Ushauri wa bure kwenu Makamanda na wanamageuzi watukuka

Siku mtakayokuja gundua kwamba Tundu lisu siyo deal ni attention seeker na yuko kwa self interest zake tu mtakuwa mmeshachelewa tena sana kwani anakwenda kuizika chadema rasmi kwa utoto wake ambao mnauruhusu, ni nani Dunia hii asiyeheshimu Kifo? Tena mtu ambaye anataka kuomba kura za Watanzania wamchague yeye na Chama chake anakwenda kuleta dharau na drama wakati watu wana majonzi? Mimi nina washikaji zangu ambao walikuwa hawampendi Mzee Mkapa sababu ya Mwembechai na Pemba lkn wote wamesamehe na hata Demu mmoja amelia live alivyosikia Mzee Mkapa amefariki Dunia, sasa Tundu Lisu analeta mchezo na utoto halafu mnategemea kushinda Uchaguzi? , ....

Ni kweli cdm wanaweza wasishinde uchaguzi, ila sio kwa sababu unazosema ww.
 
Ni kweli cdm wanaweza wasishinde uchaguzi, ila sio kwa sababu unazosema ww.

Isukwe team kabambe ikabidhiwe hadidu za rejea. Tuingie uwanjani kila mtu kwa role yake iliyo wazi:

1. Manager wa timu
2. Wachezaji
3. Benchi la ufundi
4. Supporters
5. Nk

Wakuu, mbona wanapigika?
 
Kwamba Lissu alirudi jana salama na kufika nyumbani kwa hali ya amani vile, si bure. Kongole kwake na ma strategists wake. Wako vizuri ila mechi ndiyo hiyo inaendelea.

Msituangushe.

Nidhamu top to bottom haiwezi kuchukuliwa poa.
CHADEMA wanacheza ligi ya mchangani huku wakitegemewa wawe top dogs?

Hili ndilo linalosikitisha sana.

Vitu vidogo kuviwekea mzaha wakati huu, inaonyesha hawakujipanga kabisa kwa hayo makubwa?

Unapozungumzia 'strategist' hata sidhani kama wanaelewa unazungumzia nini. 'Strategist' asiyeweza hata kutambua vikosa vya kipuuzi vinavyofanyika wakati 'critical' kabisa kama huu?

Kama wanaye 'strategist', huyo anawalia hela yao bure, au hawasikilizi na kutimiza anachowashauri.
 
It is worse than "an opportunity missed."

It should not have happened.

Makamanda lazima kujifunza. Obama pamoja na yote asingefika pale bila "Axelrod" na anajua hivyo.

Ukweli mchungu ndiyo sababu tuliwapoteza wazee hawa:

Siasa za Lowassa, Sumaye na Membe - upinzani

Hata 2015 tungechukua nchi.

Tupambanie ushindi wa wananchi it is possible. Tuwekeni ubinafsi pembeni.
 
It should not have been.

Makamanda lazima kujifunza. Obama pamoja na yote asingefika pale bila "Axelrod" na anajua hivyo.

Ukweli mchungu ndiyo sababu tuliwapoteza wazee hawa:

Siasa za Lowassa, Sumaye na Membe - upinzani

Hata 2015 tungechukua nchi.

Tupambanie ushindi wa wananchi it is possible. Tuwekeni ubinafsi pembeni.
Kila mtia nia wa siasa za Marekani siku hizi, awe Republican au Democrat hao akina 'Axerod' ni lazima wawepo. Clinton wote wawili walikuwa na wa kwao, na hivyo hivyo akina Bush na wengineo.

Hata hapa jirani Kenya, 'Cambridge' walicheza Jubilee, na haikuwa kazi ndogo.

Hiyo 2015 unayoizungumzia, kwa kiasi kikubwa ushindi aliupoteza mgombea mkuu, Lowassa. Kampeni yake ilikuwa ni ya kigonjwa sana. Hakuwa na nguvu, kitu kilichowafanya watu waamini ni mgonjwa tabani.
Lowassa angekuwa ni yule Lowassa waziri mkuu wa Kikwete, mwenye mwonekano ule ule, hata Magufuli angepiga 'Push up' mara mia asingekwenda popote.

Kwa hiyo mchango wa CHADEMA kama chama kwenye kushindwa kule ulikuwa ni mdogo kulinganisha na mgombea kiti cha urais mwenyewe.

Kumbuka, Lowassa alitakiwa aje na kundi kubwa sana toka CCM, hilo pia halikutokea baada ya kuona upepo wa kampeni ulivyokuwa unaendelea kujionyesha.
 
