Sijui Mungu nimrudishie nini kwa wema huu wa kutuumbia sampuli hizi za wanene mabonge.
Natoa pendekezo wote wenye kuwa na wake wapenzi mabonge Wiki hii tukatoe sadaka ya shukrani kanisani na misikitini. Tupewe air time kabisa kumrudishia Mungu utukufu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi yale mafindo findo yao mwilini ndo huwa yananikatisha stim. Ingawa sio wote wana kale kaharufu.
😀 kweli inawezekana.
Mbona hapo poa tu? hapo watu wenye vibamia ndo wala salamu hawakupi, ila sisi Tunajua namna ya kutumia wala hayatupi shida.km huyu nipohvi
Anakudanganya huyo sabb na wenhe miharufu huwa hatuwaambia ilaa tunawambia ki stylee tuogee kwanza au kila baada ya roundHii mada inanifanya nihisi mpenzi wangu muongo! Kila siku analilia utam ananiambia yan kwa utam huu sijui km ntakuacha!
Loooh mie Nina utam jaman khaaa japo msabwanda haswaaa ila mtoa mada NAHISI ULIKUTANA NA Mwenye harufu ya papuchi
Ngekuwa sina mpenziii aaaaaah mbona easy ngekupa one time uchek
Ungekuja hapa kufuta KAULI
ha ha ha ha ha haaaaaa uwiiiiii
Leo tunakoma
Sent using Jamii Forums mobile app
mafindofindo ndo nn
Aaaah wap mie hapana yan ww sena tu nampenzi ngekupa one time mbona ungebadili mtazamo!?Anakudanganya huyo sabb na wenhe miharufu huwa hatuwaambia ilaa tunawambia ki stylee tuogee kwanza au kila baada ya round
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulikutana na gunia la mahindi siyo mwanamke mtam msabwanda anaejua kutumia maungo yake vyema