Ushauri wa bure kwenu Makamanda na wanamageuzi watukuka

Hv ndugu yako kawe yuko wap cku hiz?
Ninakusoma. Ni wakati muafaka wa makamanda kubadilika. Vinginevyo ni kutuangusha wananchi.

Strategists walipaswa kujua kwa usahihi kabisa pasi na shaka, hali ingekuwa vipi wakifika vipi Uhuru.

2015, strategist wa maana alipaswa kuyaona hayo ya Lowassa na afya unayoyasema wakati ule.

Strategist wa maana atawatoa kwenye uanaharakati kwenda kwenye chama cha kushika Dola.

Ukweli mchungu, ni hapa tulipopishana na kina Sumaye, Lowassa na wengi ambao wangependelea zaidi siasa za kistaarabu.

Tunaweza kupata tunachotaka bila kupambana na kina mamboleo wala bila kuwa na tume huru.

Kuvunjika kwa koleo siyo mwisho wa uhunzi. Siamini kama Lissu na risks zote na exposure yote, na hata ile rejeaaji kuwa hayajui hayo.

Believe me wale jamaa zetu wamenuna kweli kweli.

Ngoma inaweza kunoga bado. Tusimnyanyapae kachero mbobezi.
 
Siku mtakayokuja gundua kwamba Tundu lisu siyo deal ni attention seeker na yuko kwa self interest zake tu mtakuwa mmeshachelewa tena sana kwani anakwenda kuizika chadema rasmi kwa utoto wake ambao mnauruhusu, ni nani Dunia hii asiyeheshimu Kifo? Tena mtu ambaye anataka kuomba kura za Watanzania wamchague yeye na Chama chake anakwenda kuleta dharau na drama wakati watu wana majonzi? Mimi nina washikaji zangu ambao walikuwa hawampendi Mzee Mkapa sababu ya Mwembechai na Pemba lkn wote wamesamehe na hata Demu mmoja amelia live alivyosikia Mzee Mkapa amefariki Dunia, sasa Tundu Lisu analeta mchezo na utoto halafu mnategemea kushinda Uchaguzi? , ....
umeguswa penyewe unabaki ku haha tyuuuh, mwaka huu mtanyooshwa hadi akili ziwakae msieeeew
 
Uzuri wa JF, hakuna kitu kilichowahi kuandikwa humu hupotea.

Hili jambo la kuwasihi CHADEMA wawe na watu wenye utaalam katika mambo mbalimbali yanayoweza kuwasaidia katika juhudi zao tulishayaandika sana humu mara nyingi tu, tena tukiwashauri watumie kiasi cha ruzuku kufanya kazi hizo.

Hata nina shaka kama kuna watu wanaowatuma kuingia humu kuchota tu fikra za wachangiaji mbalimbali na kuziweka kwenye mpangilio ili wazifanyie kazi. Waliomo humu wanaodai ni wanachama au wapenzi wa CHADEMA wao wanajipigia yao tu, na nadhani hawana lolote wanalolifikisha kwenye chama ili liwe la msaada!

Jambo linalojitokeza baada ya baadhi ya mambowanayofanya kujionyesha ni kuwa hawana mpangilio wowote ndani ya chama. Ni kama kila mtu anajipigia tu, bora liende.

Kuna wakati, nadhani ni enzi za Dr Mhogo, walionyesha dalili nzuri za kuwa na idara maalum zilizokuwa zikishughulikia mambo kwa ufanisi kila walipotakiwa kushughulikia. Naona Mashinji aliharibu kila kitu alipochukua mikoba.

Uko sahihi mkuu. Haya ndiyo yaliyowakatisha tamaa possibly akina Sumaye. Possiblyvtulishindwa kuwatumia vyema, mazingira ya uanaharakati yakawashinda.

t
Hv ndugu yako kawe yuko wap cku hiz?

Usitake ncheke.

Wengi tu: bia yetu, magonjwa matambuka, na dada zao ka ignore list kalipo wahusu nadhani waligundua hailipi tena.

Bila shaka wakachagua kuingia rasmi mitini au kuwa na adabu.

Makamanda ignore list ipo tusikubali kuwa provoked.
 
Msiba ndiyo huo sasa unaelekea mwisho.

Kwenu makamanda, muhimu kujali matumizi sahihi ya muda.