"Njia ya kwenda Ikulu ni nyeupe, pee!"

Hayo si maneno yangu bali ya kachero mbobezi katika ubora wake. Alikwenda mbele zaidi kachero yule kwa kusema:

"Lakini itabidi kukaa chini na wenzetu, kujipanga na kusimika kisiki haswaa," akamalizia, "cha mpingo"

Mmpende, mmchukie: Kachero mbobezi yuko vizuri. Visiki vya mpingo vipo. Changamoto ni kukaa chini na kujipanga.

Ikumbukwe kuwa pamoja na yote, Barrack Obama pekee na Democrats, asingeliona Ikulu ya Whitehouse bila ya gwiji huyu kama 'chief strategist' wake:

David Axelrod (political consultant) - Wikipedia

Kwamba Lissu alirudi jana salama na kufika nyumbani kwa hali ya amani vile, si bure. Kongole kwake na ma strategists wake. Wako vizuri ila mechi ndiyo hiyo inaendelea.

Msituangushe.

Nidhamu top to bottom haiwezi kuchukuliwa poa.

Safari ya kuchukua Dola October haiwezi kuwa lelemama. Nani atakubali kuiachia ikulu kirahisi?

Nini kwa umma na nini vya ndani ni muda wa kuvi enforce vilivyo (organization).

Ndugu wapenda mageuzi tusiwe kama wagema.

Tembo ubora wake, inawezekana kuubakiza kuwa ule ule.

Tunaweza kutimiza wajibu wetu ndani ya taratibu zilizopo, responsibly.

Hii nchi ni yetu sote na sote kabisa tunalo jukumu la kuyapigania maendeleo yake kiuchumi na hata kidemokrasia.

Apumzike mzee wetu Rais mstaafu hayati Mkapa.

Mungu ibariki Tanzania.
Ndoto za Alinacha hizi! Nyumbu bwana, juzi tu walikuwa wanadeki barabara na mabadiliko ya kuzungusha mikono! Mkae mkijua mwaka huu mkipata asilimia 2 ya kura mfanye na sherehe, maana tutawapiga mapema kweupeeee!
 
Kila mtia nia wa siasa za Marekani siku hizi, awe Republican au Democrat hao akina 'Axerod' ni lazima wawepo. Clinton wote wawili walikuwa na wa kwao, na hivyo hivyo akina Bush na wengineo.

Hata hapa jirani Kenya, 'Cambridge' walicheza Jubilee, na haikuwa kazi ndogo.

Hiyo 2015 unayoizungumzia, kwa kiasi kikubwa ushindi aliupoteza mgombea mkuu, Lowassa. Kampeni yake ilikuwa ni ya kigonjwa sana. Hakuwa na nguvu, kitu kilichowafanya watu waamini ni mgonjwa tabani.
Lowassa angekuwa ni yule Lowassa waziri mkuu wa Kikwete, mwenye mwonekano ule ule, hata Magufuli angepiga 'Push up' mara mia asingekwenda popote.

Kwa hiyo mchango wa CHADEMA kama chama kwenye kushindwa kule ulikuwa ni mdogo kulinganisha na mgombea kiti cha urais mwenyewe.

Kumbuka, Lowassa alitakiwa aje na kundi kubwa sana toka CCM, hilo pia halikutokea baada ya kuona upepo wa kampeni ulivyokuwa unaendelea kujionyesha.

Ninakusoma. Ni wakati muafaka wa makamanda kubadilika. Vinginevyo ni kutuangusha wananchi.

Strategists walipaswa kujua kwa usahihi kabisa pasi na shaka, hali ingekuwa vipi wakifika vipi Uhuru.

2015, strategist wa maana alipaswa kuyaona hayo ya Lowassa na afya unayoyasema wakati ule.

Strategist wa maana atawatoa kwenye uanaharakati kwenda kwenye chama cha kushika Dola.

Ukweli mchungu, ni hapa tulipopishana na kina Sumaye, Lowassa na wengi ambao wangependelea zaidi siasa za kistaarabu.

Tunaweza kupata tunachotaka bila kupambana na kina mamboleo ndani changamoto na magumu yaliyopo.

Kuvunjika kwa koleo siyo mwisho wa uhunzi. Siamini kama Lissu na risks zote na exposure yote, na hata ile rejeaaji tu kuwa atakuwa hayajui hayo.

