Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,602
Daah hapo kwenye dry wind ni noma.. mwaka 2015 nlienda mpwapwa kutafuta ufuta.. aisee yaani ndani ya wiki mmoja ule upepo wa usiku ulinipasua mdomo hata kuongea nilishindwa. Dodoma hapana kwa kweli ile hali ya hewa inipite mbali.