Projections sahihi za 'what, why and how' (next) zinapaswa kuwapo tayari.

Vinginevyo bwana Axelrod wetu ni questionable.

Requirements zetu zinapaswa kuwa wazi pasi na shaka.

Nini wao wanadhani namna gani ya kuwanyima na hata kuwa changanya ndiyo maujanja yenyewe.

Kushangazwa kwa reaction yoyote kutokea upande wowote kwa sasa siyo taarifa ya maana tena kutokea upande wowote.

Huo ndiyo ulio ukweli mchungu.

Zama zimebadilika.

Kwa maslahi mapana ya nchi na ya mageuzi, makamanda lazima tukubali kupeana makavu kistaarabu na bila kuangalia makunyanzi.
 
Unapoanza kuchanganya siasa za Marekani na Tanzania hapo ndipo unapoanza kwa kukosea, kama siasa zetu zingekuwa sawa na zile za Marekani leo nina hakika Chadema, au chama kingine chochote cha upinzani kama NCCR Mageuzi 1995 wangekuwa ikulu.

Hapa hakuna suala la strategy of whichever kind as you think you know, Membe in particular like I believe he is simply a no brainer to me.

The only and best strategy is for the voters themselves to wake up, not let their decisions in the ballot box get dilluted by any means, and if they try to do so, the voters should be ready to walk away with someone's nose immidiately, no messing around here, hapa hakuna manager wa timu, players wala nani mwingine.
 
Unapoanza kuchanganya siasa za Marekani na Tanzania hapo ndipo unapoanza kwa kukosea, kama siasa zetu zingekuwa sawa na zile za Marekani leo nina hakika Chadema, au chama kingine chochote cha upinzani kama NCCR Mageuzi 1995 wangekuwa ikulu.

Hapa hakuna suala la strategy of whichever kind as you think you know, Membe in particular like I believe he is simply a no brainer to me.

The only and best strategy is for the voters themselves to wake up, not let their decisions in the ballot box get dilluted by any means, and if they try to do so, the voters should be ready to walk away with someone's nose immidiately, no messing around here, hapa hakuna manager wa timu, players wala nani mwingine.

Mkuu bila 'right strategy' Lissu asingeweza kurudi na kufika nyumbani salama.

Bila 'right strategy' the going is not going to be any easy.

Rojo rojo hili unalolishabikia halitazaa matunda yoyote.

Kumbuka watesi wetu wanatushauri na hata wanataka sana tuangukie kwenye mitego kama hiyo. Sina hakika kama ulikuwa pale JKNIA juzi au ni kukaanga mbuyu tu?

Wanajua makamanda disorganized as we are, ni rahisi mno kuwa provoked. Rest assured, kwa kulijua hilo wala hawana wasiwasi. Hili ndilo ambalo sasa ni muda kuwanyima.

Bila 'right strategy' hamna aliye salama.

Failure ya 2015 ni matokeo haya haya ya kukosa 'right strategist'. Huyu atawahitaji wote (kwa majina yao) kufuata utaratibu wa nini cha kufanya ili kupata tunachotaka ambacho kwake ni "known deliverables."

Wasome hawa watu. Dunia sasa ni Kijiji. Mashuhuri kama Obama na kwa awamu zote ya 1 na hata ya 2 angeisoma namba bila huyu gwiji:

David Axelrod (political consultant) - Wikipedia

Wasome hawa beyond Wikipedia ukipenda.

The rest ni uanaharakati tu mkuu ulio ongelewa mno na bwana Sumaye:

Siasa za Lowassa, Sumaye na Membe - upinzani

Amkeni makamanda siasa za makabiliano hazina tija na hasa ukizingatia kuwa wengi be hata ni activists wa nyuma ya keyboards.
 
Mbona unajishusha gredi kuwazungumzia akina Sumaye hapa. Nilidhani unaelewa mambo kiasi fulani!

Siasa si ugomvi, kukubali kutokukubaliana ni sehemu ya mchezo.

Tunaweza kujikomboa vilivyo iwapo tu tutakuwa tayari kuwasikiza tena kwa utulivu hata wenye kuyasema yaliyo kweli ambayo kwa hakika tusingependa sana kuyasikia na kuyafanyia kazi.