Believe me wale jamaa zetu wamenuna kweli kweli.

Ngoma inaweza kunoga bado. Tusimnyanyapae kachero mbobezi.
 
Siku mtakayokuja gundua kwamba Tundu lisu siyo deal ni attention seeker na yuko kwa self interest zake tu mtakuwa mmeshachelewa tena sana kwani anakwenda kuizika chadema rasmi kwa utoto wake ambao mnauruhusu, ni nani Dunia hii asiyeheshimu Kifo? Tena mtu ambaye anataka kuomba kura za Watanzania wamchague yeye na Chama chake anakwenda kuleta dharau na drama wakati watu wana majonzi? Mimi nina washikaji zangu ambao walikuwa hawampendi Mzee Mkapa sababu ya Mwembechai na Pemba lkn wote wamesamehe na hata Demu mmoja amelia live alivyosikia Mzee Mkapa amefariki Dunia, sasa Tundu Lisu analeta mchezo na utoto halafu mnategemea kushinda Uchaguzi? , ....
Wewe lumumba huna hoja
 
Ndoto za Alinacha hizi! Nyumbu bwana, juzi tu walikuwa wanadeki barabara na mabadiliko ya kuzungusha mikono! Mkae mkijua mwaka huu mkipata asilimia 2 ya kura mfanye na sherehe, maana tutawapiga mapema kweupeeee!

Kuota tuote sisi. Kukuwasha zikuwashe wewe.

Huo si ndiyo uchawi wenyewe?
 
hata Demu mmoja amelia live alivyosikia Mzee Mkapa amefariki Dunia
Kama ameliliwa na demu mmoja basi hana issue. Ndiyo maana hata uwanjani kulijaa watoto wa shule za msingi. CCM kwa kweli hamkubaliki, yaani hata misiba mnabeba watu kwa malori!!?

Mliona nyomi ya mapokezi ya Lisu? Hiyo ni ishara mbaya Sana kwa Magu. Mwambieni kama anaowajengea flyover (wanaDSM) wamemkataa, itakuwaje kwa wale wa Katavi ?
 
Siku mtakayokuja gundua kwamba Tundu lisu siyo deal ni attention seeker na yuko kwa self interest zake tu mtakuwa mmeshachelewa tena sana kwani anakwenda kuizika chadema rasmi kwa utoto wake ambao mnauruhusu, ni nani Dunia hii asiyeheshimu Kifo? Tena mtu ambaye anataka kuomba kura za Watanzania wamchague yeye na Chama chake anakwenda kuleta dharau na drama wakati watu wana majonzi? Mimi nina washikaji zangu ambao walikuwa hawampendi Mzee Mkapa sababu ya Mwembechai na Pemba lkn wote wamesamehe na hata Demu mmoja amelia live alivyosikia Mzee Mkapa amefariki Dunia, sasa Tundu Lisu analeta mchezo na utoto halafu mnategemea kushinda Uchaguzi? , ....
"Demu mmoja amelia live alivyosikia Mzee Mkapa amefariki Dunia"
wanawakr ni emotional na ndo walivyoumbwa , huwa wanalia hata wakiwa wanauchezea, imagine utamu wanapata na bado wanalia.
Ok turudi kwenye maudhui .
Ni kwamba post yako haina mashiko.
 
Tunaweza kupata tunachotaka bila kupambana na kina mamboleo wala bila kuwa na tume huru.

Kuvunjika kwa koleo siyo mwisho wa uhunzi. Siamini kama Lissu na risks zote na exposure yote, na hata ile rejeaaji kuwa hayajui hayo.

Believe me wale jamaa zetu wamenuna kweli kweli.

Ni hivi:

Inaelekea CHADEMA hawakuelewa maana ya nafasi adimu kabisa iliyotokana na ujio wa Tundu Lissu na maana ya hali ile iliyoonekana kuwepo.

Hawajajua maana yake ni nini, kwa sababu wangejua, huu ndio mwanya mzuri sana waliotakiwa kuutumia vizuri sana kuelekea kwenye uchaguzi mkuu.

Wakati huu sio wa kutafuta kuonyesha ubabe au kufanyiwa ubabe ili upate huruma za wananchi. Yaliyokwishawatokea yanatosha sana kuwapa huruma za wananchi kwenda mbele.

Wanachotakiwa sasa kuwaonyesha wananchi ni ukomavu, kuwaonyesha wananchi kwamba wapo tayari kupokea madaraka.

Sio wakati tena wa kuwindana na CCM nani aonekane mbabe au munewa.

