Ushauri wa bure kwa wanawake mabonge

Real men don't discuss such aspects of sex. Not in privacy not in the public. If you have certain preferences you make your own choices, works on them and move on.
People doing this usually have the mindset of kids and are probably driven by titillation with a sense of vulgarity not to mention a low self esteem.
 
Mwanamke mwili, mwanamke nyama siyo unalala na kamtu hadi usiku unaanza kukatafuta kumbe kamepoteana kwenye blanket.
Mwanamke nyama unaoa kamtu hakaeleweki hadi nyumbani wanashindwa kujua mama wa nyumba ni nani sipendi.
Mwanamke mnene ni hazina ya dunia hata mke wa Ibrahim alikuwa pande la mama.
Bravo sana kwenu mabonge Mungu awabariki mno. Hata nyie mamiss mbarikiwe ila si kwa kiwango cha hao wanene.

Sent using Jamii Forums mobile app
 



bora utupe moyop mkuu dah
 
bora utupe moyop mkuu dah
Vingi vyembamba vina roho mbaya balaa hasa ukikute chembamba tena kifupi ujue mme anajuta vina roho mbaya mno. Wanawake wanaoongoza kwa roho nzuri duniani na mapenzi ya dhati ni wanene hasa warefu hutojutia kuwa naye.
Hivi vyembamba miili ya ovyo ndo utakuta vimejaa ustawi wa jamii.
Huwezi kumkuta mnene ustawi wa jamii akitishiwa kuachwa ndani ya nusu saa anaombwa msamaha na mme. Jamani wanene popote mlipo mikono juuu ya shangwe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 



haahahhaha nimecheka sana lol !haya mkuu
 
haahahhaha nimecheka sana lol !haya mkuu
Fanya utafiti usidhani utani hizi ni takwimu za dunia.
Angalia mtaani kwako sifa za wanawake wafupi wembamba na hali za ndoa zao na hivyo vyembamba then compare na mabonge.
Pia usidhani hao mbaumbau hawali wanakula wanashiba balaa hadi chupi zinahamia tako moja lakini hayanenepi kwa ajili ya roho mbaya na kuhitaji mteremko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 


duh hii sasa kali !hahaa eti ta.k.o moja chupi inajaa hahahah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…