Udhaifu wa wengi wetu uko hapo na hapo ndipo palikuwa pa kufanyiwa kazi.

Makamanda tusiyapende tu mapambio ya kusifiwa tu kama wao. Mapambio yenye kuonyesha mapungufu nayo ni yetu pia.

Kwamba tulimpoteza nani kwa wema au ubaya, hiyo ni hasara kwetu. Tunaweza kujipanga vilivyo na kuyaepusha haya.

Safari haiko rahisi. Tusingepoteza watu kwenye mtafaruku wa 2015. Bila ya mitafaruku ile hakika leo tungekuwa tunasimulia mengine.

Makamanda tuwe tayari kusikia hata machungu yatufikiayo kwa nia njema.
 
.

Unanipachika 'ukamanda' umeniona wapi nimevaa gwanda?

Kama ulidhani limeelekezwa kwako utakuwa umejipendekeza bure mkuu, rejea title na contents zote.

Kila hilo usilolitaka lilipotajwa limeelekezwa accordingly kwao.
 
Kama ulidhani limeelekezwa kwako utakuwa umejipendekeza bure mkuu, rejea title na contents zote.

Kila hilo usilolitaka lilipotajwa limeelekezwa accordingly kwao.
Lakini si hapo uliponi'quote' umelielekeza kwangu moja kwa moja?
 
Siku mtakayokuja gundua kwamba Tundu lisu siyo deal ni attention seeker na yuko kwa self interest zake tu mtakuwa mmeshachelewa tena sana kwani anakwenda kuizika chadema rasmi kwa utoto wake ambao mnauruhusu, ni nani Dunia hii asiyeheshimu Kifo? Tena mtu ambaye anataka kuomba kura za Watanzania wamchague yeye na Chama chake anakwenda kuleta dharau na drama wakati watu wana majonzi? Mimi nina washikaji zangu ambao walikuwa hawampendi Mzee Mkapa sababu ya Mwembechai na Pemba lkn wote wamesamehe na hata Demu mmoja amelia live alivyosikia Mzee Mkapa amefariki Dunia, sasa Tundu Lisu analeta mchezo na utoto halafu mnategemea kushinda Uchaguzi? , ....
Hadithi nyingine WAJAMENI, inabidi ukawasimulie walevi unaowanunulia kinywaji, hao pamoja na huyo DEMU wako ndio watakusikiliza kwa makini na kukushangilia.
 
Unapoanza kuchanganya siasa za Marekani na Tanzania hapo ndipo unapoanza kwa kukosea, kama siasa zetu zingekuwa sawa na zile za Marekani leo nina hakika Chadema, au chama kingine chochote cha upinzani kama NCCR Mageuzi 1995 wangekuwa ikulu.

Hapa hakuna suala la strategy of whichever kind as you think you know, Membe in particular like I believe he is simply a no brainer to me.

The only and best strategy is for the voters themselves to wake up, not let their decisions in the ballot box get dilluted by any means, and if they try to do so, the voters should be ready to walk away with someone's nose immidiately, no messing around here, hapa hakuna manager wa timu, players wala nani mwingine.
We shall overcome.
 
Lakini si hapo uliponi'quote' umelielekeza kwangu moja kwa moja?

Kiwango cha chini kabisa kupata kutokea.

Totally wrong and off point.

Shule kidogo:

So long as what is called a "kiambishi awali" "u" or "m" is not used (in Swahili), whatever follows thereafter has nothing to do with you. However, if you think otherwise, the best I can say is, congratulations Mr. Ignorant!

'U'nasema - that is you.
'M'nasema - that is you and somebody.
'M'jinga - that is rightly you.

"Tu"naweza - you are not included.
"Wa"o - you are not included.

"Makamanda" (name) - that is them who goes by that name, you are not included, if that is not your name or you don't identify rightly so by yourself.

"Mataga" (name) - that is them, Synonymous reference to the name "Makamanda."

Kagua mabandiko yangu yote, jombi. Ni kutokujitendea haki miye kuku address wewe!

By the way, who the hell are you?
 
Unapoanza kuchanganya siasa za Marekani na Tanzania hapo ndipo unapoanza kwa kukosea, kama siasa zetu zingekuwa sawa na zile za Marekani leo nina hakika Chadema, au chama kingine chochote cha upinzani kama NCCR Mageuzi 1995 wangekuwa ikulu.