CCM sasa watatumia makosa haya, sio tu kuendelea kuwakandamiza, na hata wanapowakandamiza watajigamba kuwa CHADEMA hawako tayari kuendesha nchi kwa vikosa vya kipuuzi puuzi kama hivi wanvyofanya bila ya kuchokozwa na yeyote.
 

Nilivyosoma kabla hata ya kuangalia avatar nikajua huyu lazima ni Matanga

Sijui slow2 huwa anawaokota wapi?

Qualifications zao ni very rare: "usiwe mwenye kujitambua."

Kazi kweli kweli.

Uzuri haimchukui muda mtu kuwatambua.
 
Ni hivi:

Inaelekea CHADEMA hawakuelewa maana ya nafasi adimu kabisa iliyotokana na ujio wa Tundu Lissu na maana ya hali ile iliyoonekana kuwepo.

Hawajajua maana yake ni nini, kwa sababu wangejua, huu ndio mwanya mzuri sana waliotakiwa kuutumia vizuri sana kuelekea kwenye uchaguzi mkuu.

Wakati huu sio wa kutafuta kuonyesha ubabe au kufanyiwa ubabe ili upate huruma za wananchi. Yaliyokwishawatokea yanatosha sana kuwapa huruma za wananchi kwenda mbele.

Wanachotakiwa sasa kuwaonyesha wananchi ni ukomavu, kuwaonyesha wananchi kwamba wapo tayari kupokea madaraka.

Sio wakati tena wa kuwindana na CCM nani aonekane mbabe au munewa.

CCM sasa watatumia makosa haya, sio tu kuendelea kuwakandamiza, na hata wanapowakandamiza watajigamba kuwa CHADEMA hawako tayari kuendesha nchi kwa vikosa vya kipuuzi puuzi kama hivi wanvyofanya bila ya kuchokozwa na yeyote.

Mkuu umedadavua vyema.

Kama ilivyokuwa katika bandiko hili:

IMG_20200728_221948_450.jpg


Composition ya team inabidi kuwa timilifu.

Kupatikane chief strategist wa maana aweke mambo yote sawa.

Ya kukimbizana na polisi hayana tija.

Muda wa ku focus kwenye targets.
 
Kama ameliliwa na demu mmoja basi hana issue. Ndiyo maana hata uwanjani kulijaa watoto wa shule za msingi. CCM kwa kweli hamkubaliki, yaani hata misiba mnabeba watu kwa malori!!?

Mliona nyomi ya mapokezi ya Lisu? Hiyo ni ishara mbaya Sana kwa Magu. Mwambieni kama anaowajengea flyover (wanaDSM) wamemkataa, itakuwaje kwa wale wa Katavi ?


Mambos!
 
"Njia ya kwenda Ikulu ni nyeupe, pee!"

Hayo si maneno yangu bali ya kachero mbobezi katika ubora wake. Alikwenda mbele zaidi kachero yule kwa kusema:

"Lakini itabidi kukaa chini na wenzetu, kujipanga na kusimika kisiki haswaa," akamalizia, "cha mpingo"

Mmpende, mmchukie: Kachero mbobezi yuko vizuri. Visiki vya mpingo vipo. Changamoto ni kukaa chini na kujipanga.

Ikumbukwe kuwa pamoja na yote, Barrack Obama pekee na Democrats, asingeliona Ikulu ya Whitehouse bila ya gwiji huyu kama 'chief strategist' wake:

David Axelrod (political consultant) - Wikipedia

Kwamba Lissu alirudi jana salama na kufika nyumbani kwa hali ya amani vile, si bure. Kongole kwake na ma strategists wake. Wako vizuri ila mechi ndiyo hiyo inaendelea.
...
Apumzike mzee wetu Rais mstaafu hayati Mkapa.

Mungu ibariki Tanzania.

Wakati mwingine, najiuliza kama CHADEMA wana "chief strategist" wakupanga jinsi ya kushinda katika Uchaguzi Mkuu ujao au wanategemea shambulio la Lissu ndiyo agenda. Rejea matokeo ya chaguzi za marudio ya ubunge CHADEMA ilivyotumia shambulio la Lissu kama agenda wakambulia patupu, hata kwenye jimbo la uchaguzi la Lissu mwenyewe.

Pengine tujikumbushe na kuchambua matukio ya ujio wa Lissu na kuaga kitaifa marehemu Ben Mkapa leo uwanjawa Uhuru.

