhamia Dodoma ni ipi ambayo isingeweza kupatikana kama mji mkuu usingehamishiwa Dodoma?

Again, unaonesha uvivu wa kujenga hoja. Nilitegemea uorodheshe faida ni hii na hii na hii.

Hujaorodhesha. Hata wewe mwenyewe unazijua hizo faida au unasema zipo bila kuzijua tu?



Hoja ukiiona utaijua? CDA mismanangement itakosaje kuwa hoja katika mjadala wa kuhamia Dodoma? Serikali isiyo na mkakati kwenye biashara ya korosho lakini inayoweka kipaumbele kuhamia Dodoma itakosaje kuwa hoja?

Kuanguka kwa exports za agriculture kwa sababu serikali haina mkakati wa ku add value kwenye agricultural products wakati serikali ina prioritize kuhamisha mji mkuu kutakosaje kuwa hoja?Nchi yenye watu wasio na social benefits za kueleweka, halafu manakimbilia kuhamisha mji mkuu itakosaje kuwa hoja kuonesha misplaced priorities?

Msingi wa hoja ni nini? Unaweza ku define msingi wa hoja?




Hilo Bunge limejengwa kwa hewa? Ofisi za serikali? Nyumba za wafanyakazi wa serikali? Mafuta ya kupeleka watu Dodoma na kurudi Dar

Soma wataalam wameandika hapa "Poverty stricken Tanzania, unlike Nigeria, cannot throw hundreds of millions of pounds at the scheme and it will take some time to develop".

Bado unasema hakuna gharama?

Mnaojifanya sijui ma-analyst wa uchumi mi wengi wenu huwa naowaona wa hovyo tu. Kazi kulalamika na kuonyesha theoretical concepts ambazo zinafanya kazi kwenye makaratasi tu. Tukifuata hizo theory zenu ambazo hata huko majumbani kwenu hamzitumii kuinua kipato cha familia zenu we will always stay in commotion!
 
Mnahamia Dodoma kwa gharama kubwa wakati mnashindwa kuthibiti mafuriko Dar.
Kuhama ni stages kulingana na resources ni njia bora.
Comedy ni kwamba yeye haonyeshi mfano. Kwa taarifa yako, bado Ikulu ipo Dar. Achana na zile fix za kujitokeza Chamwimo mara moja moja.
Usitete uzembe wa viongozi wetu kwani hayo mafuriko ya Dar yamaanza tu baada ya serikali kuhamia Dodoma? Mbona serikali zilizopita zilajaa ufusadi ma mabilioni ya shilling lakini hayo ya mafuriko mlikaa kimya? Hata hata kutokuhamia Dodoma toka mwaka 1973 ilikuwa ni uzemba mkubwa sana kwa serikali yetu.
Kama hakukuwa na haja ya Dodoma kuwa mji mkuu wa nchi kwa nini tumeendelea kuitangaza Dodoma kuwa ndio capital city ya Tanzania for over 40 years? Kwa nini tusingekubali ukweli tu kwamba kuhamia dodoma haiwezekani na hivyo Dar es Salaam kuendelea kuwa Capital city? Haina maana kuiita Dodoma Capital city wakati office zote za serikali na balozi zipo Dar es Salaam. That's crazy my brother/sister. Capital city ya nchi yoyote hapa duniani ndiko shughuli zote za kiserikali na hata kitaifa hufanyika on a daily basis.

Hivi kama serikali yetu ingeamua kuwekeza hata kidogo kidogo seriously katika mji huu toka mwaka 1973 mpaka leo huu mji kweli ungekuwa kama ulivyo leo? Kila kitu kina mwanzo na siku zote mwanzo ni mugumu. Hivi wote huwa tunajenga nyumba kwa mara moja? Wengine wasio na uwezo hudunduliza kidogo kidogo hadi anakamilisha nyumba hata kama itamuchukua muda mrefu. Nampongeza sana rais Magufuli kwa kutopenda kuwa mnafika kwa kusema kwamba Dodoma ndiyo makao makuu ya nchi wakati kiuhalisia siyo hivyo hata kidogo. It is ether Yes or No siyo partiality hapa ya yesno at the same time. Naamini rais Magufuli ameamua kuafanya haya maamuzi magumu maana anajua kwamba kama asingefanya haya maamuzi magumu basi hata ambaye atafuatia baada yake naye angeedndelea hii tabia ya kinafiki ya kuiita Dodoma capital city wakati kimatendo siyo Capita city.
 
Back
Top Bottom