Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 2,589
- 3,059
Natumai mpo vyema leo katika namna kujenga na kutoa ushauri ningependa kuona UTUMISHI-TAESA wakijoin force kupunguza mlundikano wa interview na kupunguza cost kwa hizi taasisi mfano mdogo uandaaji wa mitihani, safari, pesa za chai n,k lakini pia itasaidia utumish kupeleka watu sahihi kwa kuwa tayari kazi data za utendaji utakuwa upo mikononi mwa TAESA ni maoni yangu tu.