Polisi waliacha kuingilia msafara wa mapokezi ya Lissu. Wenye hekima na busara tulitegemea busara na hekima ya kuheshimu msiba wa kitaifa, vitawale maamuzi ya viongozi wa CHADEMA, lakini wao wakaona ndiyo fursa ya kuonesha dunia kuwa Lissu anapendwa na WaTz.

Leo Viongozi wa CHADEMA walizuiwa kuingia Uwanja wa Uhuru kichama kuaga mwili wa marehemu Mkapa ila kwa mmoja mmoja kuingia kama raia wa kawaida, kwa kuwa tayari mgeni rasmi, ambaye ni Rais, alikuwa ameingia. Kama siyo kutafuta kiki ya kisiasa basi ulikuwa ni uamuzi wa hovyo.

Je, katika mazingira hayo ni kweli Njia ya kwenda Ikulu ni nyeupe, pee kwa CHADEMA?
 
Wakati mwingine, najiuliza kama CHADEMA wana "chief strategist" wakupanga jinsi ya kushinda katika Uchaguzi Mkuu ujao au wanategemea shambulio la Lissu ndiyo agenda. Rejea matokeo ya chaguzi za marudio ya ubunge CHADEMA ilivyotumia shambulio la Lissu kama agenda wakambulia patupu, hata kwenye jimbo la uchaguzi la Lissu mwenyewe.

Pengine tujikumbushe na kuchambua matukio ya ujio wa Lissu na kuaga kitaifa marehemu Ben Mkapa leo uwanjawa Uhuru.

Polisi waliacha kuingilia msafara wa mapokezi ya Lissu. Wenye hekima na busara tulitegemea busara na hekima ya kuheshimu msiba wa kitaifa, vitawale maamuzi ya viongozi wa CHADEMA, lakini wao wakaona ndiyo fursa ya kuonesha dunia kuwa Lissu anapendwa na WaTz.

Leo Viongozi wa CHADEMA walizuiwa kuingia Uwanja wa Uhuru kichama kuaga mwili wa marehemu Mkapa ila kwa mmoja mmoja kuingia kama raia wa kawaida, kwa kuwa tayari mgeni rasmi, ambaye ni Rais, alikuwa ameingia. Kama siyo kutafuta kiki ya kisiasa basi ulikuwa ni uamuzi wa hovyo.

Je, katika mazingira hayo ni kweli Njia ya kwenda Ikulu ni nyeupe, pee kwa CHADEMA?

Ni jana tu ndiyo kamanda wao mkuu karejea kutokea akhera.

Wapeni muda wajipange.

Ndiyo wanaanza kutambaa. Ya nini kusumbuana hali tunajenga nyumba moja?
 
Mkuu umedadavua vyema.

Kama ilivyokuwa katika bandiko hili:

View attachment 1519932

Composition ya team inabidi kuwa timilifu.

Kupatikane chief strategist wa maana aweke mambo yote sawa.

Ya kukimbizana na polisi hayana tija.

Muda wa ku focus kwenye targets.
Uzuri wa JF, hakuna kitu kilichowahi kuandikwa humu hupotea.

Hili jambo la kuwasihi CHADEMA wawe na watu wenye utaalam katika mambo mbalimbali yanayoweza kuwasaidia katika juhudi zao tulishayaandika sana humu mara nyingi tu, tena tukiwashauri watumie kiasi cha ruzuku kufanya kazi hizo.

Hata nina shaka kama kuna watu wanaowatuma kuingia humu kuchota tu fikra za wachangiaji mbalimbali na kuziweka kwenye mpangilio ili wazifanyie kazi. Waliomo humu wanaodai ni wanachama au wapenzi wa CHADEMA wao wanajipigia yao tu, na nadhani hawana lolote wanalolifikisha kwenye chama ili liwe la msaada!

Hata kuajiri 'intern' tu, au vijana wawili watatu wa hapo chuo kikuu kufanya michujo tu na kuweka pamoja hawawezi?

Jambo linalojitokeza baada ya baadhi ya mambowanayofanya kujionyesha ni kuwa hawana mpangilio wowote ndani ya chama. Ni kama kila mtu anajipigia tu, bora liende.

Kuna wakati, nadhani ni enzi za Dr Mhogo, walionyesha dalili nzuri za kuwa na idara maalum zilizokuwa zikishughulikia mambo kwa ufanisi kila walipotakiwa kushughulikia. Naona Mashinji aliharibu kila kitu alipochukua mikoba.
 
Back
Top Bottom