Hapa hakuna suala la strategy of whichever kind as you think you know, Membe in particular like I believe he is simply a no brainer to me.

The only and best strategy is for the voters themselves to wake up, not let their decisions in the ballot box get dilluted by any means, and if they try to do so, the voters should be ready to walk away with someone's nose immidiately, no messing around here, hapa hakuna manager wa timu, players wala nani mwingine.
We shall overcome.
 
Kiwango cha chini kabisa kupata kutokea.

Totally wrong and off point.

Shule kidogo:

So long as what is called a "kiambishi awali" "u" or "m" is not used (in Swahili), whatever follows has nothing to do with you. However, if you think otherwise, the best I can say is, congratulations Mr. Ignorant!

'U'nasema - that is you.
'M'nasema - that is you and somebody.
'M'jinga - that is rightly you.

"Tu"naweza - you are not included.
"Wa"o - you are not included.

"Makamanda" (name) - that is them who goes by that name, you are not included, if that is not your name or you don't identify rightly so by yourself.

"Mataga" (name) - that is them, Synonymous reference to the name "Makamanda."

Kagua mabandiko yangu yote, jombi. Ni kutokujitendea haki miye kuku address wewe!

By the way, who the hell are you?
Sina muda wa kupoteza na upuuzi.
 
Siku mtakayokuja gundua kwamba Tundu lisu siyo deal ni attention seeker na yuko kwa self interest zake tu mtakuwa mmeshachelewa tena sana kwani anakwenda kuizika chadema rasmi kwa utoto wake ambao mnauruhusu, ni nani Dunia hii asiyeheshimu Kifo? Tena mtu ambaye anataka kuomba kura za Watanzania wamchague yeye na Chama chake anakwenda kuleta dharau na drama wakati watu wana majonzi? Mimi nina washikaji zangu ambao walikuwa hawampendi Mzee Mkapa sababu ya Mwembechai na Pemba lkn wote wamesamehe na hata Demu mmoja amelia live alivyosikia Mzee Mkapa amefariki Dunia, sasa Tundu Lisu analeta mchezo na utoto halafu mnategemea kushinda Uchaguzi? , ....
Bashite hujawahi kuwa na akili hata mara moja propaganda za kichina peleka karomije
 
Kwa mtazamo wangu, siasa zetu hapa tulipofikia hazihitaji "chief strategist" kwa ajili ya kumpeleka fulani ikulu kama ulivyotolea mfano wa Marekani.

Kwetu kwanza tunahitaji "chief strategist" kwa ajili ya kutuwezesha tuipate Katiba Mpya, ili angalau tuwe sawa/ karibiane kidemokrasia kama wamarekani.

Baada ya hapo ndio tufuate hatua ya pili wanayoifanya wao Marekani, kutafuta "chief strategist" kwa ajili ya kuwawezesha individuals kwenda ikulu, lakini kwa sasa bado tupo nyuma, tusilazimishe kufanya kama wamarekani wakati mazingira yetu na wao kisiasa hayafanani.
 
Kwa mtazamo wangu, siasa zetu hapa tulipofikia hazihitaji "chief strategist" kwa ajili ya kumpeleka fulani ikulu kama ulivyotolea mfano wa Marekani.

Kwetu kwanza tunahitaji "chief strategist" kwa ajili ya kutuwezesha tuipate Katiba Mpya, ili angalau tuwe sawa/ karibiane kidemokrasia kama wamarekani.

Baada ya hapo ndio tufuate hatua ya pili wanayoifanya wao Marekani, kutafuta "chief strategist" kwa ajili ya kuwawezesha individuals kwenda ikulu, lakini kwa sasa bado tupo nyuma, tusilazimishe kufanya kama wamarekani wakati mazingira yetu na wao kisiasa hayafanani.

Ninakubaliana nawe 100% ila uzi wangu huu ulikuwa ni wa July 28, 2020 kuelekea uchaguzi uliompa jiwe term ya pili.

Leo hitajio letu ni katiba mpya. Chief strategist wa leo ni wa kutupa katiba mpya.

Kama kocha wa timu ya mpira huyo ni wa kupimwa kwa matokeo, yaani progessive assessment.
 
Back
Top Bottom